Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Waziri wa Ulinzi, Mkuu wa Majeshi Afghanistan wajiuzulu kufuatia shambulizi la Taliban

    Waziri wa Ulinzi, Mkuu wa Majeshi Afghanistan wajiuzulu kufuatia shambulizi la Taliban

    Apr 24, 2017 03:47

    Waziri wa Ulinzi na Mkuu wa Jeshi la Afghanistan wamejiuzulu kufuatia shambulizi la kigaidi la Taliban lililoua makumi wa wanajeshi wa nchi hiyo siku chache zilizopita.

  • Shamkhani: Baadhi ya nchi zinapanga kumimina magaidi Afghanistan

    Shamkhani: Baadhi ya nchi zinapanga kumimina magaidi Afghanistan

    Apr 23, 2017 03:26

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema, kuna baadhi ya nchi za eneo hili zinafanya njama za kuharibu hali ya amani na kudhoofisha muundo wa kiusalama wa Aghanistan kama njia ya kuandaa mazingira ya kuwahamishia nchini humo magaidi walioshindwa katika nchi za Iraq na Syria.

  • Taleban: Marekani imetumia silaha za kemikali katika mkoa wa Kunduz

    Taleban: Marekani imetumia silaha za kemikali katika mkoa wa Kunduz

    Apr 22, 2017 23:52

    Msemaji wa Kundi la kigaidi la Taleban amesema kuwa, Marekani imetumia silaha za kemikali dhidi ya raia katika mkoa wa Kunduz, kaskazini mwa Afghanistan.

  • Chama tawala Kenya chafutilia mbali zoezi la mchujo baada ya kuibuka vurugu

    Chama tawala Kenya chafutilia mbali zoezi la mchujo baada ya kuibuka vurugu

    Apr 21, 2017 23:40

    Chama tawala cha Jubilee nchini Kenya kimefutilia mbali zoezi la uteuzi wa nafasi za wagombea wake katika Kaunti zote baada ya kushuhudiwa vurugu na machafuko hapo jana.

  • Taliban waua makumi ya askari wa Afghanistan

    Taliban waua makumi ya askari wa Afghanistan

    Apr 21, 2017 23:13

    Zaidi ya askari 50 wa Afghanistan wameuawa katika shambulio lililofanywa na wapiganaji wa kundi la kitakfiri la Taliban dhidi ya kambi muhimu ya jeshi la nchi hiyo huko kaskazini mwa Afghanistan.

  • Karzai: Nitaiokoa Afghanistan mwenyewe kutokana na jinai za Marekani

    Karzai: Nitaiokoa Afghanistan mwenyewe kutokana na jinai za Marekani

    Apr 15, 2017 09:18

    Rais wa zamani wa Afghanistan Hamid Karzai amesema kuwa atasimama yeye mwenyewe kukabiliana na Marekani ili kuiokoa nchi yake kutokana na jinai za Washington nchini humo.

  • Karzai aikosoa US kwa kudondosha

    Karzai aikosoa US kwa kudondosha "Mama wa Mabomu Yote" nchini Afghanistan

    Apr 15, 2017 03:08

    Rais wa zamani wa Afghanistan Hamid Karzai ameikosoa vikali Marekani kwa kuitumia nchi yake kama sehemu ya kufanyia majaribio ya silaha zake.

  • Athari mbaya za utumiaji wa silaha mpya za Marekani huko Afghanistan

    Athari mbaya za utumiaji wa silaha mpya za Marekani huko Afghanistan

    Apr 15, 2017 02:28

    Hatua ya Marekani na kutumia bomu kubwa zaidi lisilo la nyuklia huko Aghanistan imekabliwa na radiamali kali ya duru mblimbali nchini Afghanistn na katika eno hili kwa ujumla.

  • Marekani yapiga

    Marekani yapiga "Mama wa Mabomu Yote", Afghanistan

    Apr 14, 2017 00:01

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon, imetangaza kwamba jeshi la nchi hiyo limepiga bomu kubwa zaidi lisilokuwa la nyuklia nchini Afghanistan.

  • Pakistan yavurumisha zaidi ya makombora 70 Afghanistan, Kabul yalalamika

    Pakistan yavurumisha zaidi ya makombora 70 Afghanistan, Kabul yalalamika

    Mar 31, 2017 02:19

    Viongozi wa serikali ya Afghanistan wamesema kuwa, zaidi ya makombora 70 yalirushwa jana usiku kutoka nchini Pakistan kuelekea maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo, na kuzusha wasiwasi mkubwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS