Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ayatullah Hashemi Rafsanjani

  • Rais Rouhani: Tunajifakharisha kwa makombora yetu ya kiulinzi na kielimu

    Rais Rouhani: Tunajifakharisha kwa makombora yetu ya kiulinzi na kielimu

    Jan 10, 2019 16:03

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, makombora leo hii ni zana ya kujilinda Iran na taifa letu leo hii linajivunia na linaona fakhari kubwa kuwa na nguvu za kiulinzi za makombora.

  • Rais Rouhani: Ayatullah Rafsanjani alikuwa msaidizi imara wa Kiongozi Muadhamu

    Rais Rouhani: Ayatullah Rafsanjani alikuwa msaidizi imara wa Kiongozi Muadhamu

    Jan 16, 2017 07:32

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Kuaga dunia Ayatullah Hashemi Rafsanjani aliyekuwa Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran, ni msiba mkubwa ambao umepelekea Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kupoteza tegemeo lake kubwa."

  • Rais wa Nigeria aomboleza kifo cha Ayatullah Rafsanjani

    Rais wa Nigeria aomboleza kifo cha Ayatullah Rafsanjani

    Jan 14, 2017 07:12

    Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria amemtumia salamu za rambi rambi mwenzake wa Iran kufuatia kuaga dunia Ayatullah Hashemi Rafsanjani, Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran.

  • Rouhani: Ushiriki mkubwa wa wananchi mazishi ya Rafsanjani ni alama ya umoja

    Rouhani: Ushiriki mkubwa wa wananchi mazishi ya Rafsanjani ni alama ya umoja

    Jan 13, 2017 14:53

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa ushiriki mkubwa wa wananchi katika mazishi ya Ayatullah Hashemi Rafsanjani, Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Iran ni alama ya umoja na mshikamano.

  • Rais Teshome atoa wito wa kuimarishwa uhusiano wa Ethiopia na Iran

    Rais Teshome atoa wito wa kuimarishwa uhusiano wa Ethiopia na Iran

    Jan 13, 2017 07:32

    Rais Mulatu Teshome wa Ethiopia amesisitizia umuhimu wa kuimarishwa uhusiano na ushirikiano wa pande mbili kati ya Tehran na Addis Ababa.

  • Jeshi la Lebanon: Ayatullah Rafsanjani alikuwa akihami Lebanon na Palestina

    Jeshi la Lebanon: Ayatullah Rafsanjani alikuwa akihami Lebanon na Palestina

    Jan 12, 2017 15:45

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Lebanon amesema kuwa, marehemu Ayatullah Hashemi Rafsanjani, Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Iran, alikuwa daima akichukua misimamo ya heshima katika kuihami Lebanon na Palestina katika kukabiliana na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Rafsanjani, Mwanasiasa wa Aina Yake-1

    Rafsanjani, Mwanasiasa wa Aina Yake-1

    Jan 12, 2017 09:09

    Habari iliyotangazwa saa moja na nusu usiku wa Jumapili tarehe 8 mwezi huu wa Januari kwa wakati wa Tehran iliwatia simanzi na huzuni kubwa mamilioni ya Wairani na wapenzi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika pembe mbalimbali za dunia.

  • Mkuu wa Baraza la Mamumfti wa Russia apongeza nafasi ya Ayatullah Rasanjani

    Mkuu wa Baraza la Mamumfti wa Russia apongeza nafasi ya Ayatullah Rasanjani

    Jan 12, 2017 07:28

    Mkuu wa Baraza la Mamufti wa Russia amesisitiza kuwa Ayatullah Hashimi Rafsanjani alikuwa mwanasiasa mkubwa wa Kiislamu na nembo ya uzalendo.

  • Ayatullah Hashemi Rafsanjani amezikwa leo

    Ayatullah Hashemi Rafsanjani amezikwa leo

    Jan 10, 2017 16:57

    Mwili wa marehemu Ayatullah Hashemi Rafsanjani, Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran umezikwa leo katika haram ya mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Imam Khomeini (MA).

  • Rais wa Russia atuma salamu za rambirambi kwa kifo cha Ayatullah Rafsanjani

    Rais wa Russia atuma salamu za rambirambi kwa kifo cha Ayatullah Rafsanjani

    Jan 10, 2017 16:42

    Rais Vladimir Putin wa Russia ametuma salamu za rambirambi na mkono wa pole kufuatia kifo cha Ayatullah Hashemi Rafsanjani, Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS