-
IRGC yaanza maneva makubwa la kijeshi Ghuba ya Uajemi kwa kutoa onyo kwa meli za Marekani
Dec 05, 2025 07:21Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimeanza mazoezi makubwa katika Ghuba ya Uajemi, kikionyesha uwezo wa hali ya juu wa kujilinda na kushambulia ulioimarishwa kwa akili mnemba.
-
Kamanda: Mazoezi ya kijeshi ya Sahand 2025 yamemalizika kwa mafanikio katika sinario zote
Dec 05, 2025 04:22Kamanda wa manuva ya kupambana na ugaidi ya "Sahand 2025" ameuelezea ujumbe wa mazoezi hayo ya kijeshi kuwa ni juhudi za pande zote za kupambana na ugaidi, akisema: "Vikosi vya Nchi Kavu vya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu na vya nchi zilizoshiriki vimefanikiwa kutekeleza sinario zote za manuva hayo".
-
Spika wa Bunge: Iran iko wazi kwa diplomasia lakini usalama wa taifa na nguvu ya ulinzi haviwezi kujadiliwa
Dec 04, 2025 23:28Spika wa Bunge la Iran, Mohammad-Baqer Qalibaf amesema ingawa Iran iko wazi kwa diplomasia, lakini haitalegeza kamba katika suala la usalama wa taifa na nguvu zake za ulinzi.
-
Shamkhani azionya nchi za Ghuba ya Uajemi kutocheza na “mistari myekundu” ya Iran
Dec 04, 2025 08:51Mwakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei katika Baraza la Ulinzi la Iran amelionya Baraza la Ushirikiano la Nchi za Ghuba ya Uajemi dhidi ya madai “yasiyo ya kujenga” kuhusu visiwa vitatu vya Iran na visima vya gesi vya Arash.
-
Televisheni ya Kiebrania ya Iran yazua wasiwasi katika vyombo vya habari vya Israel
Dec 04, 2025 08:33Press TV ya Iran imezindua kitengo cha lugha ya Kiebrania jambo ambalo limezua hofu katika duru za vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel kwani hatua hiyo inaonekana kama sehemu ya juhudi za kimkakati za Iran kuathiri maoni ya Waisraeli huku kukiwa na vita vya simulizi vinavyozidi kupamba moto.
-
Kamanda wa IRGC: Usalama wa Ghuba ya Uajemi ni 'mstari mwekundu'
Dec 04, 2025 04:17Naibu Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ametoa onyo kali kwa Marekani na washirika wake kuhusu Ghuba ya Uajemi na Mlango-Bahari wa Hormoz, akisema usalama wa njia hiyo ya maji ni "mstari mwekundu" wa Iran na misheni kuu ya IRGC.
-
Iran: Mhimili wa muungano na uongozi katika ushirikiano wa kupambana na ugaidi katika jumuiya ya SCO
Dec 04, 2025 00:17Mazoezi maalumu ya kupambana na ugaidi ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO), "Sahand 2025," yanafanyika katika Kaunti ya Shabestar, Mkoa wa Azerbaijan Mashariki, nchini Iran.
-
Kiongozi Mkuu: Jamhuri ya Kiislamu imebatilisha mantiki potofu ya Magharibi kuhusu mwanamke
Dec 03, 2025 10:33Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ameashiria mwenendo wa Magharibi wa kukazania kueneza utamaduni wake potofu duniani na kueleza kwamba: "wao wanadai kuwa mipaka maalumu iliyowekwa kwa ajili ya mwanamke, ikiwemo hijabu, vitazuia maendeleo yake,
-
Soko la ujenzi na nyumba Israel limeporomoka baada ya Vita vya Siku 12 na Iran
Dec 03, 2025 03:08Hivi karibuni mamlaka na vyombo vya habari vya Kizayuni vimekiri kupata kipigo kikali kutokana na vita vya Ghaza na mashambulizi ya kulipiza kisasi ya makombora ya Iran na kwamba kukiri huko kunaonesha kwamba makombora ya Iran hayakuvuruga tu milingano ya usalama, bali pia yamesambaratisha mshipa wa kiuchumi wa soko la nyumba la Israel.
-
Qalibaf: Manuva ya Sahand 2025 ni ishara ya nguvu ya mataifa huru dhidi ya madola ya kibeberu
Dec 02, 2025 09:56Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya iran amesema kuwa, manuva ya kupambana na ugaidi ya Sahand 2025 ni ishara ya nguvu ya mataifa huru dhidi ya madola ya kibeberu.