-
SAUTI. Waislamu nchini Rwanda wapinga vikali hatua ya serikali kupiga marufuku adhana, wasema ni njama za kufunga misikiti
Mar 15, 2018 13:10Kwa mara nyingine tena Rwanda imepiga marufuku ya matumizi ya dhana kwenye misikiti ya Waislamu nchini humo.
-
SAUTI. Tanzania yaendelea kutoa indhari kuzuia maandamano tarajiwa, polisi nayo yasema asiyejua kifo aangalie kaburi
Mar 15, 2018 13:06Raia wa Tanzania wameendelea kupewa indhari na serikali ya nchi hiyo ya kutojihusisha na maandamano yanayopangwa kufanyika mwezi April mwaka huu.
-
Juhudi za kuimarisha sekta ya habari barani Afrika + Sauti
Mar 13, 2018 03:10Wadau wa sekta ya habari barani Afrika wamesema kwamba wakati umefikwa kwa vyombo vya habari vya bara hilo kushirikiana ili kuweza kujikwambua kutokana na habari potofu zinazoharibu mustakbali wa Afrika.
-
Nkurunziza mkuu wa milele wa CNDD-FDD Burundi + Sauti
Mar 12, 2018 06:10Kamati Kuu ya chama tawala nchini Burundi cha CNDD-FDD imemtangaza Rais Pierre Nkurunziza kuwa kiongozi wa kudumu ndani ya chama hicho. Hata hivyo upinzani umesema, Burundi inaelekea kusikotabirika. Mwandishi wetu wa Bujumbura Hamida Issa ametutayarishia ripoti maalumu kuhusu suala hilo
-
Mashinikizo ya katiba mpya Tanzania + Sauti
Mar 12, 2018 05:04Mashinikizo ya kutaka marekebisho ya kimsingi ya Katiba yameshamiri huku viongozi wa kisiasa, viongozi wa kidini, wabunge na asasi za kijamii nazo zikihimiza sana suala hilo. Mwandishi wa Radio Tehran, Omar Manji ametuandalia ripoti maalumu kuhusu suala hilo
-
Matukio ya Kiislamu Afrika Mashariki na Harith Subeit + Sauti
Mar 10, 2018 03:57Kama ilivyo kawaida, wiki hii pia eneo la Afrika Mashariki limekuwa na matukio mengi ya Kiislamu. Mwandishi wetu wa Zanzibar, Harith Subeit ametukusanyia baadhi yake katika ripoti hii...
-
Rais wa Kenya na kiongozi wa upinzani waahidi kukomesha migawanyiko + Sauti
Mar 09, 2018 13:01Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya leo asubuhi alifanya mkutano wa kushtukiza na hasimu wake wa kisiasa ambaye pia ni kinara wa muungano wa upinzani nchini humo NASA katika jumba la Harambee jijini Nairobi.
-
Rwanda yapokea wakimbizi zaidi wa Burundi + Sauti
Mar 09, 2018 02:50Rwanda imepokea kwa wakati mmoja wakimbizi wengine zaidi ya 3000 kutoka Burundi.
-
Rais Yoweri Museveni aahidi kuwapa nafasi zaidi wanawake nchini Uganda + Sauti
Mar 09, 2018 02:43Serikali ya Uganda imesema kuwa itaendeleza jitihada za kuhakikisha wanawake wanashirikishwa kikamilifu katika maendeleo ya nchi hiyo.
-
SAUTI, Msyria aliyekimbia vita na kuwasili Zanzibar, awa kivutio baada ya kufungua mgahawa
Mar 07, 2018 12:58Wazanzibar wameonyesha kuvutiwa na Msyria kwa jina la Twariq Muhammad Samir al-Abad ambaye baada ya kukimbia vita nchini kwao alielekea visiwani humo kwa ajili ya kuendeleza maisha yake.