SAUTI: Mgomo walemaza harakati za kijamii DRC
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i27284-sauti_mgomo_walemaza_harakati_za_kijamii_drc
Miji mikubwa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeripotiwa kupooza kufuatia mgomo ulioitishwa na wapinzani wanaoishinikiza serikali isaidi mkataba wa amani uliofikiwa tarehe 31 Disemba mwaka jana. Mossi Mwasi ana maelezo zaidi kutoka Congo Brazzaville.
(last modified 2023-11-27T08:44:11+00:00 )
Apr 04, 2017 05:52 UTC

Miji mikubwa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeripotiwa kupooza kufuatia mgomo ulioitishwa na wapinzani wanaoishinikiza serikali isaidi mkataba wa amani uliofikiwa tarehe 31 Disemba mwaka jana. Mossi Mwasi ana maelezo zaidi kutoka Congo Brazzaville.