-
Waziri Mkuu wa Italia akosoa sera za ukoloni na unafiki wa Ufaransa kuhusu wahamiaji
Nov 20, 2022 07:44Waziri Mkuu wa Italia ameikosoa hadharani Ufaransa kwa mtazamo wake wa kinafiki kuhusu suala la wahamiaji wanaotoka Afrika, ambalo limekuwa mzozo kati ya nchi hizo mbili katika wiki za karibuni huku akifichua sera ya ukoloni ya Paris huko Burkina Faso.
-
Maandamano yaendelea Sudan kulalamikia uingiliaji wa nchi ajinabi
Nov 13, 2022 08:08Maelfu ya watu wameandamana Sudan wakitaka kukomeshwa uingiliaji wa nchi ajinabi katika masuala ya ndani ya nchi hiyo.
-
Aliyemrushia mayai Mfalme Charles kupinga utawala wa kifalme Uingereza, atiwa nguvuni + Video
Nov 09, 2022 13:23Vyanzo vya habari vya Uingereza vimeripoti leo Jumatano kukamatwa kwa mwanamume aliyemrushia mayai Mfalme Charles III na mkewe, Camelia, wakati wa ziara yakke eneo la York.
-
Rais wa Zanzibar apokea ripoti ya Kikosi Kazi iliyojadili maoni ya wananchi + SAUTI
Nov 03, 2022 04:03Rais Hussein Ali Hassan Mwinyi wa Zanzibar amepokea ripoti ya Kikosi Kazi kilichoshughulikia uchambuzi wa maoni yaliyotolewa kwenye kongamano la siku mbili lililojadili hali ya kisiasa Zanzibar mwezi uliopita. Harith Subeit na maelezo zaidi kutoka Zanzibar.
-
Matokeo ya Sensa: Idadi ya watu Tanzania yafikia milioni 61.74 + SAUTI
Oct 31, 2022 11:10Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametangaza matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi iliyofanyika Agosti mwaka huu akisema kuwa idadi ya Watanzania ni milioni 61,741,120.
-
SEPAH: Wananchi wa Iran daima wamekuwa wakiifedhehesha Marekani
Oct 30, 2022 02:31Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) amesisitiza kuwa, kwa kujitokeza kwao vilivyo katika kuyalinda Mapinduzi ya Kiislamu; muda wote wananchi wa Iran wamekuwa wakiidhalilisha na kuifedhehesha Marekani na kuthibitisha kivitendo matamshi ya Imam Khomeini MA kuwa Marekani haiwezi kulifanyia taifa la Iran upuuzi wowote.
-
Uhusiano wa Zanzibar na Iran unazidi kuimarika + SAUTI
Oct 20, 2022 16:38Meya wa jiji la Zanzibar ameonana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jijini Dar es Salaam Tanzania na pande mbili zimehimiza mno kuendelezwa uhusiano wa damu na wa jadi baina yao. Harith Subeit na maelezo zaidi kutoka Zanzibar
-
Ziara ya Rais wa Zanzibar nchini Oman + SAUTI
Oct 15, 2022 17:41Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Hassan Mwinyi amemaliza ziara yake ya siku nne nchini Oman na amesema kuwa, ziara yake hiyo imekuwa na mafanikio makubwa. Mwandishi wetu wa Zanzibar, Harith Subeit na maelezo zaidi...
-
Iran yafanyia jaribio chombo kipya cha kubeba satalaiti
Oct 05, 2022 02:11Iran imefanyia majaribio chombo kilichobuniwa na kutengenezwa nchini chenye uwezo wa kuhamisha satalaiti zilizo katika anga za mbali kutoka sehemu moja hadi nyingine.
-
Ebrahim Raisi: Maadui walifanya njama kuzuia isiwafikie walimwengu sauti ya taifa la Iran
Sep 24, 2022 02:59Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, maadui walifanya njama kubwa za kuzuia kuwafikia walimwengu sauti ya taifa la Iran wakati wa ziara yake mjini New York Marekani alikohutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.