Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burundi

  • Serikali ya Burundi yakubali pendekezo la kuzungumza na wapinzani

    Serikali ya Burundi yakubali pendekezo la kuzungumza na wapinzani

    Feb 23, 2016 10:16

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, amesema kuwa serikali ya Burundi imekubaliana na pendekezo la kufanya mazungumzo na wapinzani. Ban Ki-moon ameyasema hayo leo huko Bujumbura, mji mkuu wa Burundi na kuongeza kuwa, serikali ya nchi hiyo imeahidi pia kuanzisha mazungumzo ya kina na ya pamoja na wapinzani wake.

  • Ban Ki-Moon awasili Burundi, kukutana na Nkurunziza

    Ban Ki-Moon awasili Burundi, kukutana na Nkurunziza

    Feb 23, 2016 04:24

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewasili nchini Burundi katika kile kinachoonekana ni kujaribu kuupatia ufumbuzi mzozo wa kisiasa wa nchi hiyo.

  • Mlipuko wa Bomu waua watu Bujumbura, Burundi

    Mlipuko wa Bomu waua watu Bujumbura, Burundi

    Feb 22, 2016 13:06

    Mlipuko uliotokea mapema leo mjini Bujumbura umeua mtu mmoja na kujeruhi wengine kadhaa.

  • Burundi yasema haitawakamata baadhi ya wapinzani

    Burundi yasema haitawakamata baadhi ya wapinzani

    Feb 20, 2016 23:18

    Idara ya Mkuu wa Mashtaka wa Burundi imetangaza kuwa imefuta waranti wa kutiwa nguvuni idadi kadhaa ya watu wanaofuatiliwa kisheria.

  • Serikali ya Burundi yataka kufanya mazungumzo na Rwanda

    Serikali ya Burundi yataka kufanya mazungumzo na Rwanda

    Feb 20, 2016 09:43

    Serikali ya Burundi imewatolea wito viongozi wa Rwanda kufanya mazungumzo na kuhitihimisha hitilafu zilizojitokeza kati ya nchi mbili hizo.

  • Burundi: Tuko tayari kuzungumza na Rwanda kumaliza tofauti zetu

    Burundi: Tuko tayari kuzungumza na Rwanda kumaliza tofauti zetu

    Feb 20, 2016 04:44

    Serikali ya Burundi imetangaza azma yake ya kufanya mazungumzo na Rwanda kwa lengo la kuhitimisha mivutano iliyozuka kati ya pande mbili tangu miezi kadhaa iliyopita.

  • Matatizo ya wakimbizi wa Burundi nchini Tanzania

    Matatizo ya wakimbizi wa Burundi nchini Tanzania

    Feb 18, 2016 21:57

    Karibu wakimbizi 130,000 kutoka Burundi wameingia Tanzania kufuatia mgogoro unaoendelea ndani ya nchi yao.

  • Paspoti za kielektroniki kuzinduliwa Afrika Mashariki

    Paspoti za kielektroniki kuzinduliwa Afrika Mashariki

    Feb 17, 2016 03:55

    Raia wa Nchi za Afrika Mashariki wataanza kutumia paspoti za kielektroniki ambazo zitatumika kurahisisha usafiri kwa wananchi wa eneo hilo.

  • Kuendelea mivutano baina ya Burundi na Rwanda

    Kuendelea mivutano baina ya Burundi na Rwanda

    Feb 15, 2016 02:53

    Wafuasi wa serikali ya Burundi wamefanya maandamano katika kulalamikia uingiliaji wa Rwanda wa masuala yao ya ndani. Washiriki wa maandamano hayo yaliyojiri siku ya Jumamosi na katika maeneo 119 ya Burundi walalamikia kile walichokiita kuwa ni uvamizi wa Rwanda na rais wake Paul Kagame dhidi ya nchi yao.

  • Askari wa Burundi watimuliwa CAR kutokana na jinai

    Askari wa Burundi watimuliwa CAR kutokana na jinai

    Feb 12, 2016 23:53

    Askari watatu wa kulinda amani wa Burundi walioko Jamhuri ya Afrika ya Kati wametimuliwa baada ya kushukiwa kuwa walihusika na ukiukaji wa haki za bainadamu katika ghasia za kisiasa zinazoendelea katika nchi yao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS