Rwanda yapokea wakimbizi zaidi wa Burundi + Sauti
Mar 09, 2018 02:50 UTC
Rwanda imepokea kwa wakati mmoja wakimbizi wengine zaidi ya 3000 kutoka Burundi.
Wakimbizi hao walivuka mpaka kutoka eneo la Kamanyola la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kuingia Rwanda. Wanasema wamekimbia mapigano ili kusalimisha roho zao.
Mwandishi wa Radio Tehran mjini Kigali na maelezo zaidi...
Tags