-
Amnesty International: Serikali ya Tanzania imezidisha ukandamizaji kabla ya uchaguzi mkuu
Oct 20, 2025 23:28Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limesema kuwa, serikali ya Tanzania imezidisha ukandamizaji kwa wakosoaji wake wa kisiasa, waandishi wa habari, asasi za kiraia, na watetezi wa haki za binadamu katika juhudi za kudumisha madaraka na kuzuia ushiriki wa raia.
-
Kusimama shughuli za serikali ya Marekani kutakwenda hadi lini?
Oct 20, 2025 22:52Serikali ya Donald Trump huko Marekani imevunja rekodi kwa kusimamisha shughuli zake kwa muda wa siku 20. Janga hilo lilianza Oktoba 1, 2025, na kulemaza shughuli muhimu za Marekani na pia kupiga kengele ya hatari ya kuzuka mdororo wa kiuchumi na mgogoro wa kijamii nchini Marekani. Hadi hivi sasa hakuna ishara za kufikia mwisho mgogoro huo wa kisiasa huku mamilioni ya Wamarekani wakiwa chini ya mashinikizo kutokana na maafa ya mgogoro huo kwenye maisha yao.
-
Afrika katika makucha ya ukoloni mamboleo, ushindani wa kimataifa kwa ajili ya rasilimali muhimu na vitisho vipya
Oct 20, 2025 12:51Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, amekutana na mwenzake wa Liberia, Sara Beysolow Nyanti kujadili njia za kupanua ushiriki wa Marekani katika sekta muhimu ya madini nchini Liberia.
-
Imamu Khamenei amwambia Trump: Badala ya kuingilia mambo ya nchi zingine, tuliza maandamano ya mamilioni ya wananchi dhidi yako
Oct 20, 2025 09:34Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali matamshi ya hivi karibuni ya Rais Donald wa Marekani kuhusu Iran na eneo la Asia ya Magharibi na na kusema, Trump alisafiri hadi Palestina iliyokaliwa kwa mabavu na kutoa maneno matupu yenye kejeli ili kuwatia moyo Wazayuni waliokata tamaa.
-
Kushner: Hamas 'inatekeleza kwa nia njema' makubaliano ya usitishaji vita Ghaza
Oct 20, 2025 07:15Mkwe wa Rais Donald Trump wa Marekani, Jared Kushner, ambaye ni mmoja wa wapatanishi wake wakuu katika mpango wa kusitisha mapigano Ghaza, amesema harakati ya Palestina ya Hamas imekuwa "ikitekeleza kwa nia njema" makubaliano hayo, akiashiria taarifa zilizopokelewa kutoka kwa wapatanishi wa kikanda waliohusika katika mazungumzo ya usitishaji huo wa vita.
-
Italia yaokoa wahajiri 91, yaopoa maiti 2 kwenye pwani ya Lampedusa katika Bahari ya Mediterania
Oct 20, 2025 06:47Walinzi wa Pwani ya Italia wamewaokoa wahajiri 91 na kuopoa miili ya watu wengine wawili kutoka kwenye mashua iliyokuwa hatarini kupeperushwa kwenye pwani ya Kisiwa cha Lampedusa katika Bahari ya Mediterania.
-
Mwakilishi wa US adai vita vya Israel dhidi ya Lebanon haviepukiki ikiwa Hizbullah haitapokonywa silaha
Oct 20, 2025 06:10Tom Barrack, balozi wa Marekani nchini Uturuki na mjumbe maalumu wa masuala ya Syria, ametoa onyo la kutisha kwa Lebanon akiitaka ama iipokonye silaha Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya nchi hiyo Hizbulla au ikabiliwe na mashambulizi mengine ya Israel na migogoro ya kiuchumi na kisiasa.
-
Trump azitaka Russia na Ukraine zisimamishe vita mahali zilipo sasa hivi kwenye medani ya mapigano
Oct 20, 2025 06:10Rais wa Marekani Donald Trump ametoa wito kwa Russia na Ukraine kusimamisha vita katika mstari wa mapigano zilipo hivi sasa, pendekezo ambalo litaiwezesha Moscow kuhodhi sehemu kubwa ya maeneo ya ardhi ya Ukraine.
-
Ulimwengu wa Spoti, Okt 20
Oct 20, 2025 03:32Hujambo msikilizaji mpenzi, nina wingi wa matumaini kwamba u mzima wa afya. Karibu tuangazie japo kwa ufupi, baadhi ya matukio makubwa yaliyojiri viwanjani katika muda wa siku zilizopita, kitaifa, kieneo na kimataifa. Nakusihi usibanduke hapo ulipo hadi tamati ya kipindi….
-
Meja Jenerali Pakpour: Iran iko tayari kikamilifu kuimarisha uhusiano wa kistratejia na Yemen
Oct 20, 2025 03:14Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) limesema kuwa limejiandaa kikamilifu kukuza ushirikiano wa kimkakati na vikosi vya ulinzi vya Yemen katika mapambano dhidi ya mabeberu wa dunia na Uzayuni wa kimataifa.