-
Ripoti ya Amnesty: RSF imefanya maangamizi ya kikabila nchini Sudan
Jul 02, 2026 03:22Kikosi cha Msaada wa Haraka nchini Sudan (RSF) kilitenda uhalifu dhidi ya ubinadamu na maangamizi ya kikabila wakati wa mashambulizi yake katika mji wa El-Fasher kati ya 2024 na 2025.
-
Lamerd iligeuzwa vipi kuwa uwanja wa majaribio ya silaha za maangamizi ya umati za Marekani?
Jul 01, 2026 12:02Takriban miezi mitatu imepita tangu kumalizika kwa uvamizi wa kijeshi wa Marekani na utawala wa kizayuni wa Israel katika ardhi ya Iran, lakini kila siku, na kufuatia kuchapishwa nyaraka mpya na picha pamoja na simulizi tofauti, viwango vipya vya jinai za wavamizi hao vinafichuliwa.
-
Mtaalamu wa Uislamu Kenya: Urithi wa Ayatullah Ali Khamenei katika kusimama kidete utaendelea kuwa dira
Jul 01, 2026 10:24Mtaalamu wa masuala ya Kiislamu kutoka Kenya katika mahojiano na Pars Today: Urithi wa Ayatullah Khamenei unaelekeza mwelekeo wa nchi za Kusini mwa Dunia katika harakati za kulinda heshima na uhuru wao.
-
Pezeshkian na Narendra Modi wasisitiza kuimarisha ushirikiano wa nchi zao
Jul 01, 2026 10:23Rais wa Iran na Waziri Mkuu wa India wamesisitiza azma thabiti ya nchi zao ya kukuza na kuimarisha ushirikiano wa pande mbili.
-
Qalibaf: Hakutakuwa na mazungumzo mapya na Marekani kabla ya kutekeleza ahadi zake
Jul 01, 2026 10:20Mkuu wa timu ya Iran ya mazungumzo na Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitaingia katika mazungumzo yoyote mapya na Marekani mpaka masharti yote yaliyomo katika hati ya makubaliano ya maelewano iliyopo yatakapotekelezwa kikamilifu.
-
Iran yasafirisha mapipa milioni 50 ya mafuta baada ya kuondolewa vikwazo vya Marekani
Jul 01, 2026 10:17Kufuatia kupunguzwa kwa vikwazo vilivyokuwa vinaikabili sekta ya mafuta, Iran imesafirisha takriban mapipa milioni 50 ya mafuta katika kipindi cha wiki mbili zilizopita, na inakadiriwa kuwa imepata mapato yanayozidi dola bilioni 3.5 za Kimarekani.
-
Umoja wa Mataifa: Ebola kuigharimu Afrika dola Bilioni 3.6
Jul 01, 2026 10:13Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, mlipuko wa virusi vya Ebola huenda ukaligharimu bara la Afrika kiasi cha dola za Marekani bilioni 3.6 pamoja na maelfu ya ajira na pengine kusababisha mzozo wa kimaendeleo kwenye bara hilo.
-
Mataifa zaidi ya 90 kuwakilishwa katika Mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Jul 01, 2026 03:41Dunia inashuhudia mshikamano wa kipekee kufuatia taarifa kwamba wawakilishi kutoka nchi zaidi ya 90, pamoja na viongozi wa kidini, wasomi, na watu mashuhuri kutoka kila pembe ya dunia, wanatarajiwa kushiriki katika shughuli za mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei.
-
Baghaei: Iran inafuatilia hatua kwa hatua utekelezaji wa Marekani wa MoU
Jul 01, 2026 03:40Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, Tehran itafuatilia, dakika kwa dakika, iwapo Marekani itazingatia makubaliano ya maelewano (MoU) ya kumaliza vita, na akaonya kwamba Jamhuri ya Kiislamu haitatekeleza wajibu wake chini ya makubaliano hayo ikiwa ni upande mmoja pekee unaoyatekeleza.
-
Wabunge wa Israel warushiana makonde ndani ya ukumbi wa Bunge
Jul 01, 2026 03:35Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni vimeripoti kutokea vurugu na mapigano ndani ya Bunge la utawala huo (Knesset), kufuatia kufutwa sheria iliyokuwa inahusu wafungwa wa Kipalestina.