-
Iran kuzindua satelaiti mpya na kituo cha anga za mbali
Feb 02, 2026 10:14Iran inajiandaa kuzindua mafanikio yake mapya katika sekta ya teknolojia ya anga, ikiwemo kuzindua satelaiti iliyotengenezwa ndani ya nchi, picha za kwanza zilizopigwa na setilaiti yake ya hivi karibuni ya Paya, pamoja na kituo kipya cha anga za mbali, katika maadhimisho ya Siku ya Kitaifa ya Teknolojia ya Anga za Mbali.
-
Kwa nini Iran inaamini kuwa uwepo wa wanajeshi wa nchi ajinabi katika Ghuba ya Uajemi unazidisha mivutano?
Feb 02, 2026 09:18Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa uwepo wa wanajeshi wa nchi ajinabi katika kanda hii siku zote huwa sababu ya kushatadi mivutano.
-
Iran yaitaka jamii ya kimataifa kuchukua hatua za haraka kukomesha mauaji ya kimbari Gaza
Feb 02, 2026 03:42Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametoa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka na jamii ya kimataifa ili kukomesha mauaji ya halaiki katika Ukanda wa Gaza.
-
Washington Post: Iran ina uwezo wa kulenga kambi za kijeshi za Marekani
Feb 02, 2026 03:42Gazeti la Washington Pos limeripoti kuwa, Iran ina uwezo wa kulenga kambi za kijeshi za Marekani.
-
Mataifa ya Kiislamu na Kiarabu yailaani Israel kwa kukiuka usitishaji vita Gaza
Feb 02, 2026 03:41Mataifa kadhaa ya Kiislamu na Kiarabu yameulaani vikali utawala haramu wa Israel kwa kukiuka usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza
-
Umoja wa Mataifa: Tuna wasiwasi kuhusu kuongezeka vurugu na machafuko Sudan Kusini
Feb 02, 2026 03:41Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema katika taarifa kwamba ana wasiwasi mkubwa kuhusu athari za kuongezeka vurugu na machafuko nchini Sudan Kusini, akiongeza kuwa hali hii itawadhuru zaidi raia ambao tayari wako katika hali hatarishi.
-
Mazungumzo ya kitaifa DRC: Masharti ya Rais Tshisekedi yaibua hisia mseto
Feb 02, 2026 03:40Siku moja baada ya mfumo uliowekwa na rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwa ajili ya mazungumzo ya kitaifa yaliyoitishwa na sehemu ya upinzani na kuhimizwa na washirika kadhaa wa Magharibi wa DRC kutatua mgogoro unaosambaratisha mashariki mwa nchi, wengi mjini Kinshasa wametoa hisia zao.
-
Ulimwengu wa Spoti, Feb 2
Feb 02, 2026 03:14Hujambo msikilizaji mpenzi na karibu tutupie jicho matukio muhimu ya spoti yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa, kieneo na kimataifa.
-
Iran yaimarisha ‘Dhahabu ya Kijani’ licha ya njama za Marekani
Feb 01, 2026 23:41Sekta ya njugu aina ya pistachio ya Iran kwa muda mrefu imekuwa nguzo muhimu ya mauzo ya nje ya kilimo ya nchi hii, ikiwa imejikita kwa kina katika uchumi na utamaduni wa Iran.
-
Hamas: Israel isitishe jinai ili mapatano ya usitishaji vita Gaza yafanikiwe
Feb 01, 2026 23:40Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Kupigania Ukombozi wa Palestina, Hamas, katika Ukanda wa Gaza amesisitiza kuwa harakati za Palestina zimejitolea kuheshimu makubaliano ya kusitisha mapigano na kwamba mafanikio ya mapatano hayo sasa yanategemea kulazimishwa utawala haramu wa Israel kuyazingatia na kujiepusha na jinai inazoendeleza dhidi ya Wapalestina.