-
22 Bahman mahudhurio ya hamasa ya Wairan na sisitizo la kusimama kidete
Feb 12, 2024 07:46Jumapili ya jana, tarehe 22 Bahman (Februari 11) ilisadifiana na maadhimisho ya mwaka wa 45 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.
-
Kukiri Netanyahu kuweko mgogoro mkubwa wa kiuchumi Israel
Feb 11, 2024 22:48Benjamin Netanyahu, waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni amekiri kwamba utawala dhalimu wa Israel umekumbwa na mgogoro mkubwa wa kiuchumi hivi sasa.
-
Rekodi ya Iran katika ustawi wa watu baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Feb 11, 2024 07:35Maendeleo ya pande zote ya Iran tangu baada tu ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ndilo jambo ambalo lilitiliwa mkazo mno na Imam Khomeini, MA, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na yanaendelea kupewa umuhimu mkubwapia hivi sasa na Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Kukiri UN juu ya nafasi chanya ya Iran katika matukio ya Asia Magharibi
Feb 11, 2024 00:31Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameeleza wasiwasi wake kuhusu kuenea hali ya mivutano katika eneo la Magharibi mwa Asia na kusema Iran ina nafasi chanya na yenye taathira katika matukio ya eneo hilo na katika kurejesha amani na utulivu.
-
Meta yafunga kurasa za Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi kwenye Instagram, Facebook
Feb 10, 2024 06:50Kampuni ya Kimarekani ya Meta Platforms, Inc. inayoendesha na kumiliki Instagram, imefunga akaunti za Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei kwenye mitandao ya kijamii ya Instagram na Facebook.
-
Marekani mhusika wa kuendelea mauaji ya kimbari ya Wazayuni Ukanda wa Gaza
Feb 09, 2024 22:59Himaya na uungaji mkono wa madola ya Magharibi hususan Marekani kwa utawala haramu wa Israel kivitendo umezuia kusitishwa vita na hilo kuandaa uwanja wa kuendelea kuuawa Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Hukumu ya kutimuliwa nchini Sweden mhalifu aliyevunjia heshima Qur'ani Tukufu
Feb 09, 2024 07:34Mahakama ya Uhajiri ya Sweden imetangaza kwamba, mtafuta hifadhi wa Iraq, ambaye amefanya vitendo kadhaa vya kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu, atafukuzwa nchini humo.
-
Muendelezo wa juhudi za Iran katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya
Feb 09, 2024 04:44Mkuu wa Polisi wa Iran, ameeleza kuridhishwa kwake na juhudi za kitengo cha kupambana na dawa za kulevya cha kikosi hicho, na kusema jeshi hilo liangamiza watu 230 waliokuwa wahusika wakuu katika biashara haramu ya dawa za kulevya na wakati huo huo kunasa tani 500 za afyuni katika kipindi cha miezi 10 iliyopita.
-
Kuongezeka matatizo ya akili ya askari wa Kizayuni; Matokeo ya wazi ya vita vya Gaza
Feb 08, 2024 23:19Kurefushwa kwa vita vya Gaza kumesababisha ongezeko la matatizo ya kisaikolojia kwa wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel na hivyo wanahitaji matibabu ya kiakili au kisaikolojia.
-
Mafanikio ya Iran katika siasa za ndani za kipindi cha miaka 45 iliyopita
Feb 07, 2024 23:02Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imepata mafanikio makubwa katika siasa zake za ndani na nje kwenye kipindi cha miaka 45 ya Mapinduzi ya Kiislamu humu nchini.