-
Hamas yaanza rasmi shughuli zake nchini Algeria
Aug 29, 2016 23:03Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imetangaza kuanza rasmi shughuli zake huko Algeria.
-
Basi lililowabeba mahujaji wa Algeria lawaka moto
Aug 30, 2016 03:04Katika kuendelea na kukaririwa matukio yanayohusiana na ibada ya Hija huko Saudi Aarbia, basi moja lililokuwa limewabeba mahujaji wa Algeria wakitokea Madina na kuelekea mjini Makka limewaka moto.
-
Algeria yahimiza kuachiwa huru raia wake wote walioko jela Guantanamo
Aug 22, 2016 23:38Waziri wa Sheria wa Algeria amesisitiza juu ya udhaura wa kuachiwa huru raia wote wa nchi hiyo waliofungwa katika jela ya Guantanamo nchini Cuba.
-
Jeshi la la Algeria laua na kukamata magaidi 12
Jun 19, 2016 10:11Wizara ya Ulinzi ya Algeria imetangaza habari ya kuuawa watu wanane wanaoaminika kuwa wanachama wa makundi ya kigaidi kusini mwa mji mkuu wa nchi hiyo Algiers.
-
Ombi la Uganda kwa Algeria
Jun 18, 2016 06:50Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda ameiomba Algeria iiunge mkono nchi hiyo katika kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Kamisheni ya Utekelezaji ya Umoja wa Afrika.
-
Algeria yatangaza uungaji mkono wake kwa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya
Jun 13, 2016 10:12Serikali ya Algeria imetangaza rasmi kuwa iko pamoja na inaiunga mkono serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya.
-
Waalgeria: ISIS ni genge lililoundwa na Marekani
May 18, 2016 22:22Wananchi wengi wa Algeria wanaamini kuwa, genge la kigaidi la Daesh (ISIS) limeundwa na Marekani.
-
Iran na Algeria zasaini hati 19 za maelewano
May 18, 2016 03:26Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Algeria zimesaini hati 19 za maelewano mwishoni mwa kikao cha pili cha kamati ya pamoja ya kutathmini ushirikiano wa kiviwanda baina ya nchi mbili.
-
Waalgeria watatu watiwa mbaroni kwa tuhuma za ugaidi
May 07, 2016 11:38Jeshi la Algeria limewatia mbaroni raia watatu wa nchi hiyo kwa tuhuma za kuyasaidia makundi ya kigaidi nchini humo.
-
Wasiwasi kuhusu hali ya mambo nchini Algeria
Apr 29, 2016 02:30Ali Benflis, Waziri Mkuu wa zamani wa Algeria alisema siku ya Jumatano kwamba hali ya kisiasa na kiuchumi ya nchi hiyo inatia wasiwasi.