-
Maafisa 4 wa ngazi za juu wa CIA waangamizwa kwa mashambulizi ya Iran huko Saudia
Mar 05, 2026 18:30Ripoti zinasema kuwa maafisa wanne wa ngazi za juu wa Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) na askari 8 wa nchi hiyo wameuawa katika shambulizi la jeshi la Iran lililolenga kituo cha shirika hilo nchini Saudi Arabia.
-
Ghalibaf: Majeshi ya Iran yataendelea kuwaadhibu wavamizi
Mar 05, 2026 14:22Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad Bagher Ghalibaf amesema Jamhuri ya Kiislamu itaendeleza operesheni zake za kulipiza kisasi mpaka ihakikishe imewaadhibu vya kutosha na kuwatia adabu wavamizi walioanzisha chokochoko dhidi ya taifa hili.
-
Larijani: Iran haitajadiliana chochote na makundi yanayotaka kujitenga
Mar 05, 2026 14:01Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu haitafanya majadiliano wala mazungumzo yoyote na makundi yanayotaka kujitenga.
-
Niger yaguswa na mauaji ya kigaidi ya Kiongozi Muadhamu wa Iran
Mar 05, 2026 13:42Waziri wa Mambo ya Nje wa Niger amelinyooshea mkono wa pole taifa la Iran kufuatia kuuawa shahidi Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.
-
Hujjatul-Islam Qommi: Mchakato wa kumchagua Kiongozi Mkuu mpya unakaribia kukamilika
Mar 05, 2026 09:32Mjumbe wa Kamati ya Uongozi ya Baraza la Wanazuoni Wataalamu linalomchagua Kiongozi Mkuu amesema, mchakato wa kumchagua Kiongozi Mkuu mpya unakaribia kukamilika.
-
Baghaei: Iran haizishambulii nchi jirani, inavilenga vituo na maslahi ya Marekani tu katika eneo
Mar 05, 2026 08:54Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje, Esmail Baghaei amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haizishambulii nchi jirani, bali inavilenga vituo vya kijeshi na vya maslahi ya Marekani vilivyoko katika eneo hili.
-
Pezeshkian: Hujuma ya kijeshi ya Marekani-Israel imetuachia njia moja tu ya kujihami
Mar 05, 2026 08:38Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika ujumbe wake kwa viongozi wa nchi rafiki na majirani kwamba mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel yameiacha Iran bila chaguo lolote isipokuwa kujilinda.
-
Larijani: Zaidi ya wanajeshi 500 wa Marekani wameuawa
Mar 05, 2026 08:12Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran Ali Larijani amesema kuwa rais Donald Trump wa Marekani anapaswa kutarajia gharama bora zaidi baada ya kukuza kwa zaidi ya wanajeshi wa Marekani 500 wameuawa.
-
Mashambulizi ya Hizbullah yalipa jeshi la kizayuni mashinikizo ambayo halijawahi kushuhudia
Mar 05, 2026 07:58Vyombo vya habari vya utawala wa kizayuni vimekiri kuwa jeshi la utawala huo ghasibu liko kwenye mashinikizo ambayo halijawahi kushuhudia kutokana na mashambulio ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon kwenye medani ya kaskazini ya vita ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Military Watch: Ni vigumu kutungua makombora ya hypersoniki ya Iran
Mar 05, 2026 07:35Jarida lenye sifa za kitaalamu la Military Watch limeripoti kuwa kombora jipya la Iran linalojulikana kwa jina la “Fatah-2”, ni changamoto kubwa kwa mifumo ya ulinzi ya Magharibi na waitifaki wake.