-
Hali ya Tigray nchini Ethiopia yamtia wasiwasi mkubwa Katibu Mkuu wa UN
Feb 01, 2026 23:38Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amesema anafuatilia kwa karibu kinachoendelea katika eneo la Tigray nchini Ethiopia, ambako mvutano unaoibuka upya na taarifa za mapigano vimechangia kuzorota kwa hali ya usalama.
-
Wanazuoni wa Yemen watangaza mshikamano na Iran
Feb 01, 2026 23:12Jumuiya ya Wanazuoni wa Yemen imetangaza mshikamano wake kamili na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kutaka ulimwengu wa Kiislamu kuchukua msimamo wa pamoja katika suala hilo.
-
Afrika Kusini yamtimua Kaimu Balozi wa Israel
Feb 01, 2026 23:11Afrika Kusini imemtangaza kaimu balozi wa utawala wa Isarel nchini humo kuwa mtu asiyehitajika na kuamuru aondoke mara moja.
-
Kuakisiwa hotuba ya Kiongozi wa Mapinduzi katika vyombo vya habari vya Kiarabu; indhari ya Tehran ya kugeuka vita na kuwa vya kikanda
Feb 01, 2026 23:10Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ameonya kwamba, vita vyovyote vitakavyoanzishwa na Marekani dhidi ya Iran vitageuka na kuwa vita vya kikanda.
-
Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu; nembo ya kujiamini watu wa Iran dhidi ya udhalimu wa Shah na uistikbari
Feb 01, 2026 07:55Tarehe Mosi Februari huadhimishwa hapa nchini Iran kama kumbukumbu ya kihistoria ya kurejea nchini Imam Khomeini, mwanzilishi wa Jamhuri ya Kiislamu, baada ya karibu miaka 15 ya kuwa uhamishoni.
-
Kiongozi Muadhamu: Vita vipya vya US dhidi ya Iran vitapanuka na kuwa vya kieneo
Feb 01, 2026 07:36Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ameonya kwamba, vita vyovyote vitakavyoanzishwa na Marekani dhidi ya Iran vitageuka na kuwa vita vya kikanda.
-
Maelfu waandamana kote Ulaya kuunga mkono Palestina, kulaani ukatili wa Israel
Feb 01, 2026 07:02Waelfu kwa maelfu ya watu wamejitokeza mitaani katika nchi kadhaa za Ulaya kushiriki maandamano ya kuunga mkono Palestina, huku wakiushutumu utawala wa Israel kwa kukiuka mara kwa mara makubaliano ya kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza kati yake na Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas.
-
Iran yatambua majeshi ya Ulaya kama mashirika ya kigaidi
Feb 01, 2026 06:51Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Mohamad Bagher Ghalibaf amelitaja Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kama taasisi ya kipekee zaidi ya kupambana na ugaidi duniani, akibainisha kuwa Ulaya 'imejipiga risasi mguuni' kwa kuiweka IRGC kwenye orodha yake nyeusi.
-
Majasusi wa Magharibi: Iran haiundi silaha za nyuklia
Feb 01, 2026 06:11Mashirika ya ujasusi ya nchi za Magharibi yamesema hakuna dalili yoyote inayoashiria kwamba Iran inarutubisha urani kwa ajili ya "kufikia kiwango cha mabomu," gazeti la New York Times limeripoti, likinukuu vyanzo mbali mbali.
-
Wanamichezo wa Iran wamkingia kifua Kiongozi Muadhamu
Feb 01, 2026 06:02Zaidi ya wanachama 5,000 wa jumuiya ya michezo ya Iran wametoa taarifa kulaani vitisho na bwabwaja za Rais wa Marekani Donald Trump, wakitangaza uungaji mkono wao mkubwa kwa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.