-
Spika Zuberi: Mazungumzo yanaweza kutatua mgogoro Zanzibar, hakuna uchaguzi hadi 2020
Feb 28, 2017 13:45Hivi karibuni Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mheshimiwa Zuberi Ali Maulid alikuwa safarini nchini Iran na Idhaa ya Kiswahili Radio Tehran ilizungumza naye kuhusu mgogoro wa kisiasa unaeondelea Zanzibar.
-
VIDEO: Israel yatuma majasusi nchini Syria
Feb 26, 2017 23:15Kikosi maalumu cha jeshi la Israel kimeingia kwenye ardhi ya Syria kwa ajili ya kufanya ujasusi.
-
Sayyed Albeity wa Lamu, Kenya: Kuna Matumaini Intifadha ya Palestina Itafaulu
Feb 26, 2017 11:20Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina ulimalizika Jumatano hapa Tehran, ambapo kulikuwa wa washiriki zaidi ya 700 kutoka 80.
-
Mbunge wa Matuga, Kenya: Wanaadamu wote waunge mkono uhuru wa Palestina
Feb 26, 2017 11:13Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina ulimalizika Jumatano hapa Tehran, ambapo kulikuwa wa washiriki zaidi ya 700 kutoka 80.
-
Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar aunga mkono Intifadha ya Palestina, alaani udhalimu wa Israel
Feb 26, 2017 09:05Mkutano wa Sita wa Kimataifa wa Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina ulimalizika Jumatano hapa Tehran, ambapo kulikuwa wa washiriki zaidi ya 700 kutoka 80.
-
SAUTI, Waswahili wa Burundi: Tumenyanyaswa kwa zaidi ya miaka 100, Burundi imegeuka na kuwa mali ya Watutsi na Wahutu pekee
Feb 21, 2017 15:13Jamii ya Waswahili nchini Burundi inailalamikia serikali ya nchi hiyo kwamba, imekuwa ikiwatenga kwa zaidi ya miaka 100 sasa kuweza kushiriki katika masuala ya kimaendeleo, kisiasa na kijamii.
-
Video: Maroketi erevu ya Iran yenye uwezo mkubwa wa kushambulia
Feb 21, 2017 08:26Katika maneva ya kijeshi yanayoendelea hivi sasa ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imefanyia majaribio maroketi erevu (smart rockets) ambayo yana uwezo mkubwa wa kushambulia adui. Kipande hiki cha video kinaonesha sehemu ndogo ya kazi zinazofanywa na maroketi hayo.
-
SAUTI: Serikali Burundi yatumai wakimbizi watarejea; wakimbizi lakini hawaoneshi hamu wa kurejea nyumbani
Feb 19, 2017 10:46Viongozi wa Burundi wameonesha matumaini makubwa ya kurejea nyumbani raia wa nchi hiyo waliokomimbilia nchi jirani baada ya kazuka machafuko nchi mwao hasa baada ya chama tawala cha CNDD-FDD kumuidhinisha Rais Pierre Nkurunziza kugombea urais kwa mara ya tatu mfululizo. Maelezo zaidi anayo mwandishi wa wetu wa Kampala, Uganda, Kigozi Ismail.
-
Video: Mazungumzo ya Rais Rouhani na Sultan Qaboos wa Oman
Feb 15, 2017 14:40Akiwa katika ziara rasmi ya siku moja, leo Jumatano, tarehe 15 Februar 2017, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Dk Hassan Rouhani ameonana na kuzungumza na Sultan Qaboos wa Oman na pande mbili zimetilia mkazo umuhimu wa kuimarisha uhusiano na ushirikiano wa kidugu baina yao.
-
Video: Rais Rouhani alipowasili Oman Jumatano Feb 15 2017
Feb 15, 2017 13:43Mapokezi ya Rais wa Iran katika uwanja wa ndege wa Muscat Oman