-
Msimamo imara wa wananchi na vyama vya Uturuki kuhusu uhusiano na Israeli na uwepo wa Marekani huko Incirlik
Dec 11, 2023 07:30Kufuatia kuendelea jinai za utawala ghasibu wa Israel dhidi ya raia wa Gaza na uungaji mkono mkubwa wa Marekani kwa jinai hizo, wananchi wa Uturuki wamefanya maandamano mjini Istanbul na kutoa matakwa mapya kwa serikali ya Rais Recep Tayyip Erdogan.
-
Kumbukumbu ya mwaka wa sita wa ushindi dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh nchini Iraq
Dec 11, 2023 04:32Desemba 10, 2023, imesadifiana na kumbukumbu ya miaka sita ya ushindi wa Iraq dhidi ya magaidi wa kundi la ISIS au Daesh.
-
Kulaaniwa kimataifa veto ya Marekani dhidi ya azimio la Baraza la Usalama la kusitisha vita vya Gaza
Dec 10, 2023 23:18Kitendo cha kinyama na cha kijinai cha Marekani cha kulipigia kura ya veto azimio la kusitisha vita Gaza katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kimeendelea kulaaniwa kimataifa.
-
Takwimu za miezi miwili ya jinai za utawala wa Kizayuni huko Ukanda wa Gaza
Dec 10, 2023 06:53Takwimu za maafa ya kutisha ya kibinadamu huko Gaza ndizo zilimpelekea Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kutumia kifungu cha 99 cha hati ya Umoja wa Mataifa kujaribu kusimamisha mashambulizi ya kikatili yanayofanywa na Wazayuni dhidi ya raia wasio na hatia.
-
Radiamali ya China kuhusu kura ya turufu ya Marekani dhidi ya azimio la kusitisha vita Gaza
Dec 10, 2023 02:24Zhang Jun, mwakilishi wa kudumu wa China katika Umoja wa Mataifa, ameitaja kura ya turufu ya Marekani dhidi ya azimio la kusitisha mapigano huko Gaza kuwa imeweka wazi siasa za kundumakuwili za Washington katika uwanja wa kimataifa.
-
Kuongezeka wimbi la Wazayuni wanaokimbia ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel)
Dec 09, 2023 23:11Ingawa wimbi la kuhajiri Wazayuni kutoka katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina kuelekea katika nchi walikotoka lilianza huko nyuma, lakini wimbi hilo limeshika kasi sasa baada ya kuanza vita dhidi ya Gaza.
-
Kura ya veto ya Marekani dhidi ya azimio la Baraza la Usalama kuhusu vita vya Gaza
Dec 09, 2023 07:57Marekani, ambayo ni mwanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, imepinga azimio lililopendekezwa na UAE la kuanzisha usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza.
-
Safari ya Rais Vladimir Putin wa Russia katika nchi za Imarati na Saudi Arabia
Dec 09, 2023 02:42Rais Vladimir Putin wa Russia Jumatano alifanya ziara ya siku moja katika nchi za Imarati na Saudi Arabia ambapo alijadiliana na viongozi wa nchi hizo kuhusiana na uhusiano wa pande mbili na masuala ya kimataifa, vikiwemo vita vya Gaza.
-
Muendelezo wa maonyo ya serikali ya Uturuki kwa Israel
Dec 08, 2023 22:53Huku mzozo wa kiuchumi ukiendelea kushika kasi nchini Uturuki, harakati za shirika la ujasusi la utawala wa kibaguzi wa Israel (Mossad) dhidi ya nchi hiyo na mataifa mengine ya Kiislamu zinaendelea kuongezeka.
-
Kushadidi siasa za serikali ya Uingereza dhidi ya wahajiri
Dec 08, 2023 03:57Kuongezeka maombi ya kutafuta hifadhi katika nchi za Ulaya, kumezifanya nchi hizo ziweka sheria kali za kupokea wahamiaji na wanaotafuta hifadhi, suala ambalo limezidisha mashinikizo dhidi yao.