-
SAUTI, Serikali ya Uganda yawaasa wakulima kuzingatia kilimo cha kisasa, kuzalisha mazao mengi
Oct 17, 2019 13:30Wakulima nchini Uganda wametakiwa kutumia kilimo cha kisasa na kuachana na kilimo cha mikono ambacho kilishapitwa na wakati.
-
SAUTI, Propaganda za BBC dhidi ya Mashia zaendelea kupondwa, Sheikh Taqee Zakaria aelezea njama zao dhidi ya Uislamu
Oct 11, 2019 13:18Baada ya Shirika la Utangazaji nchini Uingereza BBC kutoa video iliyojaa chuki, ghilba na upotoshaji dhidi ya Waislamu hasa wa Kishia, Waislamu mbalimbali duniani wameendelea kulilaani vikali shirika hilo ambalo lina historia nyeusi katika kueneza chuki na tofauti kati ya jamii mbalimbali wakiwemo Waislamu duniani.
-
SAUTI, Vijana elfu 10 wa nchi za Afrika wakutana mjini Kigali, Rwanda kujadili mustakbali wao ndani ya bara hilo
Oct 11, 2019 12:55Jumla ya Vijana 10,000 kutoka nchi zote za Kiafrika na baadhi ya wawakilishi wa mashirika ya vijana ulimwenguni wanakutana mjini Kigali, Rwanda.
-
Ripoti ya upotoshaji ya BBC kuhusu matembezi ya Arubaini ya Imam Husain AS yakosolewa vikali + Sauti
Oct 10, 2019 12:06Baada ya shirika la utangazaji la utawala wa kifalme wa Uingereza BBC kusambaza mkanda wa video uliojaa chuki na upotoshaji dhidi ya Waislamu hasa wa Kishia na dhidi ya matembezi ya Arubaini ya Imam Husain AS, banda hilo la propaganda la ufalme wa Uingereza limekumbwa na ukosoaji mkali. Ammar Dachi na maelezo zaidi kutoka Dar es Salaam Tanzania
-
Utabiri wa Sayyid Nasrullah watimia, Marekani yawasaliti Wakurdi wa Syria + Video
Oct 08, 2019 07:30Wanamgambo wa Kikurdi wa kaskazini mwa Syria wameilalamikia vikali Marekani kwa kuwasaliti na kuwatelekeza katika mashambulizi ya jeshi la Uturuki dhidi yao, suala ambalo limethibitisha ukweli wa utabiri wa Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah alioutoa takriban miaka miwili iliyopita.
-
Waislamu Tanzania wajiandaa kufanya Maulidi ya Mtume Muhammad SAW kwa hamasa kubwa zaidi mwaka huu + Sauti
Oct 07, 2019 06:03Viongozi wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) wametoa ufafanuzi kuhusu maandalizi ya Maulidi ya Kitaifa yanavyoendelea jijini Mwanza na wamejipanga kufanya shughuli mbalimbali za kijamii kuelekea maadhimisho hayo ya kuzaliwa Bwana Mtume Muhammad SAW. Ammar Dachi na taarifa zaidi kutoka Dar es Salaam...
-
Answarullah: Kama Wasaudia hawataki suluhu, jeshi na mamluki wao watasambaratishwa kabisa + Video
Sep 29, 2019 23:49Mjumbe wa Baraza la Kijeshi la harakati ya Kiislamu ya Answarullah ya Yemen amesema kuwa, iwapo Saudi Arabia itaendelea kufanya ukaidi wa kukataa suluhu na kuendelea na mashambulizi yake nchini Yemen, itambue kuwa jeshi na mamluki wake watasambaratishwa kikamilifu.
-
Zarif: Iwapo Marekani inataka mazungumzo na Iran lazima itekeleze ahadi zake
Sep 29, 2019 03:46Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Iran haitaacha mustakabali wa uchumi na wananchi wake utegemee mkutano wa kimaonyesho na Rais Donald Trump wa Marekani. Ameongeza kuwa, kama ambavyo Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu alivyosema, 'iwapo Mareknai inataka kufanya mazungumzo na Iran, ni lazima kwanza itekeleze ahadi zake na isitishe vikwazo.'
-
Video: Brigedi 3 za Saudia zaangamizwa; mamia ya mamluki wametekwa katika mashambulizi Najran
Sep 28, 2019 23:26Msemaji wa jeshi la ulinzi la Yemen amesema kuwa brigedi tatu za kijeshi za Saudi Arabia zimeangamizwa kikamilifu baada ya askari jeshi wa Yemen huku wakiungwa mkono na makundi ya kujitolea ya wananchi walipotekeleza oparesheni kubwa ya kijeshi katika mkoa mpakani kusini mwa Saudi Arabia.
-
Kenya yatangaza kampeni kubwa ya kupambana na silaha haramu + Sauti
Sep 26, 2019 22:59Msemaji wa serikali ya Kenya amesema kuwa watatumia mkono wa chuma kukabiliana na wale wote wanaomiliki silaha haramu nchini humo. Amesema watu hao watahesabiwa ni wahalifu wenye silaha hatari kwa maisha ya raia. Seifullah Murtadha na maelezo zaidi kutoka Mombasa, Kenya.