Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • UN: Daesh inatumia mbinu ya ukatili wa ngono Iraq

    UN: Daesh inatumia mbinu ya ukatili wa ngono Iraq

    Jun 20, 2016 09:29

    Mwakilishi Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Kukabiliana na Ukatili wa Kijinsia amesema kuwa kundi la kigaidi la Daesh linatumia ukatili wa kingono kama mbinu ya kigaidi nchini Iraq.

  • Dikrii mbili za kushangaza za Aguila Saleh huko Libya

    Dikrii mbili za kushangaza za Aguila Saleh huko Libya

    Jun 20, 2016 03:29

    Aguila Saleh Spika wa bunge la Libya amemteua mtawala wa kijeshi wa kieneo katika kipidi hiki cha kufanyika hamasisho la wote dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh.

  • 30,000 wafurushwa Fallujah Iraq katika muda wa siku 3 zilizopita

    30,000 wafurushwa Fallujah Iraq katika muda wa siku 3 zilizopita

    Jun 20, 2016 00:54

    Baraza la Wakimbizi la Norway limesema kwa akali watu 30,000 wamelazimika kuyahama makazi yao katika mji wa Fallujah nchini Iraq katika muda wa siku 3 zilizopita kutokana na kushtadi mapigano katika mji huo wa kistratajia kati ya vikosi vya jeshi na kundi la kigaidi la Daesh (ISIS).

  • Saudia, baba wa kiroho wa magaidi wa ISIS

    Saudia, baba wa kiroho wa magaidi wa ISIS

    Jun 19, 2016 10:11

    Mbunge mmoja wa Iran amesema, Saudi Arabia ni baba wa kiroho wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.

  • Iran yaipongeza Iraq kufuatia kukombolewa Fallujah

    Iran yaipongeza Iraq kufuatia kukombolewa Fallujah

    Jun 18, 2016 08:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif ameipongeza serikali na watu wa Iraq kufuatia kukombolewa mji wa kati wa Fallujah kutoka kwa magaidi wa kundi la wakufurishaji wa ISIS au Daesh.

  • Al-Abadi: Daesh haina nafasi katika ardhi ya Iraq

    Al-Abadi: Daesh haina nafasi katika ardhi ya Iraq

    Jun 18, 2016 02:38

    Haider al-Abadi, Waziri Mkuu wa Iraq amepongeza hatua ya kukombolewa kikamilifu mji wa kistratejia wa Fallujah toka mikononi mwa Daesh (ISIS) na kusema kuwa kundi hilo la kigaidi na kitakfiri halina nafasi katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Jeshi la Iraq laingia katikati mwa mji wa Fallujah, Daesh wakimbia

    Jeshi la Iraq laingia katikati mwa mji wa Fallujah, Daesh wakimbia

    Jun 17, 2016 03:42

    Ripoti za hivi karibuni zinasema kuwa jeshi la Iraq na wapiganaji wa kujitolea wamefanikiwa kuingia katikati mwa mji wa Fallujah uliokuwa ukidhibitiwa na wapiganaji wa kundi la kigaidi la Daesh kwa miaka kadhaa sasa.

  • Libya: Hatuhitaji misaada ya nchi ajinabi kupambana na Daesh

    Libya: Hatuhitaji misaada ya nchi ajinabi kupambana na Daesh

    Jun 15, 2016 11:04

    Naibu Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya amesema kuwa nchi hiyo haihitaji misaada ya nchi ajinabi kwa ajili ya kuendesha vita dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh nchini humo.

  • Raia wa Italia anayeaminika kuwa Daesh akamatwa Morocco

    Raia wa Italia anayeaminika kuwa Daesh akamatwa Morocco

    Jun 13, 2016 10:50

    Vyombo vya usalama nchini Morocco vimesema kuwa vimemtia nguvuni raia wa Italia anayeaminika kuwa na mafungamano na kundi la kigaidi la Daesh.

  • Sheikh Kubais: Netanyahu ndio anayewasimamia Daesh

    Sheikh Kubais: Netanyahu ndio anayewasimamia Daesh

    Jun 12, 2016 22:14

    Mmoja wa Mamufti watajika wa Kisuni mwa Iraq amesema kuwa kundi la kigaidi la Daesh linadhibitiwa na Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS