-
Hamas yaonya kuhusu ongezeko la ubomoaji wa majengo Ukingo wa Magharibi, yataka hatua za kimataifa zichukuliwe dhidi ya Israel
Jun 10, 2026 03:55Harakati ya Hamas imeonya kuhusu ongezeko la shughuli za ubomoaji wa nyumba na majengo ya Wapalestina unaofanywa na Israel katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu, ikiwa ni pamoja na al-Khalil, ikitaja vitendo hivyo kuwa ni ukiukaji wa sheria za kimataifa.
-
Shughuli ya kumuaga Imam Khamenei kufanyika baada ya siku kumi za kwanza za Muharram
Jun 10, 2026 03:47Makao makuu ya taasisi yanayosimamia shughuli za kumuenzi shahidi Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, yametangaza kuwa shughuli ya kumuaga na mazishi ya Shahidi huyo yatafanyika baada ya siku 10 za mwanzo za mwezi wa Muharram.
-
Uganda: Kizza Besigye apinga kuwekwa kizuizini katika kesi ya uhaini inayomkabili
Jun 10, 2026 03:46Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Kizza Besigye, amewasilisha ombi mahakamani akitaka kutolewe uamuzi wa kusimamisha kuendelea kushikiliwa kizuizini na kufunguliwa mashtaka.
-
Spika wa Bunge la Lebanon ataka kuondoka Israel nchini humo huku Hizbullah ikifichua madai ya uwongo ya Trump
Jun 10, 2026 03:43Spika wa Bunge la Lebanon amesema kuwa nchi hiyo haitakubali chochote isipokuwa usitishaji vita kamili na usio na masharti kwa upande wa ardhini, anga na baharini, na kusisitiza msimamo thabiti wa Muqawama wa Lebanon dhidi ya hujuma za Israel.
-
Maandamano dhidi ya kituo cha kupambana na Ebola cha Marekani huko Kenya yageuka kuwa vurugu
Jun 09, 2026 13:42Polisi wa Kenya wametumia gesi ya kutoa machozi dhidi ya raia waliokuwa wakiandamana huko Nanyuki leo Jumanne kupinga kuanzishwa kituo cha karantini cha Marekani ndani ya kambi ya kijeshi ili kuwapokea raia wa Marekani wanaoshukiwa kuwa na Ebola.
-
Ni ujumbe gani umetolewa na vita vipya na vya muda mfupi kati ya Iran na Israel?
Jun 09, 2026 12:56Hatimaye duru mpya ya vita kati ya utawala wa Kizayuni na Iran ilianza Jumapili, kufuatia utawala huo kuishambulia Lebanon mara kwa mara; na ingawa ilikuwa fupi, lakini ilikuwa na ujumbe muhimu.
-
Spika Qalibaf: Iran itatumia vita na diplomasia kutetea haki za watu wake
Jun 09, 2026 12:21Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf anasema mkakati wa nchi wa kukomesha uchokozi wa Marekani na Israel ni kutumia vita na diplomasia kwa wakati mmoja ili kutetea haki za taifa la Iran.
-
Guterres: Wafanyakazi 80 wa Umoja wa Mataifa waliuawa mwaka jana huko Gaza
Jun 09, 2026 11:46Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, ametangaza kwamba wafanyakazi 136 wa shirika hilo la kimataifa waliuawa wakitekeleza majukumu yao katika mwaka uliopita, wakiwemo wafanyakazi 80 waliokuwa wakifanya kazi katika Ukanda wa Gaza huko Palestina.
-
Gazeti la Kizayuni: Iran ilikuwa na kauli ya mwisho katika vita vya sasa
Jun 09, 2026 11:18Gazeti la Kiebrania huko Israel limekiri kwamba nguvu ya Iran imethibitishwa katika majibu yake ya hivi karibuni ya makombora dhidi ya utawala wa Israel.
-
ICC yamsimamisha Kazi Mwendesha Mashtaka Mkuu kwa tuhuma za utovu wa nidhamu wa kingono
Jun 09, 2026 09:48Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imemsimamisha kazi Mwendesha Mashtaka Mkuu, Karim Khan, kwa madai ya utovu wa nidhamu wa kingono na msaidizi wake.