-
Mauaji ya kimbari Ukanda wa Gaza; Israel inawachoma moto wakimbizi kwenye mahema yao
Dec 07, 2024 22:58Katika kuendelea jinai za Israel dhidi ya Wapalestina wakazi wa Ukanda wa Gaza, Shirika la Haki za Kibinadamu la Ulaya na Mediterania limetangaza kuwa jeshi la Kizayuni limeteketeza kwa moto kundi la wakimbizi wa Kipalestina wakiwa hai katika eneo la Khan Yunis.
-
Ufaransa; kuanzia mivutano hadi mgogoro wa kisiasa
Dec 07, 2024 07:35Hatimaye wabunge wa vyama vya mrengo wa kulia na kushoto vyenye misimamo mikali katika bunge la taifa la Ufaransa wametimiza ahadi yao na kuiondoa madarakani serikali ya Waziri Mkuu wa nchi hiyo Michel Barnier.
-
Sisitizo la Putin la kustawishwa ushirikiano wa kiuchumi wa Iran na Russia
Dec 07, 2024 00:36Rais Vladimir Putin wa Russia amesisitiza kuwa, uhusiano wa kibiashara na kiuchumi wa nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni imara, unazidi kutia matumaini na bila ya shaka yoyote mwaka huu, kiwango cha mabadilishano ya kibiashara baina ya nchi hizi mbili, kitaongezeka.
-
Hali ya mbaya ya maafa ya Gaza sambamba na kimya cha wanaodai kutetea ubinadamu
Dec 06, 2024 00:26Katika msimamo wake wa karibuni, Antonio Guterres Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameelezea hali ya Ukanda wa Gaza kuwa ni "ya kutisha na ya maafa."
-
Sisitizo la Araghchi juu ya haja ya kukabiliana na makundi ya kigaidi nchini Syria
Dec 05, 2024 04:46Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya ulazima wa kuweko uratibu wa nchi za kieneo na jibu la haraka la jamii ya kimataifa katika kukabiliana na makundi ya kigaidi nchini Syria.
-
Iran yapinga madai ya 'Troika ya Ulaya' kuhusu kadhia ya nyuklia
Dec 04, 2024 23:27Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amemtumia barua Katibu Mkuu wa umoja huo na Baraza la Usalama akisema kuwa tuhuma zilizotolewa dhidi ya Tehran hazina msingi wowote na zina malengo ya kisiasa. Amir Saeid Iravani ameeleza hayo kufuatia tuhuma zilizotolewa na wawakilishi wa Troika ya Ulaya dhidi ya Tehran. Troika hiyo inajumuisha Ufaransa, Uingereza na Ujerumani.
-
Sababu na malengo ya utawala wa Kizayuni katika kuvunja mara kwa mara makubaliano ya kusitisha vita Lebanon
Dec 04, 2024 02:56Hata kabla ya mapatano ya kusitishwa vita nchini Lebanon kutimiza wiki moja, utawala wa Kiyahudi wa Israel umekiuka makubaliano hayo mara kadhaa.
-
Kukiri Israel juu ya kutekeleza ufutaji kizazi katika Ukanda wa Gaza
Dec 03, 2024 23:15Waziri wa zamani wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel Moshe Yaalon amesisitiza kwa mara nyingiine tena kwamba, utawala huo unafanya "maangamizi ya kizazi" kaskazini ya Ukanda wa Gaza, akimshutumu Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu kwa kuielekeza Israel kwenye "uharibifu."
-
Ugaidi wa kimataifa nchini Syria
Dec 03, 2024 04:08Matukio ya siku za hivi karibuni nchini Syria kwa mara nyingine tena yameangazia suala la ugaidi wa kimataifa katika nchi hiyo.
-
Vitisho vya Trump dhidi ya mataifa wanachama wa BRICS
Dec 02, 2024 23:19Donald Trump, rais mteule wa Marekani, amezitishia nchi wanachama wa kundi la BRICS kwamba ikiwa zitajaribu kuanzisha sarafu nyingine itakayokuwa mbadala wa dola ya Marekani, ataziwekea bidhaa zao ushuru wa kibiashara wa 100%.