-
Medvedev: Mashambulizi dhidi ya Iran ni uchokozi unaokiuka misingi ya uungwana
Mar 11, 2026 08:24Naibu Mkuu wa Baraza la Usalama la Russia ametuma ujumbe akimpongeza Kiongozi Mkuu mpya wa Iran, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei na kusema kuwa mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya ardhi ya Iran ni uchokozi unaokiuka misingi ya uungwana na wala hayawezi kuhalalishwa kwa njia yoyote.
-
Pezeshkian amhutubu Trump: Wavamizi huja na kwenda, lakini Iran itabaki
Mar 11, 2026 08:04Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amekosoa vikali vitisho vya kukaririwa vya Rais wa Marekani, Donald Trump kwamba ataisambaratisha Iran, akisiitiza kuwa, wavamizi na waharibifu mithili Trump walikuja na wakaondoka, lakini Iran imeendeelea kubakia.
-
Rais Pezeshkian asisitiza ulazima wa kulaaniwa kwa uhalifu wa Marekani na utawala wa Kizayuni
Mar 11, 2026 07:58Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, katika mazungumzo ya simu na Rais wa Russia, amesisitiza ulazima wa kulaaniwa vitendo vya uhalifu vinavyofanywa na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel katika majukwaa ya kimataifa.
-
Iravani alaani mauaji ya wanadiplomasia 4 wa Iran nchini Lebanon
Mar 11, 2026 07:48Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa ameyataja mauaji ya kigaidi ya wanadiplomasia wanne wa Jamhuri ya Kiislamu katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut kama 'jinai ya kihaini'.
-
Msemaji wa Majeshi ya Iran: US inawatumia watu wa Asia Magharibi kama ngao
Mar 10, 2026 17:08Msemaji wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran, Brigedia Jenerali Abolfazl Shekarchi amesema baadhi ya makamanda na wanajesh wa Marekani wanawatumia raia wa eneo la Asia Magharibi kama ngao za binadamu vitani.
-
Onyo la Larijani kufuatia vitisho hewa vya Trump dhidi ya wananchi wa Iran
Mar 10, 2026 16:41Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran ametoa onyo kali akijibu vitisho vipya vilivyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani vya kuwashambulia na kuwaua wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Qalibaf: Hatufuatilii kusimamisha vita/kujitanua utawala wa Kizayuni kutasambaratishwa
Mar 10, 2026 14:09Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesisitiza kuwa mchokozi anapaswa kumtwangwa ngumi mdomoni ili apate somo na asithubutu kufikiria tena kuivamia Iran.
-
Araqchi: Tel Aviv na Washington zinabeba dhima ya janga la kiuchumi nchini Marekani
Mar 10, 2026 14:08Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa wanaobeba dhima ya moja kwa moja ya janga la kiuchumi nchini Marekani ni Israel na waungaji mkono wake huko Washington.
-
Uhispania: Kamisheni ya Ulaya itetee sheria za kimataifa/ Wallace: Muungano wa Epstein unalenga raia nchini Iran
Mar 10, 2026 13:54Naibu Waziri Mkuu wa Uhispania amekosoa vikali matamshi ya Mkuu wa Kamisheni ya Ulaya, Ursula von der Leyen, kuhusu utaratibu wa kimataifa na kuunga mkono vita vya uvamizi dhidi ya Iran.
-
Uchokozi wa Marekani dhidi ya Iran unatokana na tamaa ya kupora rasilimali za nishati na kushindana na China
Mar 10, 2026 09:57Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, ameashiria hatua za uchokozi za Marekani katika sehemu mbalimbali za dunia, ikiwa ni pamoja na shambulio dhidi ya Iran na kusema kuwa hatua zote kama hizo zinatokana na tamaa ya Marekani ya kudhibiti na kupora rasilimali za nishati na kushindana na China.