-
Mauaji ya halaiki ya El-Fasher yachochea tena miito ya kutaka UAE isusiwe kwa kuiunga mkono RSF
Nov 02, 2025 03:19Wito wa kuususia Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) pamoja na makampuni yenye mfungamano na nchi hiyo ya kifalme unazidi kuongezeka kwenye mitandao ya kijamii, ukichochewa na hasira zinazotokana na uungaji mkono wa serikali ya Abu Dhabi kwa Vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF) katika vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan.
-
Israel yaendelea kukiuka makubaliano na Lebanon, yashambulia na kuua watu 4 na kujeruhi 3
Nov 02, 2025 02:57Shambulio la anga lililofanywa na jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel limesababisha vifo vya watu wanne na kuwajeruhi wengine watatu kusini mwa Lebanon ukiwa ni mwendelezo wa mashambulizi ya kigaidi yanayofanywa na Tel Aviv ndani ya ardhi ya nchi hiyo, ambayo yanakiuka makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyofikiwa mwishoni mwa Novemba 2024 kati ya Harakati ya Muqawama ya Hizbullah na utawala huo ghasibu.
-
Trump atishia kuishambulia kijeshi Nigeria kwa tuhuma za alichokiita 'kuuliwa raia Wakristo wapendwa'
Nov 02, 2025 02:56Rais Donald Trump wa Marekani ametishia kufanya mashambulizi ya kijeshi ndani ya ardhi ya Nigeria kutoa mjibizo kwa alichodai kuwa ni ukatili wanaofanyiwa Wakristo, akisema ameiagiza Wizara yake ya Vita aliyoipa jina hilo jipya hivi karibuni "kujiandaa kwa hatua zinazowezekana" kuchukuliwa.
-
UNSC yapitisha azimio la US la kuunga mkono mpango wa Morocco kuhusu Sahara Magharibi
Nov 02, 2025 02:53Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepiga kura ya kurefusha kwa mwaka mmoja muda wa kazi za ujumbe wake ulioko Sahara Magharibi (MINURSO), sambamba na kuidhinisha rasmi mpango wa serikali ya Morocco wa kutoa mamlaka ya ndani kwa eneo hilo kama msingi pekee wa kutatua mgogoro huo wa miongo kadhaa, hatua ambayo imesababisha mpasuko mkubwa katika jamii ya kimataifa.
-
Kwa nini UN inayataja mashambulizi ya Marekani katika Bahari ya Karibi kuwa ni kinyume na sheria za kimataifa?
Nov 02, 2025 01:20Kamishna wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa mashambulizi ya Marekani katika eneo la Caribbean yanakiuka sheria za kimataifa.
-
Mkuu wa IAEA akiri Iran haifuatilii mpango wa kutengeneza silaha za nyuklia
Nov 01, 2025 23:46Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Nishati ya Nyuklia (IAEA) amethibitisha tena kuwa, kwa mujibu wa ukaguzi wa moja kwa moja, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haina mpango wa kutengeneza silaha za nyuklia.
-
Iran yapaa kama nguzo ya kimataifa katika sekta ya shaba
Nov 01, 2025 23:46Iran inaendelea kujiboresha kama mchezaji muhimu katika soko la kimataifa la shaba, huku rasilimali zake tajiri na miradi ya maendeleo inayoendelea ikiweka taifa hilo katika nafasi ya juu zaidi ndani ya sekta hiyo.
-
UN: Gaza ni eneo hatari zaidi kwa waandishi wa habari duniani
Nov 01, 2025 23:45Msemaji wa Umoja wa Mataifa ameangazia hatari zinazowakumba waandishi wa habari duniani kote, akielekeza macho hasa kwa Ukanda wa Gaza, ambapo ametaja eneo hilo la Palestina lililozingirwa na utawala wa Israel kuwa eneo hatari zaidi kwa waandishi wa habari hivi sasa dunaini.
-
Watu 21 wameaga dunia na 30 hawajulikani walipo kufuatia maporomoko ya udongo yaliyoikumba Kenya
Nov 01, 2025 23:44Maporomoko ya udongo yaliyoathiri maeneo ya magharibi mwa Kenya yameuwa watu wasiopungua 21 na kujeruhi makumi ya wengine. Watu wengine zaidi ya 30 hawajulikani walipo kufuatia maafa hayo.
-
Komoro kujiunga na kesi ya mauaji ya kimbari dhidi ya Israel katika Mahakama ya ICJ
Nov 01, 2025 23:42Komoro imewasilisha tamko rasmi la kujiunga na kesi ya mauaji ya kimbari dhidi ya Israel iliyofunguliwa na Afrika Kusini katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ).