Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Wananchi wa Algeria wajitokeza kuwachagua wawakilishi wao wa Bunge

    Wananchi wa Algeria wajitokeza kuwachagua wawakilishi wao wa Bunge

    May 04, 2017 09:44

    Wananchi wa Algeria waliotimiza masharti ya kupiga kura, leo Alkhamisi wamejitokeza katika vituo vya kupigia kura kwa ajili ya kuwachagua wawakilishi wao wa Bunge lijalo la nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Morocco yaituhumu Algeria kuwatesa wakimbizi wa Syria

    Morocco yaituhumu Algeria kuwatesa wakimbizi wa Syria

    Apr 23, 2017 03:24

    Serikali ya Morocco imeilaumu Algeria kwa kuwazingira wakimbizi wa Syria katika "mazingira yasiyo ya kibinadamu" kwenye mpaka wa kusini mwa Algeria.

  • Makumi ya Waislamu wajeruhiwa  baada ya msikiti kuchomwa moto Algeria

    Makumi ya Waislamu wajeruhiwa baada ya msikiti kuchomwa moto Algeria

    Apr 15, 2017 09:14

    Makumi ya Waislamu nchini Algeria wamejeruhiwa kwa moto, baada ya msikiti waliokuwa wakishwali ndani yake kuchomwa moto makusudi.

  • Malengo ya safari ya Waziri Mkuu wa Ufaransa barani Afrika

    Malengo ya safari ya Waziri Mkuu wa Ufaransa barani Afrika

    Apr 06, 2017 06:32

    Waziri Mkuu wa Ufaransa Bernard Cazeneuve ameanza safari ya kuzitembelea nchi kadhaa za Afrika ambayo imetajwa kuwa lengo lake ni kuimarisha uchumi na mapambano dhidi ya ugaidi.

  • Iran, Algeria kutumia tamaduni kukabili utakfiri na misimamo mikali

    Iran, Algeria kutumia tamaduni kukabili utakfiri na misimamo mikali

    Mar 28, 2017 11:51

    Waziri wa Utamaduni wa Algeria amesema harakati za kitamaduni zina nafasi chanya katika vita dhidi ya magenge ya utakfiri na yenye misimamo ya kufurutu ada.

  • Kiongozi wa Daesh auawa mashariki mwa Algeria

    Kiongozi wa Daesh auawa mashariki mwa Algeria

    Mar 26, 2017 08:53

    Jeshi la Algeria limetangaza habari ya kuuawa kiongozi mmoja wa genge la kigaidi la Daesh (ISIS) katika eneo la Jabal al Wuhush la jimbo la Constantine, mashariki mwa nchi hiyo.

  • Rais wa Algeria ajitokeza hadharani baada ya mwezi moja

    Rais wa Algeria ajitokeza hadharani baada ya mwezi moja

    Mar 20, 2017 11:34

    Rais Abdulaziz Bouteflika wa Algeria amejitokeza hadharani kwa mara ya kwanza baada ya mwezi moja na hivyo kuhitimisha uvumi uliokuwa umeenea kuhusu hali yake ya afya.

  • Msomi wa Algeria: Ni Iran pekee inayohuisha kadhia ya Palesina duniani

    Msomi wa Algeria: Ni Iran pekee inayohuisha kadhia ya Palesina duniani

    Feb 27, 2017 23:15

    Msomi na mtafiti wa nchini Algeria sambamba na kupongeza hotuba ya hivi karibuni ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika kongamano la kimataifa la kuunga mkono Intifadha ya Palestina hapa mjini Tehran kwa kuitaja kama kadhia ya Palestina kama maudhui kuu ya ulimwengu wa Kiislamu, amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndiyo nchi pekee duniani ambayo imeweza kuhuisha kadhia hiyo.

  • Algeria yafungua mashtaka dhidi ya Ufaransa, kisa majaribio ya silaha za nyukia

    Algeria yafungua mashtaka dhidi ya Ufaransa, kisa majaribio ya silaha za nyukia

    Feb 14, 2017 04:25

    Baada ya kupita zaidi ya nusu karne tangu wakoloni wa Kifaransa waondoke Algeria, taasisi moja ya kutetea haki za binadamu ya nchi hiyo imetangaza kuwa imefungua mashtaka dhidi ya Ufaransa kutokana na hasara zilizosababishwa na majaribio ya silaha za nyuklia ya nchi hiyo katika ardhi ya Algeria.

  • Algeria yaishitaki Ufaransa kuhusu majaribio ya silaha za nyuklia

    Algeria yaishitaki Ufaransa kuhusu majaribio ya silaha za nyuklia

    Feb 13, 2017 03:03

    Taasisi moja ya kutetea haki za binadamu ya Algeria imeifungulia mashtaka serikali ya Ufaransa kutokana na hasara zilizosababishwa na majaribio ya nyuklia yaliyofanywa na nchi hiyo katika ardhi ya Algeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS