-
Wafuasi wa Fayulu walioshindwa katika uchaguzi DRC wakutana Ubelgiji na kuunda chama kipya + Sauti
Mar 24, 2019 12:15Viongozi wa Jukwaa la Lamuka ambao waliungana kumuunga mkono Martin Fayulu kama mgombea kiti cha urais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika uchaguzi uliopita na kisha mgombea huyo kushindwa, sasa wamekutana Ubelgiji na kugeuza jukwaa hilo kuwa chama cha kisiasa kikiongozwa na Fayulu. Mwandishi wetu Mosi Mwasi na maelezo zaidi...
-
SAUTI, Waziri Mkuu wa CAR atangaza baraza jipya la mawaziri, kwa kuwashirikisha pia wapinzani na waasi
Mar 23, 2019 12:21Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Firmin Ngrébada, ametangaza baraza jipya la mawaziri ikiwa ni siku moja baada ya kuwasili kutoka mjini Addis Ababa, Ethiopia alikoshiriki mkutano wa mazungumzo ya amani ya nchi yake.
-
SAUTI, Ripoti ya matukio ya Kiislamu, Benki za Kiislamu TZ, dua ya kuomba mvua na mitandao ya kijamii
Mar 22, 2019 12:26Utekelezwaji wa sheria na kanuni kwa benki za Kiislamu wahimizwa kwa ajili ya kuzifanya benki hizo ziweze kutekeleza majukumu yake ipasavyo. Hii ni kwa kuwa benki za Kiislamu zinaonekana kuwa kivutio kwa wateja wengi kutokana na uwajibikaji wake unaoenda sawa na mafundisho ya Kiislamu.
-
Abdullah Gül: Miamala bora ya Waziri Mkuu wa New Zealand inapaswa kuigwa + Video
Mar 22, 2019 09:38Rais wa zamani wa Uturuki, Abdullah Gül amesema kuwa, miamala ya Waziri Mkuu wa New Zealand baada ya shambulio la hivi karibuni la kigaidi nchini humo, inafaa kuigwa na viongozi wengine wa dunia
-
Ajali ya treni yaua na kujeruhi zaidi ya watu 130 DRC
Mar 19, 2019 02:30Ajali ya garimoshi la kusafirishia mizigo iliyotokea siku ya Jumapili katika mkoa wa Kasai wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesababisha kupoteza maisha zaidi ya watu 50 na kujeruhiwa wengine wapatao 80.
-
SAUTI, Jeshi la Uganda: Hatujafunga mlango wa msamaha kwa ajili ya waasi wanaohusika na ghasia nchini
Mar 18, 2019 13:42Jeshi la Uganda limesema kuwa, mlango wa msamahama kwa ajili ya waasi wanaohusika na machafuko nchini humo, bado upo wazi.
-
Gaidi aliyeua makumi msikitini New Zealand ni mfuasi wa sera za Trump + Video
Mar 15, 2019 12:25Gaidi mwenye umri wa miaka 28 kwa jina Brenton Tarrant raia wa Australia ambaye amehusika katika shambulizi dhidi ya msikiti mmoja kati ya miwili iliyoshambuliwa nchini New Zealand amekuwa akijitangaza kuwa ni mfuasi wa sera za Rais Donald Trump wa Marekani.
-
Burundi yakosoa vikali ripoti ya haki za binadamu ya UN+SAUTI
Mar 14, 2019 12:26Serikali ya Burundi imekosoa vikali ripoti mpya iliyotolewa na Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa, iliyobaini kuendelea kwa ukiukaji wa haki za binadamu nchini humo.
-
SAUTI, Mkutano wa viongozi kadhaa wa Afrika waendelea mjini Munyonyo, Uganda. Masuala muhimu yajadiliwa
Mar 13, 2019 13:38Mkutano wa viongozi kadhaa wa Afrika na unaojadili masuala muhimu barani humo, umeendelea leo kwa siku yake ya pili mjini Munyonyo, karibu na jiji la Kampala nchini Uganda.
-
Rais Rouhani azuru nyumba ya Imam Khomeini MA mjini Najaf Iraq + Video
Mar 13, 2019 12:07Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo jioni ametembelea eneo la kihistoria na kiutamaduni ambalo ni nyumba ya kihistoria ya Imam Khomeini MA mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu mjini Najaf Iraq na kukumbuka siku ambazo Imam Khomeini aliishi kwa mashaka katika nyumba hiyo baada ya mfalme wa Iran kumbaidishia Iraq mwanachuoni huyo mwanamapambano.