-
Tehran yatoa jibu kali kwa matamshi ya Rais wa Lebanon
Jun 07, 2026 03:22Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amejibu vikali matamshi ya Rais Joseph Aoun wa Lebanon dhidi ya Iran, akiweka wazi kuwa kiongozi huyo anashindwa kutofautisha kati ya marafiki na maadui wa nchi yake.
-
Meja Jenerali Mohsen Rezaei: Trump amesababisha mazungumzo kusimama
Jun 07, 2026 03:20Meja Jenerali Mohsen Rezaei Mshauri wa Masuala ya Kijeshi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa Rais Donald Trump wa Marekani amesimamisha mazungumzo kati ya Tehran na Washington, na kuonya kuwa ikiwa vita vingine vitaanza, wigo wake utaenea kutoka Bahari ya Hindi hadi Bahari ya Shamu na Mediterania.
-
Israel na walowezi wa Kizayuni wazidisha mashambulizi katika Ukingo wa Magharibi
Jun 07, 2026 03:18Wanajeshi wa Israel na walowezi wa Kizayuni wamezidisha mashambulizi yao dhidi ya Wapalestina katika eneo la Ukingo wa Magharibi linalokaliwa kwa mabavu.
-
Kwa nini Ulaya inataka kufafanua upya uhusiano wake na China?
Jun 06, 2026 12:48Ufaransa na nchi nyingine nne za Ulaya, katika mkesha wa mkutano wa kimkakati wa Kamisheni ya Ulaya kuhusu China, zilitoa wito wa kuundwa vyombo vipya vya kutetea biashara ili kulinda viwanda vya Ulaya na kukabiliana na ushindani kutoka kwa makampuni yanayoungwa mkono na serikali ya Beijing.
-
Waislamu wa Canada watoa wito kwa serikali kupambana na chuki dhidi ya Uislamu
Jun 06, 2026 11:36Waislamu wa Canada wameitaka serikali kupambana na chuki dhidi ya Uislamu nchini humo kupitia mageuzi ya kina na hatua madhubuti.
-
Marekani yawanyima visa maafisa wa timu ya soka ya Iran licha ya majukumu yake kama mwenyeji wa FIFA 2026
Jun 06, 2026 11:28Marekani imekataa kutoa visa kwa maafisa kadhaa wa timu ya taifa ya mpira wa miguu ya Iran kabla ya Kombe la Dunia la FIFA la 2026 licha ya majukumu yake kama mmoja wa waandaaji wa tukio hilo la kimataifa.
-
IRGC yashambulia kambi za Marekani huko Kuwait, Bahrain baada ya mashambulizi ya ndege zisizo na rubani katika ardhi ya Iran
Jun 06, 2026 11:24Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa limeshambulia kambi mbili za anga za Marekani huko Kuwait na vituo vilivyobaki vya Kikosi cha Tano cha Marekani (US Fifth Fleet) huko Bahrain ili kujibu uchokozi wa hivi karibuni wa Marekani.
-
Kliniki katika kitovu cha Ebola nchini DR Congo 'yazidiwa' na wagonjwa
Jun 06, 2026 11:10Ripoti zinasema kuwa, hospitali katika eneo lililoathiriwa na Ebola la Bunia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imejaa idadi kubwa ya wagonjwa wa Ebola.
-
Leon Panetta: Vita dhidi ya Iran imekuwa Vietnam nyingine kwa Trump
Jun 06, 2026 09:33Waziri wa zamani wa Vita wa Marekani ameonya kuwa: Vita dhidi ya Iran vinakuwa sawa na vita Vietnam kwa Rais wa Marekani, Donald Trump.
-
Manowari za kivita za Marekani zakimbia Bahari ya Oman baada ya onyo la Jeshi la Wanamaji la Iran
Jun 06, 2026 04:42Jeshi la Iran limetangaza kuwa meli kadhaa za kivita za Marekani katika Bahari ya Oman zimelazimika kuondoka katika eneo hilo baada ya vikosi vya Jeshi la Majini la Iran kufyatua risasi za onyo kwa kutumia makombora ya cruise na ndege zisizo na rubani za kisasa.