-
Umoja wa Afrika walaani mashambulizi dhidi ya Niger; waahidi kuiunga mkono nchi hiyo
Feb 01, 2026 03:34Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika, Mahmoud Ali Youssouf amelaani mashambulizi ya hivi karibuni huko Niger ikiwa ni pamoja na shambulio kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hamani Diori katika mji mkuu Niamey. Ali Youssouf amesisitiza kwa mara nyingine tena kwamba Umoja wa Afrika uko pamoja na Niger.
-
Malawi yatangaza mlipuko wa polio baada ya kugundua sampuli za ugonjwa huo
Feb 01, 2026 03:33Serikali ya Malawi imetangaza kuibuka virusi vya polio aina ya 2 (cVDPV2) kufuatia kugunduliwa kwa sampuli za mazingira.
-
Iran: IRGC inadumisha amani, utulivu; uingiliaji unachochea taharuki
Feb 01, 2026 03:31Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amesema Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) lina jukumu muhimu katika kudumisha amani na utulivu katika eneo la Ghuba ya Uajemi na Lango Bahari la Hormuz, huku akionya kwamba uwepo na vikosi vya kigeni katika eneo la Asia Magharibi umepelekea kuongezeka taharuki badala ya kupunguza mvutano.
-
Afisa wa Umoja wa Mataifa: Usitishaji mapigano Gaza si wa kweli
Feb 01, 2026 01:50Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Palestina (UNRWA) amelaani shambulio la jeshi la Israel katika kitongoji cha Sheikh Radwan kaskazini magharibi mwa Jiji la Gaza, ambalo limeua makumi ya Wapalestina akisema kwamba makubaliano ya kusitisha mapigano katika eneo hili si ya kweli.
-
Taasisi ya Ushauri ya Ulaya: Iran itatumia karata zake zote iwapo itashambuliwa na Marekani
Feb 01, 2026 01:32Taasisi ya ushauri ya Baraza la Ulaya kuhusu Mahusiano ya Kigeni imeonya katika ripoti yake juu ya matokeo mabaya ya mashambulizi ya kijeshi wa Marekani nchini Iran.
-
Utendaji wa jeshi la IRGC kuanzia kupambana na Daesh hadi Vita vya Siku 12 na utawala wa Kizayuni
Feb 01, 2026 01:03Jeshi la Walinzi wa Mapindzi ya Kiislamu (IRGC) katika miongo ya hivi karibuni limefanya vyema, hasa katika mapambano dhidi ya magaidi wa kundi la Daesh (ISIS) na pia katika Vita vya Siku 12 na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Kipindupindu chauwa watu 12 Msumbiji huku kesi za ugonjwa huo zikiongezeka Malawi
Jan 31, 2026 23:22Msumbiji imesajili vifo vya watu 12 kutokana na ugonjwa wa kipindupindu katika muda wa saa 24 zilizopita pamoja na kesi mpya za ugonjwa huo 135. Hii ni kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa jana Jumamosi.
-
Zaidi ya watu 200 wamefariki DRC kwa maporomoko kwenye mgodi unaodhibitiwa na waasi
Jan 31, 2026 23:00Watu wasiopungua 200 wameaga dunia mapema wiki hii wakati mvua kubwa iliposababisha mfululizo wa maporomoko ya udongo katika mgodi wa madini ya koltani ulioko Rubaya mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, eneo ambalo tangu mwaka 2024 liko chini ya udhibiti wa kundi la waasi la M23.
-
Shamkhani: Iran itashambulia ndani ya kitovu cha 'Israel' kulipiza kisasi
Jan 31, 2026 22:59Mshauri mwandamizi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyed Ali Khamenei, ameonya kwamba hatua yoyote ya uhasama dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu inaweza kuchochea majibu makali, ikiwemo mashambulizi yatakayopenya kwa kina ndani ya maeneo yanayokaliwa kwa mabavu ambayo yamepachikwa jina bandia la 'Israel'.
-
Askari 10 na magaidi 109 wauawa katika mapigano kwenye jimbo la Balochistan, Pakistan
Jan 31, 2026 22:58Askari wasiopungua 10 na magaidi 109 wameuawa katika mapigano wakati vikosi vya usalama vya Pakistan vilipozima mashambulizi makubwa "yaliyoratibiwa" katika jimbo la kusini-magharibi mwa Balochistan. Hayo yalielezwa jana Jumamosi na afisa mmoja wa usalama wa Pakistan.