Nkurunziza mkuu wa milele wa CNDD-FDD Burundi + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i41589-nkurunziza_mkuu_wa_milele_wa_cndd_fdd_burundi_sauti
Kamati Kuu ya chama tawala nchini Burundi cha CNDD-FDD imemtangaza Rais Pierre Nkurunziza kuwa kiongozi wa kudumu ndani ya chama hicho. Hata hivyo upinzani umesema, Burundi inaelekea kusikotabirika. Mwandishi wetu wa Bujumbura Hamida Issa ametutayarishia ripoti maalumu kuhusu suala hilo
(last modified 2023-11-27T08:44:11+00:00 )
Mar 12, 2018 06:10 UTC

Kamati Kuu ya chama tawala nchini Burundi cha CNDD-FDD imemtangaza Rais Pierre Nkurunziza kuwa kiongozi wa kudumu ndani ya chama hicho. Hata hivyo upinzani umesema, Burundi inaelekea kusikotabirika. Mwandishi wetu wa Bujumbura Hamida Issa ametutayarishia ripoti maalumu kuhusu suala hilo