-
'Hakuna Mmarekani atakayesalimika’: Mkuu wa Majeshi ya Iran asema vikosi vya jeshi viko tayari kulipiza kisasi
Feb 03, 2026 00:20Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameonya kuwa mahesabu yoyote ghalati ya maadui wa Jamhuri ya Kiislamu yatakabiliwa na jibu kali. Amesema kuwa Iran imejiandaa kikamilifu kwa makabiliano na kulipiza kisasi.
-
Pompeo aanika nafasi ya US katika ghasia za karibuni nchini Iran
Feb 02, 2026 23:41Mkurugenzi wa zamani wa Shirika la Ujasusi la Marekani CIA, Mike Pompeo, amekiri kwamba, Washington ilikuwa na mchango wa moja kwa moja katika ghasia za hivi karibuni nchini Iran, akisema Marekani "iliwasaidia moja kwa moja" wafanya fujo.
-
Utafiti: Idadi ya watu Gaza imepungua kwa 254,000 kutokana na vita
Feb 02, 2026 22:59Utafiti wa kuaminika uliochapishwa na gazeti la Uingereza la The Guardian umehitimisha kwamba idadi ya watu wa Ukanda wa Gaza imepungua kwa takriban watu 254,000, au 10.6%, ikilinganishwa na makadirio ya kabla ya kuanza kwa vita vya mauaji ya kimbari ya Israel, Oktoba 7, 2023.
-
Ufaransa yashutumiwa kupanga kuangusha serikali pinzani barani Afrika
Feb 02, 2026 22:58Ufaransa inapanga “mapinduzi ya kikoloni mamboleo” katika mataifa mbalimbali ya Afrika kwa lengo la kuangusha serikali inazoziona kuwa “zisizohitajika,” hususan katika eneo la Sahel ambako imepata pigo kubwa katika miaka ya hivi karibuni. Shirika la Ujasusi wa Kigeni la Urusi (SVR) limedai.
-
Nazma Khan: Chuki dhidi ya Uislamu Magharibi inalenga kunyamazisha sauti za wanawake Waislamu
Feb 02, 2026 22:57Nazma Khan, mwanzilishi wa "Siku ya Hijabu Duniani", ameiambia televisheni ya Al Jazeera ya Qatar kwamba chuki dhidi ya Uislamu katika nchi za Magharibi haiishii tena katika vitendo vya ukatili au uonevu, bali imechukua sura hatari zaidi ya kunyamazisha sauti za wanawake Waislamu kwa jina la kutetea haki zao.
-
Jinai za kigaidi za majeshi ya Ulaya; Hadithi 5 zilizochaguliwa kutoka mabara 5
Feb 02, 2026 22:56Majeshi ya nchi za Ulaya yamefanya jinai barani Ulaya na katika mabara mengine duniani katika karne chache zilizopita.
-
Iran yatahadharisha: Uvamizi wowote utakuwa na madhara makubwa kwa eneo zima la Asia Magharibi
Feb 02, 2026 10:35Iran imesema kuwa nchi za kikanda zinafanya juhudi za pamoja ili kuzuia vita kwa vile zinaelewa vyema kwamba hatua yoyote ya kijuba dhidi ya Tehran itakuwa na madhara makubwa kwa eneo zima.
-
Ripoti: Rais Pezeshkian aagiza kuanza upya mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na Marekani
Feb 02, 2026 10:28Rais Masoud Pezeshkian ameagiza kuanza upya kwa mazungumzo kati ya Iran na Marekani kuhusu mpango wa nyuklia wa Tehran.
-
Wanajeshi wa Nigeria wamuua kamanda wa kundi la kigaidi la Boko Haram
Feb 02, 2026 10:26Jeshi la Nigeria limetangaza Jumapili kuwa vikosi vyake vimemuua kamanda mmoja wa kundi la kigaidi la Boko Haram pamoja na magaidi wengine 10 waliokuwa naye katika operesheni iliyofanyika kaskazini mashariki mwa nchi.
-
Kundi la kwanza la Wapalestina wanaorejea kutoka Misri lapitia kivuko cha Rafah
Feb 02, 2026 10:24Kundi la kwanza la Wapalestina limeanza kurejea katika Ukanda wa Gaza kupitia kivuko cha mpaka cha Rafah kati ya eneo hilo la pwani na Misri, baada ya kivuko hicho kufunguliwa tena kwa ajili ya harakati za watu.