-
Mto Nile nchini Sudan wafurika, maji ya Blue na White Nile yaongezeka
Oct 07, 2025 06:28Mafuriko makubwa katika Jimbo la Mto Nile nchini Sudan yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 30 na maelfu ya wengine kukwama. Wakazi wa eneo hilo wanaelezea jinsi walivyopitisha usiku wa hofu wakati mafuriko yalipopita katikati ya nyumba na mashamba yao.
-
Araghchi: Israel inatumia mamilioni ya dola kulipa watu waongope mitandaoni
Oct 07, 2025 03:50Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi ameshutumu kampeni ya propaganda iliyofichuliwa hivi karibuni ya Israel, yenye lengo la kuhamasisha uungwaji mkono kwa utawala huo kwenye mitandao ya kijamii.
-
Hamas: Msimamo mmoja wa Muqawama wa Palestina umeitenga zaidi Israel
Oct 07, 2025 02:41Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesema msimamo mmoja ulioidhinishwa na mirengo yote ya Muqawama wa Palestina kuhusu pendekezo la Rais wa Marekani la kusitisha mapigano Gaza, umepelekea kuzidi kutengwa Israel kimataifa.
-
Serikali ya Tanzania yatakiwa itoe taarifa kuhusu aliko Polepole
Oct 07, 2025 02:39Wanaharakati na mawakili nchini Tanzania wametoa wito kwa mamlaka za usalama nchini humo kutumia rasilimali zote kuhakikisha hali ya usalama wa Balozi mstaafu Humphrey Polepole inafahamika na kuwekwa wazi kwa umma, kufuatia taarifa zinazosambaa zikidai kuwa mwanasiasa huyo ametekwa.
-
ICC yamtia hatiani kiongozi wa kwanza wa wanamgambo wa Darfur kwa uhalifu wa kivita
Oct 07, 2025 02:39Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC jana Jumatatu ilimtia hatiani kiongozi wa kwanza wa wanamgambo wa Janjaweed aliyepandishwa kizimbani akihusishwa na ukatili na jinai zilizofanyika katika jimbo la Darfur nchini Sudan zaidi ya miaka 20 iliyopita.
-
Iran yaibuka ya 3 katika Mashindano ya Riadha ya Walemavu India
Oct 07, 2025 02:38Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemaliza katika nafasi ya tatu katika Duru ya 12 ya Mashindano ya Riadha ya Walemavu yaliyofanyika nchini India.
-
Sayyid Hassan Nasrullah; Tunu Adhimu ya Ulimwengu wa Kiislamu; Kumbukumbu ya kuuawa shahidi
Oct 07, 2025 02:26Karibuni wasikilizaji wapendwa kutegea sikio kipindi hiki cha makala ya wiki tulichokuandalieni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kutimia mwaka mmoja tangu kuuawa shahidi Sayyid Hassan Nasrullah Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Lebanon Hizbullah, kuweni nami hadi tamati.
-
"Akili Mnemba na Ushindani wa Kimataifa", Mpango Mkuu wa AI wa Marekani na Umuhimu Wake wa Kimkakati Kimataifa, Sept 25
Oct 07, 2025 02:18Kipindi hiki kinahusu mpango mkuu wa AI wa Marekani, matumizi yake ya kijeshi, vyombo vya habari, uwekezaji, umuhimu wa kielimu na ushindani wa kimataifa.
-
Turathi zinazoibwa na utawala wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi, Sept 9
Oct 07, 2025 02:13Karibuni wapendwa wasikilizaji wa Redio Tehran katika Makala ya Wiki ambapo leo tutazungumzia jinai ya kiutamaduni inayofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel, kwa kuyakalia kwa mabavu maeneo ya kale ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan. Utawala huo umejimilikisha turathi za utamaduni za Wapalestina kwa ajili ya kujenga vitongoji vya walowezi wa Kizayuni na kambi zao kwa kisingizio cha kujilinda.
-
Kilichopelekea maandamano ya kuipinga Israel katika nchi za Ulaya kugeuka kuwa vuguvugu kubwa la umma barani humo
Oct 07, 2025 01:02Maandamano makubwa ya wananchi wa mataifa ya Ulaya dhidi ya sera za utawala wa kizayuni wa Israel huko Ghaza yangali yanaendelea.