-
SAUTI, Shirika la Msalaba Mwekundu lawataka wahisani duniani kutuma misaada yao ili kuwasaidia waathirika wa mapigano ya hivi karibuni
Jan 29, 2020 12:37Shirika la Msalaba Mwekundu nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati limewataka wahisani duniani kutuma misaada yao kwenda shirika hilo ili liweze kuwahudumia watu walioathirika na mapigano ya hivi karibuni nchini humo.
-
Wahalifu wanaotafuta damu ya watoto 1000 kufanya kafara Gabon wamekuwa janga + Sauti
Jan 27, 2020 23:00Wazazi katika mji mkuu wa Gabon, Libreville, Jumatatu, Januari 27, 2020 hawakuwaruhusu watoto wao kwenda skuli licha ya serikali kuweka ulinzi mkali katika skuli zote za mji huo mkuu. Wazazi hao wanasema kuwa hatua hiyo pekee haiwezi kuwazuia wahalifu wanaotafuta damu za watoto elfu moja kama kafara ya kuwabakisha madarakani. Mossi Mwasi na maelezo zaidi kutoka Brazzaville.
-
Chama cha FDC chailaumu vikali serikali ya Uganda + Sauti
Jan 20, 2020 12:48Kwa mara nyingine tena, mwanasiasa mkongwe katika chama cha FDC nchini Uganda, Daktari Kizza Besigye ameikosoa vikali serikali ya Rais Yoweri Museveni kutokana na ubabe na ukandamizaji unaofanywa na vyombo vya dola dhidi ya wapinzani. Kigozi Ismail na maelezo zaidi kutoka Kampala.
-
Wazanzibar: Miaka 56 baadaye, malengo ya Mapinduzi hayajafikiwa
Jan 12, 2020 13:14Sherehe za maadhimisho ya miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar zimefanyika leo Jumapili katika Uwanja wa Abeid Aman Karume kisiwani Unguja.
-
Wakazi wa kaskazini mwa Bujumbura waendelea kuteseka kwa madhara ya mafuriko + Sauti
Jan 07, 2020 05:01Waathiriwa wa mafuriko katika baadhi ya maeneo ya kaskazini mwa Bujumbura waliopiga kambi katika madarasa ya shule wametakiwa kuondoka ili kuruhusu sehemu ya pili ya mwaka wa shule kuanza. Hata hivyo raia hao wanalalamika kutokuwa na sehemu ya kwenda. Hali hiyo imepelekea baadhi ya shule katika eneo hilo kuakhirisha kufungua muhula mpya wa masomo. Hamida Issa na maelezo zaidi kutoka Bujumbura…
-
Mwili wa shahidi Qassem Soleimani na ya mashahidi wenzake yasindikizwa na kuagwa Ahvaz na Mashhad + Video
Jan 05, 2020 12:10Mwili wa shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, kamanda wa kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu na ya mashahidi wenzake waliouliwa shahidi pamoja naye katika jinai ya kinyama iliyofanywa na majeshi ya kigaidi ya Marekani imesindikizwa na kuagwa leo katika mji mtakatifu wa Mashhad kaskazini mwa Iran na huko Ahvaz kusini mwa nchi.
-
SAUTI, Fadhil Al-Nusr Muhadhiri Chuo Kikuu Tanzania: Qassem Soleimani hakuwa tu kamanda wa kijeshi bali alikuwa mlezi mkubwa wa kiroho
Jan 03, 2020 12:42Dunia imeendelea kutoa radiamali yake kutokana na kuuawa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (Sepah) Meja Jenerali Qassem Solaimani aliyeuawa shahidi kigaidi na helikopta ya kijeshi ya Marekani katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa mjini Baghdad nchini Iraq mapema leo asubuhi.
-
SAUTI, Mansour Amr wa Kongo DR: Qassem Soleimani alikuwa zaidi ya makamanda duniani, hakusema kwa maneno bali kwa vitendo
Jan 03, 2020 11:16Dunia imegubikwa na huzuni kubwa ya kuuawa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (Sepah) Meja Jenerali Qassem Solaimani aliyeuawa shahidi kigaidi na helikopta ya kijeshi ya Marekani katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa mjini Baghdad nchini Iraq mapema leo asubuhi.
-
SAUTI, Shirika la Kutetea haki za Wafungwa nchini Burundi NDABARIZA lataka msamaha wa Rais Nkurunziza utekelezwa haraka
Jan 02, 2020 13:32Shirika la Kutetea Haki za Wafungwa nchini Burundi (NDABARIZA), limevitaka vyombo husika vya serikali kutekeleza agizo la Rais Pierre Nkurunziza la kuwaachilia huru wafungwa waliopewa msamaha na rais huyo.
-
Waislamu Zanzibar wahimizwa kujifunza elimu ya ndoa ili kuepuka talaka holela + Sauti
Dec 27, 2019 12:20Waislamu visiwani Zanzibar hasa vijana wametakiwa kulipa umuhimu suala la elimu ya ndoa ili kupunguza wimbi la talaka za kiholela ambazo kimsingi zinahesabiwa ni sehemu moja ya kukanyaga haki za watoto. Hayo na mengineyo yamo kwenye ripoti ya kila wiki ya matukio ya Kiislamu, Afrika Mashariki, kama inavyoletwa kwenu na mwandishi wetu wa Zanzibar, Harith Subeit.