Rais Yoweri Museveni aahidi kuwapa nafasi zaidi wanawake nchini Uganda + Sauti
Mar 09, 2018 02:43 UTC
Serikali ya Uganda imesema kuwa itaendeleza jitihada za kuhakikisha wanawake wanashirikishwa kikamilifu katika maendeleo ya nchi hiyo.
Ahadi hiyo imetolewa na Rais Yoweri Kaguta Museveni wakati wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake.
Mwandishi wa Radio Tehran, Kigozi Ismail ametuandalia ripoti maalumu kuhusu suala hilo...
Tags