-
Wananchi wa Iran waadhimisha kumbukizi ya kuuawa shahidi Nasrullah
Oct 03, 2025 00:01Wananchi Waislamu wa Iran wamefanya marasimu ya kumbukumbu ya mwaka mmoja ya kuuawa shahidi Sayyid Hassan Nasrullah, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon.
-
IRGC yasema iko tayari kujibu uchokozi wowote wa adui kwa nguvu zaidi
Oct 03, 2025 00:00Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limeonya kwamba, kitendo chochote kipya cha uadui dhidi ya Iran kitakabiliwa na jibu kubwa zaidi.
-
Dkt. Larijani: Marekani haina nia ya kufanya mazungumzo ya dhati
Oct 02, 2025 08:41Katibu wa Baraza Kuu la Usalama la Taifa la Iran amesema kuwa, Marekani haina nia ya dhati ya kufanya mazungumzo.
-
Iran: Uchokozi wa Israel dhidi ya msafara wa Sumud ni ugaidi na ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa
Oct 02, 2025 04:26Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali kitendo cha utawala ghasibu wa Israel cha kuivamia kijeshi msafara wa kimataifa wa meli unaojulikana kama Sumud uliokuwa ukielekea Ukanda wa Ghaza kwa ajili ya kufikisha misaada ya kibinadamu na kuvunja mzingiro Tel Aviv dhidi ya Ukanda wa Gaza.
-
Iran na Japan zafungua ukurasa mpya katika ushirikiano wa kisayansi
Oct 02, 2025 04:25Waziri wa Sayansi, Utafiti na Teknolojia wa Iran Hossein Simaee amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Japan nchini Iran Tamaki Tsukada kabla ya kufanya ziara huko Japan kwa lengo la kushiriki katika kikao cha 22 cha Kongamano la Sayansi na Teknolojia katika Jamii (STS).
-
Watafiti Watano wa Iran kutoka Taasisi ya Royan wamo kati ya asilimia 2 bora duniani
Oct 01, 2025 23:17Watafiti watano kutoka Taasisi ya Royan nchini Iran wametajwa miongoni mwa asilimia 2 ya wanasayansi wanaonukuliwa zaidi duniani, kwa mujibu wa orodha iliyochapishwa na Chuo Kikuu cha Stanford.
-
Pezeshkian: Iran inatoa kipaumbele kuimarisha uhusiano na China
Oct 01, 2025 09:07Rais Masoud Pezeshkian wa Iran katika ujumbe wake kwa mwenzake wa China, Xi Jinping, amesisitiza kuwa Tehran inatoa kipaumbele kwa suala la kuimarisha ushirikiano wa kimkakati na wa kina na Beijing.
-
Araghchi aiambia CNN: Kurutibisha urani ni haki ya msingi ya Iran
Oct 01, 2025 07:21Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kurutubisha madini ya urani ni haki isiyopingika na isiyopokonyeka ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
SEPAH: Iwapo vita vipya vitazuka, tutatoa pigo zito zaidi kuliko la huko nyuma
Oct 01, 2025 03:01Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH amezungumzia njama za maadui dhidi ya taifa la Iran na kusisitiza kwa kusema: "Ni jambo lisilo na chembe ya shaka kwamba tutatoa pigo zito zaidi, tata na kali mno dhidi ya adui kuliko huko nyuma, iwapo kutaanzishwa vita vipya dhidi yetu."
-
Pezeshkian: Si katika hulka na dhati ya Iran kusalimu amri
Sep 30, 2025 23:18Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian ameashiria azma na irada thabiti ya Jamhuri ya Kiislamu mkabala wa mashinikizo ya maajinabi na kutangaza kwamba, taifa hili kamwe halitakubali kuburuzwa na kushinikizwa.