-
Serikali ya Burundi yakubali pendekezo la kuzungumza na wapinzani
Feb 23, 2016 10:16Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, amesema kuwa serikali ya Burundi imekubaliana na pendekezo la kufanya mazungumzo na wapinzani. Ban Ki-moon ameyasema hayo leo huko Bujumbura, mji mkuu wa Burundi na kuongeza kuwa, serikali ya nchi hiyo imeahidi pia kuanzisha mazungumzo ya kina na ya pamoja na wapinzani wake.
-
Ban Ki-Moon awasili Burundi, kukutana na Nkurunziza
Feb 23, 2016 04:24Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewasili nchini Burundi katika kile kinachoonekana ni kujaribu kuupatia ufumbuzi mzozo wa kisiasa wa nchi hiyo.
-
Mlipuko wa Bomu waua watu Bujumbura, Burundi
Feb 22, 2016 13:06Mlipuko uliotokea mapema leo mjini Bujumbura umeua mtu mmoja na kujeruhi wengine kadhaa.
-
Burundi yasema haitawakamata baadhi ya wapinzani
Feb 20, 2016 23:18Idara ya Mkuu wa Mashtaka wa Burundi imetangaza kuwa imefuta waranti wa kutiwa nguvuni idadi kadhaa ya watu wanaofuatiliwa kisheria.
-
Serikali ya Burundi yataka kufanya mazungumzo na Rwanda
Feb 20, 2016 09:43Serikali ya Burundi imewatolea wito viongozi wa Rwanda kufanya mazungumzo na kuhitihimisha hitilafu zilizojitokeza kati ya nchi mbili hizo.
-
Burundi: Tuko tayari kuzungumza na Rwanda kumaliza tofauti zetu
Feb 20, 2016 04:44Serikali ya Burundi imetangaza azma yake ya kufanya mazungumzo na Rwanda kwa lengo la kuhitimisha mivutano iliyozuka kati ya pande mbili tangu miezi kadhaa iliyopita.
-
Matatizo ya wakimbizi wa Burundi nchini Tanzania
Feb 18, 2016 21:57Karibu wakimbizi 130,000 kutoka Burundi wameingia Tanzania kufuatia mgogoro unaoendelea ndani ya nchi yao.
-
Paspoti za kielektroniki kuzinduliwa Afrika Mashariki
Feb 17, 2016 03:55Raia wa Nchi za Afrika Mashariki wataanza kutumia paspoti za kielektroniki ambazo zitatumika kurahisisha usafiri kwa wananchi wa eneo hilo.
-
Kuendelea mivutano baina ya Burundi na Rwanda
Feb 15, 2016 02:53Wafuasi wa serikali ya Burundi wamefanya maandamano katika kulalamikia uingiliaji wa Rwanda wa masuala yao ya ndani. Washiriki wa maandamano hayo yaliyojiri siku ya Jumamosi na katika maeneo 119 ya Burundi walalamikia kile walichokiita kuwa ni uvamizi wa Rwanda na rais wake Paul Kagame dhidi ya nchi yao.
-
Askari wa Burundi watimuliwa CAR kutokana na jinai
Feb 12, 2016 23:53Askari watatu wa kulinda amani wa Burundi walioko Jamhuri ya Afrika ya Kati wametimuliwa baada ya kushukiwa kuwa walihusika na ukiukaji wa haki za bainadamu katika ghasia za kisiasa zinazoendelea katika nchi yao.