-
Vita dhidi ya Iran havikidhi vigezo vya “Vita vya Haki”, asema Papa Leo
Jun 08, 2026 03:15Katika kauli yenye ukali dhidi ya sera za Rais wa Marekani Donald Trump, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani amesema kwamba vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran havina uhalali wa maadili.
-
Nigeria: Mamia ya wanawake na watoto waliotekwa nyara na magaidi waachiliwa
Jun 08, 2026 03:12Mamia ya wanawake na watoto waliokuwa wametekwa nyara na kundi la kigaidi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria wameachiwa huru mwishoni mwa wiki.
-
Baqaei: Mauaji ya umati ya Minab ni mfano mmoja tu wa jinai za Marekani na Israel dhidi ya Wairani
Jun 07, 2026 11:16Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ameeleza kuwa mauaji ya Minab ni kati ya mamia ya jinai za Marekani na Israel dhidi ya Wairani.
-
Balozi wa Iran: BRICS ina jukumu muhimu katika usalama wa nishati duniani
Jun 07, 2026 11:12Balozi wa Iran: BRICS ina jukumu muhimu katika usalama wa nishati duniani
-
Kwa nini washirika wa Washington sasa wana wasiwasi kuhusu uwepo wa kambi za Marekani katika ardhi zao?
Jun 07, 2026 11:10Kwa mujibu wa jarida la Foreign Affairs la nchini Marekani, vita na Iran vinaweza kutoa changamoto kubwa kwa jeshi la Marekani na hasa kuhusu hatari ya kushambuliwa kambi zake za kijeshi katika siku zijazo.
-
Eslami: Kituo cha nyuklia cha Bushehr; Iran ni kati ya vituo kumi bora duniani
Jun 07, 2026 11:10Kituo cha Nishati ya Nyuklia cha Bushehr nchini Iran ni miongoni mwa vituo 10 vya juu vya nyuklia duniani kwa upande wa usalama na ufanisi. Haya yamebainishwa na Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI).
-
Raia 11 wauawa katika shambulio la droni sokoni Kordofan Kaskazini nchini Sudan
Jun 07, 2026 11:08Shambulio la ndege zisizo na rubani sokoni katika jimbo la Kordofan Kaskazini nchini Sudan limeua takriban raia 11 na kujeruhi makumi ya wengine.
-
Sanders: Netanyahu anashirikiana na Kongresi kuficha msaada wa kijeshi kwa Israel katika mikataba ya Pentagon
Jun 07, 2026 09:22Seneta wa kujitegemea kutoka Vermont, Bernie Sanders, ametangaza kwamba atapinga sheria inayochunguzwa bungeni ambayo itaongeza ushawishi wa Israel katika taasisi za kijeshi na viwanda vya Marekani.
-
Waandishi wa habari wa Gaza wasimulia unyanyasaji waliokumbana nao katika gereza la Israel
Jun 07, 2026 03:50Shirika la Waandishi wa Habari Wasio na Mipaka (RSF) limechapisha ushuhuda kutoka kwa waandishi wa habari watano wa Kipalestina huko Gaza, ambao walitekwa nyara na askari wa Israel baada ya Oktoba 7, 2023 ikiwa ni pamoja na visa vya unyanyasaji, kuhojiwa na ukiukwaji wa sheria unaohusiana moja kwa moja na shughuli zao za uandishi wa habari.
-
Papa Leo XIV : Uvamizi wa kijeshi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran 'sio vita vya haki'
Jun 07, 2026 03:44Kiongozi wa kanisa katoliki Dunia, Papa Leo XIV amesema uchokozi wa kijeshi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran haukuwa "vita vya haki", akisisitiza kwamba itikadi hiyo ya karne nyingi haiendani na uhalisia wa vita vya kisasa.