Mashinikizo ya katiba mpya Tanzania + Sauti
Mar 12, 2018 05:04 UTC
Mashinikizo ya kutaka marekebisho ya kimsingi ya Katiba yameshamiri huku viongozi wa kisiasa, viongozi wa kidini, wabunge na asasi za kijamii nazo zikihimiza sana suala hilo. Mwandishi wa Radio Tehran, Omar Manji ametuandalia ripoti maalumu kuhusu suala hilo
Tags