-
Rais wa Iraq asisitiza kuimarisha uhusiano na Iran
Dec 02, 2025 09:54Rais wa Iraq amesisitiza umuhimu wa kuimarishwa uhusiano kati yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Araqchi: Mahusiano ya kimataifa yamebadilika na kuwa ya kimabavu kutokana na mienendo ya Marekani
Dec 02, 2025 03:11Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: "Baada ya raundi tano za mazungumzo, wakati Iran ilipokuwa ikijiandaa kwa raundi ya sita, Marekani ilikiuka njia ya kidiplomasia na juhudi za upatanishi."
-
Araghchi: Ni Marekani ndiyo inayopaswa kurudi kwenye diplomasia kwa kuifanya Iran iwe na imani nayo
Dec 01, 2025 23:40Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi amesema, ni Marekani ndiyo inayopaswa kurudi kwenye diplomasia kwa kuifanya Iran iwe na imani nayo.
-
Mitazamo ya pamoja ya Tehran-Ankara kuunga mkono Palestina na kukabiliana na uingiliaji wa kigeni
Dec 01, 2025 09:30Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Hakan Fidan amekutana hapa mjini Tehran na kufanya mashauriano na Rais wa Iran Masoud Pezeshkian, Spika wa Bunge Mohammad Baqer Qalibaf, na Waziri wa Mambo ya Nje Seyyed Abbas Araqchi.
-
Msemaji wa SEPAH: Tutajibu vikali mno na zaidi, uovu wowote mpya wa adui
Dec 01, 2025 06:57Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH, amesisitiza kwamba adui hana uthubutu wa kufanya uvamizi mpya wala uwezo wa kurudia makosa yake ya huko nyuma na kuongeza kuwa, kama adui atafanya uovu wowote mpya dhidi ya Iran, atapata jibu zito zaidi na kali mno zaidi kuliko huko nyuma na hicho ni kitu ambacho hakina chembe ya shaka.
-
Baghaei: Marekani ni tishio kubwa zaidi kwa amani na usalama wa kimataifa
Dec 01, 2025 06:56Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya iran amesema kuhusu vitendo vya Marekani dhidi ya amani ya dunia kuwa, ukweli ni kwamba Marekani ni tishio kubwa zaidi kwa amani na usalama wa kimataifa, na hivi sasa tunashuhudia matumizi maovu ya nguvu za Marekani katika nchi kama Venezuela na Afrika Kusini.
-
Katika mazungumzo na Fidan, Rais wa Iran aziasa nchi za Kiislamu zisahilishe badala ya kutatiza mambo
Dec 01, 2025 03:01Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria hali hasasi na nyeti iliyopo hivi sasa katika Ulimwengu wa Kiislamu na kueleza kwamba: "wakati maadui wa pamoja wa mataifa ya Kiislamu wanatafuta njia za kuzidisha mashinikizo, ingetarajiwa nchi za Kiislamu zirahisishiane hali na mazingira na kujiepusha na utatizaji wa mambo".
-
Uvumbuzi wa Bioteknolojia Iran: Manyoya ya kuku kuwa lishe ya mifugo
Nov 30, 2025 23:20Iran imezindua uvumbuzi wa kisayansi unaoweza kubadilisha tasnia ya mifugo na kuku, kuimarisha usalama wa chakula wa ndani na kupunguza utegemezi wa uagizaji wa chakula cha mifugo kutoka nje.
-
Kituo kipya cha Treni cha Maria Mtakatifu chafunguliwa Tehran
Nov 30, 2025 23:19Halmashauri ya Jiji la Tehran imezindua rasmi kituo kipya cha metro (treni ya chini ya ardhi) kinachoitwa Maryam-e Moqaddas , yaani Maria Mtakatifu , kama ishara ya kuonyesha maelewano na kuishi kwa amani baina ya dini mbalimbali nchini humo.
-
Qalibaf: Hatua ya Australia dhidi ya Iran haitaweza kuzuia ushawishi wa IRGC
Nov 30, 2025 09:04Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge la Iran) Mohammad Baqer Qalibaf amelaani vikali hatua ya serikali ya Australia ya kuliweka katika orodha nyeusi Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), akibainisha kuwa hatua hiyo haitaweza kuzuia ushawishi wa IRGC.