-
Barua ya Araqchi kwa Guterres na Baraza la Usalama: Muda wa azimio 2231 umemalizika
Oct 18, 2025 09:26Seyyed Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amesema katika barua rasmi kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres na Mwenyekiti wa Kiduru wa Baraza la Usalama Vassily Nebenzia kwamba muda wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama unamalizika leo tarehe 18 Oktoba 2025.
-
Ripoti: Ufaransa inakiuka pakubwa haki za watoto wahamiaji
Oct 18, 2025 09:26Shirika moja la Umoja wa Mataifa limesema Ufaransa "imekiuka pakubwa na kwa utaratibu" haki za watoto wahamiaji, na kuwaacha wengi wao wakinyimwa huduma za afya na kukosa makazi.
-
Umoja wa Mataifa: Kiwango cha uharibifu katika Ukanda wa Gaza hakitasawariki
Oct 18, 2025 09:25Tom Fletcher, Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Misaada ya Kibinadamu, amesema kuwa, kiwango cha uharibifu katika Ukanda wa Gaza haikitasawariki kiasi kwamba, ni vigumu kuamini hali hiyo kwani kila kitu kimeharibiwa kabisa.
-
Kumalizika muda wa Azimio 2231 la Baraza la Usalama; Iran yasisitiza kuondolewa vikwazo, yaungwa mkono na nchi 121
Oct 18, 2025 09:11Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa ikitangaza kumalizika muda wa Azimio nambari 2231.
-
Uhispania: Vikwazo vya silaha dhidi ya utawala wa kizayuni wa Israel vinaendelea
Oct 18, 2025 09:08Waziri Mkuu wa Uhispania amesema kuwa, licha ya makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza, serikali ya Madrid itadumisha vikwazo vyake vya silaha dhidi ya Israel.
-
"Weupe wa Matumaini" - Maadhimisho ya Siku ya Vipofu na Fimbo Nyeupe Duniani
Oct 18, 2025 05:41Karibuni wasikilizaji wapendwa wa Idhaa ya Kiswahili Redio Tehran katika makala yetu ya wiki hii ambayo tumewaandalia kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Vipofu na Fimbo Nyeupe Duniani; siku ya kusherehekea irada, uhuru na utu wa watu wasioona au vipofu na kuanzishwa jitihada za kisayansi, kiteknolojia na kijamii nchini Iran na ulimwenguni kwa ujumla ili kuwaandalia jamii ya watu hao maisha rahisi na bora zaidi.
-
Iran yakadhibisha madai kwamba inatishia usalama wa Uingereza
Oct 18, 2025 04:20Ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini London umepinga vikali madai ya mkuu wa Shirika la Ujasusi la Ndani la Uingereza (MI5) kwamba Tehran inataka kutishia usalama wa Uingereza, na kuyataja madai hayo kuwa "yasiyo na msingi."
-
Iran yalaani mashambulizi ya karibuni ya Israel kusini mwa Lebanon
Oct 18, 2025 04:19Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani mashambulizi ya karibuni ya anga ya Israel kusini mwa Lebanon, na kuzibebesha dhima nchi zilizodhamini makubaliano ya kusitisha vita yaani Ufaransa na Marekani kwa kutoichukulia hatua Israel.
-
Yazdanian: Iran hurusha satelaiti sita angani kila mwaka
Oct 18, 2025 04:18Vahid Yazdanian Mkurugenzi wa Kituo cha Utafiti wa Anga cha Iran ametangaza kuwa Iran imefanikiwa kurusha satelaiti sita angani kila mwaka, sambamba na kupiga hatua kubwa katika teknolojia ya kurusha satelaiti.
-
Chuo Kikuu cha Oxford chanufaika na makampuni yanayojishughulisha na uhalifu wa Israel
Oct 18, 2025 04:16Chuo Kikuu cha Oxford cha nchini Uingereza, ambacho kwa muda mrefu kinajulikana kama kilele cha elimu duniani, kinachunguzwa vikali baada ya kubainika wazi kwamba kimefanya uwekezaji kwa njia isiyo ya moja kwa moja katika makampuni yasiyopungua 49 yanayojihusisha na vitendo haramu vya Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.