-
Mlipuko wa kipindupindu waua zaidi ya watu 50 nchini Chad
Sep 22, 2017 07:46Watu zaidi ya 50 wamepoteza maisha kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu nchini Chad.
-
Watoto 34 waaga dunia hospitalini India kwa kukosa hewa
Aug 12, 2017 07:56Watoto zaidi ya 30 wameripotiwa kupoteza maisha wakiwa katika hospitali moja ya serikali kaskazini mwa India, kwa kukosa hewa ya oksijeni ndani ya masaa 48.
-
UN: Ugonjwa wa kuharisha umeua watu 279 nchini Sudan
Jun 13, 2017 13:28Ofisi ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa OCHA imesema kwa akali watu 279 wamepoteza maisha kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kuharisha nchini Sudan.
-
DRC yadhibiti ugonjwa hatari wa Ebola
Jun 03, 2017 07:12Wizara ya Afya huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza kufanikiwa kudhibiti maambukizi ya ugonjwa hatari wa Ebola.
-
UN: Kipindupindu kimeua watu 600 nchini Yemen Aprili
Jun 03, 2017 03:23Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu umeua karibu watu 600 nchini Yemen ndani ya mwezi wa Aprili pekee mwaka huu.
-
Mripuko wa homa ya ndege waripotiwa Kongo DR
May 31, 2017 14:55Mripuko wa homa hatari ya ndege imeripotiwa katika mkoa wa Ituri, kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
WHO: Matumizi ya tumbaku yanaua watu milioni 7 kila mwaka duniani
May 31, 2017 04:00Shirika la Afya Duniani WHO limesema watu zaidi ya milioni saba wanafariki dunia kila mwaka kutokana na matumizi ya tumbaku kote duniani.
-
Mahakama Kenya yasimamisha mpango wa kuajiriwa madaktari wa Tanzania
Mar 31, 2017 15:03Mahakama ya Leba nchini Kenya imesimamisha mpango wa serikali wa kuwaajiri mamia ya madaktari kutoka nchi jirani ya Tanzania.
-
WHO yaeleza wasiwasi wake kuhusu mgogoro wa afya nchini Yemen
Feb 24, 2017 03:47Shirika la Afya Duniani (WHO) limeeleza wasiwasi wake mkubwa kuhusu uhaba mkubwa wa dawa, nishati na wahudumu wa masuala ya afya nchini Yemen.
-
UN: Yemen imerejea muongo mmoja nyuma katika sekta ya afya
Feb 01, 2017 04:22Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umesema sekta ya afya ya Yemen imesambaratika kwa kiwango cha kutia wasi wasi kutokana na hujuma za kila siku za jeshi la utawala wa Aal-Saud.