-
Lavrov: Hujuma ya Marekani na Israel dhidi ya Iran ni kinyume cha sheria za kimataifa
Mar 05, 2026 03:04Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov, katika mazungumzo ya simu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Seyed Abbas Araghchi ametangaza wazi kuwa mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran ni kinyume na kanuni za msingi za sheria ya kimataifa.
-
Kamandi ya Khatam al-Anbia: Wanajeshi 100 wa Marekani wameuawa katika shambulizi la Iran huko Dubai
Mar 04, 2026 12:52Msemaji wa Kamandi ya Majeshi ya Iran ya “Khatam al-Anbia” ametoa taarifa akisema kuwa wanajeshi 100 wa Marekani wameuawa katika shambulizi la Iran huko Dubai.
-
Anadolu: Iran imeitia Marekani hasara ya dola bilioni 2 hadi sasa, ACP yasema ni dola bilioni 5
Mar 04, 2026 12:10Shirika la Habari la Anadolu limeripoti leo Jumatano kwamba tangu kuanza kwa vita vya sasa vya Marekani na Israel dhidi ya Iran, Jumamosi iliyopita, Jamhuri ya Kiislamu imeharibu zana za kivita za Marekani zenye thamani ya dola bilioni mbili.
-
Araqchi: Trump amesaliti diplomasia na watu wa Marekani
Mar 04, 2026 12:06Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amesema kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump ameisaliti diplomasia na watu wa Marekani waliompigia kura akisisitiza kuwa: Wakati uongo mkubwa unapopotosha ukweli wa mambo, maratajio yasiyo ya kweli katu hayawezi kutimizwa.
-
Military Watch: Fattah 2 haiwezi kuzuiwa na makombora ya Marekani
Mar 04, 2026 11:59Jarida maarufu la Military Watch limefichua kuwa ni karibu muhali kuweza kuzuia kombora jipya la hypersonic la Iran, Fattah 2, kutokana na kasi yake ya kustaajabisha na uwezo wake mkubwa wa manuva.
-
Russia: Kimya cha jamii ya kimataifa mbele ya mauaji ya wanafunzi nchini Iran kinashangaza
Mar 04, 2026 11:56Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa kimya cha jamii ya kimataifa mbele ya mauaji yaliyofanywa na Marekani dhidi ya wanafunzi wa shule ya msingi nchini Iran ni jambo la kushangaza.
-
Mkuu wa WHO alaani shambulio la Marekani na Israel dhidi ya hospitali nchini Iran
Mar 04, 2026 07:40Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Tedros Adhanom Ghebreyesus, akizungumzia shambulio la mabomu lililofanywa na Marekani na Israel dhidi ya Hospitali ya Gandhi mjini Tehran, amesisitiza kuwa chini ya Sheria za Kimataifa za Kibinadamu, sekta ya afya haipaswi kulengwa kijeshi
-
Kiongozi wa Kiislamu Nigeria: Mauaji ya Ayatullah Khamenei ni vita dhidi ya binadamu wote
Mar 04, 2026 06:54Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria ametuma salamu za rambi rambi kufuatia kuuawa shahidi Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.
-
Sheikh Abdulqawi wa Misri asisitiza kufuata njia ya Shahidi Ayatullah Khamenei, atoa Fatwa ya kuunga mkono Iran
Mar 04, 2026 05:54Mwanazuoni mmoja wa Misri amempongeza Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyeuawa shahidi, Ayatullah Seyed Ali Khamenei, na kusisitiza kwamba njia yake lazima iendelezwe na Umma ya Waislamu.
-
Kiongozi wa Wademocrat katika Bunge la Marekani ampinga Trump, asema Iran si tishio
Mar 04, 2026 05:34Kiongozi wa chama cha Democrat katika Bunge la Seneti ya Marekani, Hakeem Jeffries, amekemea kwa ukali serikali ya Donald Trump baada ya shambulizi la kijeshi dhidi ya Iran, akisisitiza kuwa hakuna “tishio tarajiwa” kutoka Iran dhidi ya Marekani.