Matukio
  • Jeshi la Israel limeua na kujeruhi makumi ya wakazi wa Khan Yunis kusini mwa Gaza  + Video

    Jeshi la Israel limeua na kujeruhi makumi ya wakazi wa Khan Yunis kusini mwa Gaza + Video

    Jul 13, 2024 11:48

    Ndege za kivita za jeshi la utawala katili wa Israel limeushambulia mji wa Khan Yunis kusini mwa Ukanda wa Gaza na kuuwa wakazi wa mji huo wasiopungua 71 na kujeruhi wengine 289 hadi hivi sasa.

  • Ulimwengu wa Spoti, Jul 8

    Ulimwengu wa Spoti, Jul 8

    Jul 08, 2024 07:22

    Natumai u mzima wa afya mpenzi msikilizaji, na karibu tuangazie japo kwa mukhtasari baadhi ya matukio makubwa yaliyoshuhudiwa viwanjani ndani ya siku saba zilizopita katika kona mbalimbali za dunia.....

  • Ulimwengu wa Spoti, Julai Mosi

    Ulimwengu wa Spoti, Julai Mosi

    Jul 01, 2024 07:18

    Natumai u bukheri wa afya msikilizaji mpendwa hapo ulipo. Karibu katika dakika hizi chache za kuangazia kwa ufupi baadhi ya matukio makubwa ya spoti yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita kitaifa na kimataifa.

  • Video na Picha za kombora la hypersonic la Yemen lililopiga meli ya Israel

    Video na Picha za kombora la hypersonic la Yemen lililopiga meli ya Israel

    Jun 27, 2024 06:26

    Vikosi vya Ulinzi vya Yemen vimesambaza video na picha zinazoonyesha kombora la balestiki la hypersonic la vikosi majeshi ya nchi hiyo lililotumika kupiga meli ya utawala wa Kizayuni katika Bahari Nyekundu au Bahari ya Sham.

  • Ulimwengu wa Spoti, Juni 24

    Ulimwengu wa Spoti, Juni 24

    Jun 24, 2024 06:46

    Natumai u bukheri wa afya msikilizaji mpendwa, na karibu tuangazie japo kwa mukhtasari baadhi ya matukio ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita katika kona mbalimbali za dunia.

  • Droni ya Hud-hud ya Hizbullah yazusha kiwewe katika safu za Wazayuni + Picha

    Droni ya Hud-hud ya Hizbullah yazusha kiwewe katika safu za Wazayuni + Picha

    Jun 23, 2024 10:54

    Ingawa vyombo vya habari vya serikali ya utawala wa Kizayuni vinapigana kufa na kupona kuchuja mno habari na kufifiliza athari za droni ya Hodhod ya Hizbullah ndani kabisa ya ardhi za Palestina zilizopachikwa jina bandia la Israel lakini vinashindwa kuficha athari zake kubwa ikiwa ni pamoja na kiwewe kilichowakumba viongozi wa Israel.

  • Ansarullah yasambaza mkanda wa video unaoonesha namna inavyozamisha meli za maadui + Video

    Ansarullah yasambaza mkanda wa video unaoonesha namna inavyozamisha meli za maadui + Video

    Jun 20, 2024 07:08

    Afisa mmoja wa harakati ya Ansarullah wa Yemen amethibitisha kuwa harakati hiyo imesambaza mkanda wa video unaoonesha operesheni za harakati hiyo dhidi ya meli ya Tutor iliyokaidi marufuku ya kutoelekea kwenye bandari za utawala wa Kizayuni.

  • Watu 21 wafariki dunia na kujeruhiwa baada ya basi la kanisa kuteketea kwa moto Zimbabwe

    Watu 21 wafariki dunia na kujeruhiwa baada ya basi la kanisa kuteketea kwa moto Zimbabwe

    Jun 17, 2024 10:47

    Takriban Wakristo saba wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Manicaland waliokuwa wanatoka katika ibada ya kanisa la Bernard Mzeki mjini Marondera wameteketea kwa moja katika ajali mbaya iliyotokea eneo la Gandanzara wilayani Makoni baada ya basi walilokuwa wakisafiria kuwaka moto ghafla.

  • Wanadiplomasia waandamizi wa Iran na Imarati wajadiliana maendeleo ya kikanda 

    Wanadiplomasia waandamizi wa Iran na Imarati wajadiliana maendeleo ya kikanda 

    Jun 16, 2024 06:25

    Wanadiplomasia wakuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Umoja wa Falme za Kiarabu wamefanya mazungumzo kwa njia ya simu na kujadiliana matukio ya hivi karibu katika eneo hili na masuala yenye maslahi kwa pande zote mbili.