-
Mazungumzo ya Istanbul na sisitizo la uanachama wa Ukraine katika Umoja wa Ulaya
Mar 30, 2022 21:58Duru mpya ya mazungumzo kati ya wajumbe wa Russia na Ukraine ilifanyika mjini Istanbul, Uturuki siku ya Jumanne iliyopita. Baada ya mazungumzo na Russia, mkuu wa ujumbe wa Ukraine, David Arakhamia, alisema kuwa hakuna mtu anayeweza kuizuia Ukraine kujiunga na Umoja wa Ulaya.
-
Sisitizo la Iran la kuungwa mkono mapambano ya ukombozi ya watu wa Palestina
Mar 30, 2022 06:37Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani kikao cha uovu kilichofanyika katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel) na kukitaja kuwa ni usaliti kwa mapambano ya ukombozi wa watu wa Palestina.
-
Indhari ya Imran Khan kuhusu njama za madola ya kigeni za kuiondoa madarakani serikali ya Pakistan
Mar 29, 2022 21:49Waziri Mkuu wa Pakistan ametahadharisha kuhusu uingliaji wa nchi ajinabi katika masuala ya ndani ya nchi hiyo kwa lengo la kuiondoa madarakani serikali yake na kusisitiza kuwa hatasalimu amri mbele ya wapinzani wa ndani na njama za nchi kigeni.
-
Ombi la wakazi asilia wa Canada kwa Papa Francis
Mar 29, 2022 02:41Wenyeji wa Canada walionusurika na mauaji ya shule za bweni za Kanisa Katoliki Jumatatu ya jana walimtaka Papa Francis, kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani na mkuu wa Vatican, awezeshwe kupata kuona nyaraka zinazohusiana na jinai hiyo ya mauaji ya kimbari yaiiyolenga maelfu ya watoto wa Wahindu Wekundu na wakazi asilia wa Canada.
-
Kuendelea uchokozi na uvamizi wa Uturuki dhidi ya ardhi za Syria na Iraq
Mar 28, 2022 20:55Sera za nje za serikali ya Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki katika suala la uhusiano wa nchi hiyo na nchi zingine za eneo na dunia kwa ujumla ni za kutafakariwa mno kwa sababu haifahamiki ni malengo gani hasa wanayofuatilia viongozi wa Ankara.
-
Uchu wa Marekani wa kuzidi kuvutia maslahi yake; kizuizi kikuu katika mazungumzo ya Vienna ya uondoaji vikwazo
Mar 28, 2022 05:17Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, katika hatua za mwisho za mazungumzo ya Vienna ya uondoaji vikwazo, Marekani inaibua mambo kadhaa ya kuvutia zaidi maslahi yake.
-
Kuongezeka mpasuko ndani ya EU kuhusu vikwazo vya mafuta na gesi dhidi ya Russia
Mar 27, 2022 21:57Waziri Mkuu wa Poland, Mateusz Morawiecki amedai kuwa, nchi tatu za Ulaya za Ujerumani, Austria na Hungary ni kizuizi katika utekelezaji wa vikwazo vipya dhidi ya Russia na kuzifananisha nchi hizo tatu na breki inayozuia vikwazo vya Magharibi dhidi ya Moscow.
-
Kuanza mwaka wa nane wa vita na kujiamini kikamilifu wananchi wa Yemen
Mar 27, 2022 03:16Jumamosi ya jana tarehe 26 Machi, 2022, vita vya kivamizi vilivyoanzishwa na Saudi Arabia na wavamizi wenzake nchini Yemen, viliingia kwenye mwaka wake wa nane. Jeshi la Yemen na vikosi vya kujihami vya wananchi wa nchi hiyo, vimeuanza mwaka huo wa nane kwa shambulio kubwa na kali dhidi ya taasisi hasasi na nyeti za Saudia ikiwemo taasisi kubwa ya mafuta ya Aramco mjini Jeddah.
-
Mwito wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa Taliban
Mar 26, 2022 22:00Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeitaka Taliban ichukue hatua haraka iwezekanavyo kuhakikisha wasichana nchini Afghanistan wanarudi mashuleni kuendelea na masomo.
-
Kuendelezwa sera za Mohammad Bin Salman za kupiga vita dini nchini Saudi Arabia
Mar 26, 2022 07:19Serikali ya Saudi Arabia imepitisha uamuzi wa kupiga marufuku kurushwa hewani adhana kwenye vyombo ya habari vya nchi hiyo katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.