-
Araqchi: Tel Aviv na Washington zinabeba dhima ya janga la kiuchumi nchini Marekani
Mar 10, 2026 14:08Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa wanaobeba dhima ya moja kwa moja ya janga la kiuchumi nchini Marekani ni Israel na waungaji mkono wake huko Washington.
-
Uhispania: Kamisheni ya Ulaya itetee sheria za kimataifa/ Wallace: Muungano wa Epstein unalenga raia nchini Iran
Mar 10, 2026 13:54Naibu Waziri Mkuu wa Uhispania amekosoa vikali matamshi ya Mkuu wa Kamisheni ya Ulaya, Ursula von der Leyen, kuhusu utaratibu wa kimataifa na kuunga mkono vita vya uvamizi dhidi ya Iran.
-
Uchokozi wa Marekani dhidi ya Iran unatokana na tamaa ya kupora rasilimali za nishati na kushindana na China
Mar 10, 2026 09:57Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, ameashiria hatua za uchokozi za Marekani katika sehemu mbalimbali za dunia, ikiwa ni pamoja na shambulio dhidi ya Iran na kusema kuwa hatua zote kama hizo zinatokana na tamaa ya Marekani ya kudhibiti na kupora rasilimali za nishati na kushindana na China.
-
Operesheni Ahadi ya Kweli 4, Wimbi la 33: Makombora yote ya Iran ya “Kheibar Shekan” yapiga malengo yao
Mar 10, 2026 09:49Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuanza kwa wimbi la thelathini na tatu la Operesheni Ahadi ya Kweli 4, ambapo makombora yote yenye mwongozo wa usahihi ya aina ya “Kheibar Shekan” yalifanikiwa kupiga malengo yaliyokusudiwa.
-
Msemaji wa IRGC: Majibu ya Iran yamemtia kiwewe Donald Trump
Mar 10, 2026 07:44Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amejibu upuuzi na uongo wa Rais Donald Trump wa Marekani akisema: "Rais muongo wa Marekani ametoa madai ya kumaliza nguvu ya vikosi vya jeshi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ili kujaribu kukwepa mashinikizo ya vita na kukomesha hali ya kukata tamaa wanajeshi wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi."
-
Rais wa Iran: Kupunguza mvutano katika eneo kunahitaji kutounga mkono wavamizi
Mar 10, 2026 07:29Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kwamba juhudi za wale walioanzisha uchokozi dhidi ya Iran zimekuwa zikilenga kupandikiza mifarakano kati ya mataifa jirani. Amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran daima imeonyesha utayari wake wa kupunguza mvutano katika eneo hili, mradi tu anga, ardhi na maji ya mataifa jirani yasitumike kama njia ya kushambulia watu wa Iran.
-
Nini maana ya Marekani kushindwa kistratejia?
Mar 09, 2026 12:32Kwa nini Marekani inakaribia kushindwa kistratejia? Jibu la swali hili linapatika katika utambulisho wa vita vya sasa vilivyoanzishwa na Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Ayatullah Mojtaba Khamenei ni nani?
Mar 09, 2026 12:22Miongoni mwa maswali muhimu yanayoulizwa sana wakati huu kuhusu Iran ni kwamba, Ayatullah Mojtaba Husseini Khamenei ni nani? Na kwa nini Baraza la Wataalamu limemchagua kuongoza Iran? Ili kuelewa chaguo hili, lazima kwanza tuangalie utaratibu wa kisheria wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Uingereza: Hatutaingia katika vita dhidi ya Iran/ Ireland yalaani uvamizi wa Marekani na Wazayuni dhidi ya Iran
Mar 09, 2026 12:20Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amesema kuwa London haitajiunga katika vita vya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran.
-
Makundi ya Muqawama yapongeza kuchaguliwa Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu
Mar 09, 2026 11:19Harakati za Muqawama zimetoa taarifa zikilipongeza taifa la Iran kwa mnasaba wa kuchaguliwa Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kama Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini.