-
Wazayuni wakiri kushindwa katika vita vya Gaza
Dec 28, 2023 00:51kuchukua muda mrefu vita vya Gaza kumewafanya, baadhi ya Wazayuni kukiri kushindwa utawala ghasibu wa Israel katika vita vyake vya jinai huko Gaza.
-
Kuendelea jinai za kivita za Israel huko Gaza kwa ushirikiano wa moja kwa moja wa Marekani na serikali ya Biden
Dec 27, 2023 08:07Uvamizi wa utawala ghasibu katika Ukanda wa Gaza umeingia katika siku ya 82. Jeshi la utawala huo ghasibu limeshambulia vikali miji ya Khan Yunis ulioko kusini na Jabalia kaskazini pamoja na wa Gaza ulioko katikati mwa ukanda huo.
-
Kuongezeka mashinikizo ya familia za mateka wa Israel dhidi ya Netanyahu
Dec 27, 2023 04:18Kutokana na Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, kushindwa kuwakomboa mateka wa Kizayuni kutoka mikononi mwa wapiganaji wa Hamas, mashinikizo ya ndani dhidi ya waziri mkuu huyo wa utawala ghasibu yameongezeka.
-
Sisitizo la Amir-Abdollahian la kutatuliwa matatizo kati ya Iran na Afghanistan
Dec 26, 2023 23:22Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya ulazima wa kutatuliwa masuala yaliyopo kati ya Iran na Afghanistan yakiwemo masuala ya mipaka na maji.
-
Radiamali mbalimbali za kuuawa shahidi mshauri wa kijeshi wa Iran nchini Syria
Dec 26, 2023 05:28Kamanda Sayyid Razi Mousavi, mmoja wa washauri wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH), ambaye alikuwa akifanya kazi katika uga wa utoaji misaada ya kilojistiki kwa Mhimili wa Muqawama wa Syria, aliuawa shahidi katika shambulio lililofanywa jana Jumatatu na utawala wa Kizayuni katika eneo la Zainabiyah mjini Damascus.
-
Ujumbe wa kuendelea maandamano ya wananchi wa Uturuki dhidi ya Israel
Dec 26, 2023 04:02Licha za siasa za kundumakuwili za serikali ya Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki kuhusu masuala ya Palestina, wananchi wa nchi hiyo bado wanaendelea na maandamano yao ya kihamasa dhidi ya Israeli.
-
Radiamali ya Amir Abdollahian kwa madai ya Marekani kuhusu hatua ya Yemen dhidi ya meli za Israel
Dec 25, 2023 23:09Hossein Amir Abdollahian, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kusisitiza kuwa Iran haina askari wa niaba katika eneo la Asia Magharibi amesisitiza kuwa, Iran haihusiki na mashambulizi ya Yemen dhidi ya meli za Israel.
-
Changamoto zinazoikabili Israel na Marekani za kuendeleza vita vya Gaza
Dec 25, 2023 07:03Katika siku ya 80 ya uvamizi ulioanzishwa na utawala haramu wa Kizayuni dhidi ya Gaza, maafa makubwa linayopata jeshi la utawala huo dhalimu katika vita vya ardhini pamoja na mashambulio makali na makubwa linayofanya jeshi hilo katika maeneo mbalimbali ya Gaza, ni matukio ambayo yangali yanaendelea kushuhudiwa katika eneo hilo.
-
Kuvunjika muungano wa baharini wa Marekani kwa kujiondoa Ufaransa, Uhispania na Italia
Dec 25, 2023 02:22Marekani imetangaza kuunda Muungano wa Baharini ikiwa ni katika jitihada zake za kuendelea kuutetea kwa hali na mali utawala ghasibu wa Israel katika hujuma yake ya kinyama dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza na kukabiliana na mashambulizi ya Yemen katika Bahari Nyekundu dhidi ya meli zinazoelekea katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na Israel huko Palestina.
-
Kufikia kikomo uwepo wa kijeshi wa Ufaransa nchini Niger; ushindi kwa Waniger
Dec 24, 2023 07:40Miezi kadhaa baada ya kutokea mabadiliko ya kisiasa nchini Niger na sisitizo la Baraza la Kijeshi la kuondoka vikosi vya kijeshi vya Ufaransa katika ardhi ya nchi hiyo, hatimaye kundi la mwisho la askari wa Paris liliondoka Niger siku chache zilizopita.