Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bangladesh

  • HRW: Bangladesh inawanyima elimu watoto laki 4 wa Kirohingya

    HRW: Bangladesh inawanyima elimu watoto laki 4 wa Kirohingya

    Dec 04, 2019 07:08

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema serikali ya Bangladesh imewanyima haki ya kupata elimu watoto laki nne Waislamu Warohingya wanaoishi kama wakimbizi nchini humo.

  • Bangladesh yashikilia hukumu ya kifo dhidi ya Azharul Islam

    Bangladesh yashikilia hukumu ya kifo dhidi ya Azharul Islam

    Nov 01, 2019 01:14

    Mahakama ya Juu ya Bangladesh imeidhinisha hukumu ya kifo iliyotolewa mwaka 2014 dhidi ya kinara wa chama cha Kiislamu cha Jamaat-e-Islami, A T M Azharul Islam, kwa tuhuma za kutenda jinai za kivita.

  • Askari wa Bangladesh wambaka binti wa miaka 12 wa Rohingya

    Askari wa Bangladesh wambaka binti wa miaka 12 wa Rohingya

    Oct 04, 2019 01:41

    Jeshi la Bangladesh limesema kuwa linachunguza malalamiko ya familia moja ya Waislamu wa Rohingya inayoishi katika kambi ya wakimbizi nchini humo inayosema kuwa askari wa Bangladesh wamembaka binti yao wa miaka 12.

  • Bagladesh: Myamar haitaki kuwarejesha nchini wakimbizi wa Rohingya

    Bagladesh: Myamar haitaki kuwarejesha nchini wakimbizi wa Rohingya

    Jun 11, 2019 07:49

    Waziri Mkuu wa Bangladesh ameikosoa vikali serikali ya Myanmar kwa kutoonesha nia wala mpango wa kuwa tayari kuwapokea wakimbizi Waislamu wa Rohingya waliokimbilia nchini humo miaka miwili iliyopita.

  • Bangladesh yalaani uongo wa Myanmar, yakataa kuwapokea tena Waislamu wa Rohingya

    Bangladesh yalaani uongo wa Myanmar, yakataa kuwapokea tena Waislamu wa Rohingya

    Mar 01, 2019 15:26

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Bangladesh amelieleza Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwamba nchi yake haitopokea mkimbizi mwingine yeyote wa jamii ya Rohingya kutoka Myanmar.

  • Bangladesh yawazuia kuingia nchini humo Waislamu 31 wa Rohingya waliokimbia India

    Bangladesh yawazuia kuingia nchini humo Waislamu 31 wa Rohingya waliokimbia India

    Jan 22, 2019 02:46

    Bangladesh imektaa kuwapokea makumi ya Waislamu wa JAMII YA Rohingya waliotaka kuingia nchini humo wakitokea nchi jirani ya India; na hivyo kuwaacha raia hao wakiwa wamekwama katika eneo lisilo na makazi kwenye mpaka wa nchi hizo mbili.

  • Bangladesh yatumia askari kuwafukuza kwa nguvu wakimbizi Warohingya

    Bangladesh yatumia askari kuwafukuza kwa nguvu wakimbizi Warohingya

    Nov 14, 2018 14:21

    Serikali ya Bangladesh imetuma maafisa usalama wakiwemo wanajeshi na askari polisi katika kambi za wakimbizi Waislamu wa Rohingya katika eneo la Cox wilayani Bazar, kusini mashariki mwa nchi kwa lengo la kuwafukuza kwa nguvu wakimbizi hao na kuwarejesha Myanmar.

  • UN: Waislamu wa Rohingya wanakabiliwa na hatari kubwa wakirejeshwa Myanmar

    UN: Waislamu wa Rohingya wanakabiliwa na hatari kubwa wakirejeshwa Myanmar

    Nov 14, 2018 02:39

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameitaka serikali ya Bangladesh kusimamisha mpango wake wa kuwarejesha kwa nguvu nchini Myanmar maelfu ya wakimbizi Waislamu wa Rohingya akisisitiza kuwa maisha yao yatakuwa hatarini.

  • Bangladesh na mpango wa kuwahamishia wakimbizi Waislamu Warohingya laki moja katika kisiwa kilichotelekezwa

    Bangladesh na mpango wa kuwahamishia wakimbizi Waislamu Warohingya laki moja katika kisiwa kilichotelekezwa

    Oct 28, 2018 02:29

    Serikali ya Bangladesh imetangaza kuwa karibuni hivi itawahamishia katika kisiwa kilichotelekezwa, Waislamu wa jamii ya Rohingya wapatao laki moja.

  • Bangladesh: Myanmar imetutaka tuache kuwasaidia wakimbizi wa Rohingya

    Bangladesh: Myanmar imetutaka tuache kuwasaidia wakimbizi wa Rohingya

    Aug 13, 2018 07:38

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Bangladesh imesema kuwa, Myanmar imeitaka serikali ya nchi hiyo kusimamisha misaada ya kibinaadamu kwa malaki ya wakimbizi wa Rohingya walioko katika maeneo ya mpaka wa nchi mbili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS