-
Kufutwa Hamas; lengo lisiloweza kufikiwa na utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza
Dec 15, 2023 04:13Huu ni mwezi wa tatu tangu utawala ghasibu wa Israel uanzishe vita vya kikatili dhidi ya raia wa Ukanda wa Gaza lakini pamoja na hayo umeshindwa kabisa kufikia malengo ya kijeshi uliyoyatangaza rasmi kabla ya kuanzisha vita hivyo likiwemo la kuangamiza Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina, Hamas.
-
Kuidhinishwa kuanza rasmi uchunguzi wa kumsaili Biden katika Bunge la Wawakilishi la Marekani
Dec 14, 2023 23:26Bunge la wawakilishi la Marekani jana Jumatano lilipasisha azimio kwa kura 221 za ndio mkabala wa 212 za kupinga kuanzisha rasmi uchunguzi wa kumsaili Rais Joe Biden wa nchi hiyo. Kabla ya kura hiyo, Kelly Armstrong, Mwakilishi wa Kongresi ya Marekani kwa niaba ya wajumbe wa Baraza la Wawakilishi la Marekani, alichapisha rasimu ya azimio kwa ajili ya kuendelea uchunguzi huo tajwa kwa lengo la kumuuzulu Rais Joe Biden wa Marekani.
-
Iran; Mwenyeji wa idadi kubwa zaidi ya wakimbizi duniani
Dec 14, 2023 08:40Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika Kongamano la Baraza la Wakimbizi Duniani huko Geneva Uswisi kwamba: 'Nataraji kuwa Umoja wa Mataifa na Kamisheni Kuu ya Wakimbizi Duniani zitatekeleza majukumu yao kuhusu wakimbzi na hasa kuhusu raia wa Kiafghani milioni tano wanaoishi Iran.'
-
Kutokuwa na nia nchi za Magharibi kuipa Uturuki uanachama katika Umoja wa Ulaya
Dec 14, 2023 03:38Huku serikali ya Uturuki ikiwa imeanzisha juhudi mpya za kujiunga na Umoja wa Ulaya, matokeo ya kura mpya ya maoni yanaonyesha kuwa raia wengi wa Ulaya wanapinga nchi hiyo kupewa uanachama katika umoja huo.
-
Vita vya kimtandao sambamba na vita vya kijeshi dhidi ya utawala wa Kizayuni
Dec 13, 2023 07:06Utawala wa Kizayuni ambao haujapata mafanikio yoyote katika vita vya kijeshi dhidi ya Wapalestina, umekabiliwa na vita vikubwa vya mitandao ya kijamii.
-
Hali ya zama za mwisho ya Ukanda wa Gaza
Dec 13, 2023 03:39Mashambulizi makali ya ndege za kivita ya jeshi la utawala wa Kizayuni dhidi ya maeneo mbalimbali ya Ukanda wa Gaza yaliendelea jana Jumanne kwa masaa kadhaa.
-
Kushadidi mashinikizo dhidi ya waungaji mkono wa Palestina nchini Marekani
Dec 12, 2023 23:09Marekani ikiwa ni muungaji mkono mkuu wa utawala wa Kizayuni sio tu kwamba, imetoa uungaji mkono mkubwa wa kisiasa na kisilaha kwa utawala huo wakati wa vita vya Gaza, bali mfumo tawala wa Washington pia umeongeza mashinikizo dhidi ya waungaji mkono wa Wapalestina na wakosoaji wa jinai za utawala ghasibu wa Israel.
-
Pakistan na kupinga ripoti ya Marekani kuhusu ugaidi
Dec 12, 2023 05:53Ikionyesha masikitiko yake juu ya ripoti ya kila mwaka ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani kuhusu ugaidi, Pakistan imeyaona madai ya Washington dhidi ya Islamabad kuwa ni upotoshaji wa ukweli na uhalisia wa mambo.
-
Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi ECOWAS yaitambua rasmi serikali ya Niger
Dec 12, 2023 01:56Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi ECOWAS imeitambua rasmi serikali mpya ya Niger ikiwa ni katika kulegeza misimamo yake ya kisiasa na kiuchumi kuhusiana na nchi hiyo.
-
Uhalalishaji Marekani kura yake ya turufu kuhusu mauaji ya kimbari ya Wazayuni huko Gaza
Dec 11, 2023 23:09Licha ya matakwa ya kimataifa ya kusitishwa mara moja vita vya mauaji ya kimbari ya Wazayuni dhidi ya watu wa Gaza, lakini Marekani ikiwa ni mshirika wa kistratijia wa utawala wa Kizayuni, imepinga maombi hayo na inaendelea kuwasha moto wa vita hivyo vya umwagaji damu kwa kutuma silaha za kila aina huko Gaza.