Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

afya

  • Indhari ya WHO kutokana na mripuko wa tauni iliyoua watu 24 Madagascar

    Indhari ya WHO kutokana na mripuko wa tauni iliyoua watu 24 Madagascar

    Oct 01, 2017 11:58

    Shirika la Afya Duniani WHO limeeleza wasi wasi wake kutokana na mripuko wa ugonjwa wa tauni ambao umeua makumi ya watu kufikia sasa nchini Madagascar.

  • Mlipuko wa kipindupindu waua zaidi ya watu 50 nchini Chad

    Mlipuko wa kipindupindu waua zaidi ya watu 50 nchini Chad

    Sep 22, 2017 04:16

    Watu zaidi ya 50 wamepoteza maisha kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu nchini Chad.

  • Watoto 34 waaga dunia hospitalini India kwa kukosa hewa

    Watoto 34 waaga dunia hospitalini India kwa kukosa hewa

    Aug 12, 2017 03:26

    Watoto zaidi ya 30 wameripotiwa kupoteza maisha wakiwa katika hospitali moja ya serikali kaskazini mwa India, kwa kukosa hewa ya oksijeni ndani ya masaa 48.

  • UN: Ugonjwa wa kuharisha umeua watu 279 nchini Sudan

    UN: Ugonjwa wa kuharisha umeua watu 279 nchini Sudan

    Jun 13, 2017 08:58

    Ofisi ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa OCHA imesema kwa akali watu 279 wamepoteza maisha kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kuharisha nchini Sudan.

  • DRC yadhibiti ugonjwa hatari wa Ebola

    DRC yadhibiti ugonjwa hatari wa Ebola

    Jun 03, 2017 02:42

    Wizara ya Afya huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza kufanikiwa kudhibiti maambukizi ya ugonjwa hatari wa Ebola.

  • UN: Kipindupindu kimeua watu 600 nchini Yemen Aprili

    UN: Kipindupindu kimeua watu 600 nchini Yemen Aprili

    Jun 02, 2017 22:53

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu umeua karibu watu 600 nchini Yemen ndani ya mwezi wa Aprili pekee mwaka huu.

  • Mripuko wa homa ya ndege waripotiwa Kongo DR

    Mripuko wa homa ya ndege waripotiwa Kongo DR

    May 31, 2017 10:25

    Mripuko wa homa hatari ya ndege imeripotiwa katika mkoa wa Ituri, kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • WHO: Matumizi ya tumbaku yanaua watu milioni 7 kila mwaka duniani

    WHO: Matumizi ya tumbaku yanaua watu milioni 7 kila mwaka duniani

    May 30, 2017 23:30

    Shirika la Afya Duniani WHO limesema watu zaidi ya milioni saba wanafariki dunia kila mwaka kutokana na matumizi ya tumbaku kote duniani.

  • Mahakama Kenya yasimamisha mpango wa kuajiriwa madaktari wa Tanzania

    Mahakama Kenya yasimamisha mpango wa kuajiriwa madaktari wa Tanzania

    Mar 31, 2017 10:33

    Mahakama ya Leba nchini Kenya imesimamisha mpango wa serikali wa kuwaajiri mamia ya madaktari kutoka nchi jirani ya Tanzania.

  • WHO yaeleza wasiwasi wake kuhusu mgogoro wa afya nchini Yemen

    WHO yaeleza wasiwasi wake kuhusu mgogoro wa afya nchini Yemen

    Feb 24, 2017 00:17

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limeeleza wasiwasi wake mkubwa kuhusu uhaba mkubwa wa dawa, nishati na wahudumu wa masuala ya afya nchini Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS