-
SAUTI: Viongozi wa kidini Kenya wasema, wanasiasa wakishindwa watachukua wao madaraka
Apr 09, 2017 01:57Viongozi wa kidini nchini Kenya wamewataka wanasiasa kuacha kupiga vuvuzela la vitisho na uchochezi wa kikabila na badala yake wazingatia sera za kuunganisha taifa na kupunguza gharama za maisha ya Wakenya. Ujumbe huo umetolewa huku Kenya ikijiandaa kwa Uchaguzi Mkuu mwezi Agosti mwaka huu. Mwandishi wa Radio Tehran Seifullah Murtadha na ripoti kamili
-
SAUTI: Uteuzi wa Waziri Mkuu mpya DRC wapokewa kwa hisia tofauti.
Apr 09, 2017 01:51Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amemteua Bruno Chibala kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Samy Badubanga aliyejiuzulu siku ya Ijumaa. Hatua hiyo imepokewa kwa hisia tofauti nchini humo. Mwandishi wa Radio Tehran, Mosi Mwasi na taarifa zaidi
-
Sauti, Ripoti ya matukio ya Kiislamu yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita
Apr 07, 2017 12:17Ripoti ya matukio ya Kiislamu kuanzia kadhia ya malalamiko ya Mashirika na asasi za kutetea haki za binaadamu zilizotoa kilio kwa serikali ya Tanzania kutokana na kuendelea kuwashikilia korokoroni shakhsia mbalimbali wa Kiislamu nchini humo.
-
SAUTI, Burundi: Wapiganaji wa Kagame ndio walioitungua ndege aliyoipanda Cyprien Ntaryamira, rais wa zamani wa nchi yetu
Apr 07, 2017 10:37Serikali ya Burundi imeadhimisha hapo jana mwaka wa 23 tangu kuuawa kwa Cyprien Ntaryamira, rais wa zamani wa nchi hiyo.
-
SAUTI, Wapinzani wailaumu serikali ya Rwanda kwa kusema msamaha wa Papa Francis kuhusu mauaji ya halaiki ya Rwanda, unatosha.
Apr 05, 2017 12:54Serikali ya Rwanda imetupilia mbali baadhi ya madai ya wakereketwa ambao awali walisema kuwa, Papa Francis hajaomba msamahama ipasavyo kuhusu ya namna Kanisa Katoliki duniani lilivyohusika katika mauaji ya kimbari nchini Rwanda.
-
Wakimbizi wa Rwanda kuanza kurejeshwa nyumbani kutoka Kongo Brazaville
Apr 05, 2017 04:59Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR pamoja na serikai za Rwanda na Congo Brazaville wameafikiana kuwarejesha nyumbani wakimbizi zaidi ya elfu 10 wa Rwanda walioko Jamhuri ya Kongo.
-
SAUTI: Mgomo walemaza harakati za kijamii DRC
Apr 04, 2017 05:52Miji mikubwa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeripotiwa kupooza kufuatia mgomo ulioitishwa na wapinzani wanaoishinikiza serikali isaidi mkataba wa amani uliofikiwa tarehe 31 Disemba mwaka jana. Mossi Mwasi ana maelezo zaidi kutoka Congo Brazzaville.
-
SAUTI: Hali mbaya ya usalama nchini Uganda
Apr 04, 2017 05:37Vitisho vipya dhidi ya usalama wa Uganda hususan usalama wa jeshi la polisi vimejitokeza nchini humo hivi sasa uchunguzi ukiendelea kufanyika kuhusiana na suala hilo. Mwandishi wetu Kigozi Ismail amettumia ripoti ifuatayo:
-
SAUTI: Ripoti ya matukio ya Kiislamu, kuanzia tukio la moto huko Zanzibar, nchini Zambia ambapo sasa wazinzi kuanza kukiona cha mtemakuni na kadhalika..
Mar 25, 2017 12:39Ripoti ya matukio ya Kiislamu, kuanzia Zanzibar ambapo hivi karibuni familia moja iliteketea kwa moto na kupelekea viongozi wa kisiasa kuzuru familia hiyo akiwemo Maalim Seif Sharif Hamad.
-
SAUTI: Sintofahamu yaendelea kugubika Tanzania baada ya hatua ya Rais Magufuli wa Tanzania kumpiga kalamu nyekundu Waziri Nape Nnauye
Mar 23, 2017 13:41Baada ya uteuzi wa mawaziri wapya katika Baraza la Mawaziri uliofanywa na Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania ikiambatana na kumpiga kalamu nyekundu kwenye baraza hilo Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Nape Nnauye, uteuzi huo umetafsiriwa kwa hisia tofauti na Watanzania.