Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ebola

  • Wizara ya Afya: Ugonjwa wa Ebola umeibuka tena katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Wizara ya Afya: Ugonjwa wa Ebola umeibuka tena katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Nov 11, 2018 01:06

    Wizara ya Afya ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetangaza kuwa, watu wasiopungua 319 wamethibitishwa kuambukizwa maradhi ya Ebola ikiwa ni wimbi jipya la maradhi hayo katika nchi hiyo.

  • UN:Hatua mpya zinafanikisha vita dhidi ya Ebola DRC

    UN:Hatua mpya zinafanikisha vita dhidi ya Ebola DRC

    Nov 09, 2018 04:28

    Hatua mpya za kukabiliana na changamoto za vita dhidi ya mlipuko wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC zinazaa matunda ingawa mlipuko huo bado unasalia kuwa hatari.

  • Uganda kuanza kutoa chanjo ya Ebola kwa wafanyakazi wa sekta ya afya

    Uganda kuanza kutoa chanjo ya Ebola kwa wafanyakazi wa sekta ya afya

    Nov 02, 2018 23:26

    Uganda imetangaza kuwa Jumatatu ijayo itaanza kutoa chanjo kwa baadhi ya wafanyakazi wake wa huduma ya afya dhidi ya maradhi ya Ebola. Hatua hiyo inachukuliwa kutokana na kuongezeka wasiwasi juu ya uwezekano wa kuenea hadi Uganda homa hiyo ya kuvuja damu inayosababishwa na virusi kutoka nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambayo inapambana na mlipuko wa Ebola.

  • Wasiwasi wa WHO kuhusu ongezeko la maambukizi mapya ya Ebola DRC

    Wasiwasi wa WHO kuhusu ongezeko la maambukizi mapya ya Ebola DRC

    Nov 02, 2018 02:32

    Shirika la Afya Duniani WHO limeeleza wasiwasi wake kuhusu kuongezeka kwa maambukizi ya Ebola yaliyothibitishwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC katika wiki nne zilizopita.

  • Baraza la Usalama lapasisha azimio la kupambana na Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Baraza la Usalama lapasisha azimio la kupambana na Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

    Oct 31, 2018 04:47

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha kwa kauli moja azimio la kupambana na ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • Uchunguzi: Mlipuko wa Ebola magharibi mwa Afrika umesababisha hasara ya dola bilioni 53

    Uchunguzi: Mlipuko wa Ebola magharibi mwa Afrika umesababisha hasara ya dola bilioni 53

    Oct 24, 2018 23:04

    Virusi vya Ebola vilivyozikumba nchi za magharibi mwa Afrika hususan Sierra Leone, Guinea and Liberia mwaka 2014 vilisababisha hasara inayokadiriwa kufikia dola bilioni 53.

  • WHO kuunda kamati ya kujadili mlipuko wa Ebola Congo DR

    WHO kuunda kamati ya kujadili mlipuko wa Ebola Congo DR

    Oct 16, 2018 04:39

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa litaitisha kikao cha kamati ya dharura ya kuamua iwapo mlipuko wa sasa wa maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ni mgogoro wa umma unaoitia wasiwasi jamii ya kimataifa au la.

  • Visa vipya vya Ebola vyathibitishwa Kongo DR

    Visa vipya vya Ebola vyathibitishwa Kongo DR

    Oct 07, 2018 04:15

    Wizara ya Afya ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imethibitisha habari ya kugunduliwa kwa kesi tano mpya za maambukizi ya ugonjwa hatari wa Ebola katika mji wa Beni, mashariki mwa nchi.

  • UNICEF yaimarisha mikakati ya kukabiliana  na Ebola DRC

    UNICEF yaimarisha mikakati ya kukabiliana na Ebola DRC

    Sep 15, 2018 09:22

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umetangaza azma mpya ya kukabiliana na ugonjwa wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC ili kuwasaidia maelfu ya watu, wakiwemo watoto, kufuatia kuibuka upya kwa ugonjwa huo.

  • Wahanga wa Ebola waongezeka DRC

    Wahanga wa Ebola waongezeka DRC

    Sep 13, 2018 22:50

    Wizara ya Afya ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo jana ilitoa taarifa mpya na kusema kuwa, wahanga wa ugonjwa hatari wa Ebola wameongezeka tangu mwanzoni mwa mwezi Agosti hadi hivi sasa kiasi kwamba kati ya kesi 133 zilizosajiliwa, 102 zimethibitika kuwa ni za homa ya Ebola.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS