Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Mahakama ya Iran kuwaadhibu vikali wahusika wa machafuko

    Mahakama ya Iran kuwaadhibu vikali wahusika wa machafuko

    Jan 18, 2026 12:37

    Mahakama ya Iran imesema itawafikisha mahakamani watu wote waliohusika katika kusababisha vifo vya watu wakati wa machafuko ya hivi karibuni nchini kote, ikiahidi adhabu kali kwa watakaopatikana na hatia.

  • Kwa nini nchi za eneo zinataka kudumishwa utulivu na uthabiti nchini Iran?

    Kwa nini nchi za eneo zinataka kudumishwa utulivu na uthabiti nchini Iran?

    Jan 18, 2026 10:52

    Machafuko ya hivi karibuni nchini Iran na tishio la Trump kuishambulia kijeshi Iran ikiwa ni katika madai ya kuwaunga mkono wanaojiita waandamanaji vimezifanya nchi za eneo kuwa na wasiwasi mkubwa.

  • Onyo la Iran kwa Marekani; Usirudie tena vita vilivyofeli vya siku 12

    Onyo la Iran kwa Marekani; Usirudie tena vita vilivyofeli vya siku 12

    Jan 18, 2026 02:37

    Tehran imemuonya Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu kukariri uzoefu uliofeli wakati wa vita vya siku 12 vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran.

  • Kwa nini Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai inapinga uingiliaji wa kigeni nchini Iran?

    Kwa nini Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai inapinga uingiliaji wa kigeni nchini Iran?

    Jan 17, 2026 02:29

    Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) imetangaza rasmi kupinga uingiliaji wa aina yoyote wa kigeni nchini Iran.

  • Iran, China na Russia zailaani Marekani kwa ghasia za karibuni nchini Iran

    Iran, China na Russia zailaani Marekani kwa ghasia za karibuni nchini Iran

    Jan 16, 2026 07:19

    Gholamhossein Darzi, Naibu Mwaklishi wa Kudumu wa Iran Umoja wa Mataifa ameikosoa vikali Marekani katika mkutano wa dharura wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu ghasia na machafuko yaliyoungwa mkono na nchi ajinabi dhidi ya Iran.

  • Jumuiya ya Shanghai yalaani ghasia za kigaidi nchini Iran huku uungaji mkono kimataifa ukiongezeka

    Jumuiya ya Shanghai yalaani ghasia za kigaidi nchini Iran huku uungaji mkono kimataifa ukiongezeka

    Jan 16, 2026 07:18

    Norlan Yerkembayev Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) amelaani vikali hujuma za kigaidi na uharibifu wa hivi karibuni katika mji wa Tehran na miji mingine ya Iran iliyoathiriwa wakati wa maandamano ya amani ya wananchi.

  • Iran: US, Israel ziliwapa silaha, fedha wafanya ghasia nchini

    Iran: US, Israel ziliwapa silaha, fedha wafanya ghasia nchini

    Jan 16, 2026 02:54

    Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema Marekani na Israel zilipanga na kufanikisha ghasia zilizoshuhudiwa hapa nchini hivi karibuni, zikielekeza silaha na pesa taslimu kuchochea vurugu na uvunjifu wa utulivu, ikiwa ni sehemu ya mpango mpana wa kuibua mgawanyiko na mifarakano katika taifa hili.

  • ANC yaonya kuhusu njama za 'mapinduzi' nchini Iran

    ANC yaonya kuhusu njama za 'mapinduzi' nchini Iran

    Jan 16, 2026 02:13

    Mkuu wa vuguvugu la Mshikamano wa Kimataifa wa chama tawala cha African National Congress (ANC) katika jimbo la Western Cape nchini Afrika Kusini ameonya kwamba, machafuko ya hivi karibuni nchini Iran yana mkono wa Marekani na washirika wake wa Kizayuni.

  • Nini lengo la mchezo wa takwimu wa Trump kuhusu waliofariki katika ghasia za Iran?

    Nini lengo la mchezo wa takwimu wa Trump kuhusu waliofariki katika ghasia za Iran?

    Jan 15, 2026 10:34

    Ikiwa ni katika fremu ya uingiliaji wake katika masuala ya ndani ya Iran, Rais Donald Trump wa Marekani amezindua sarakasi mpya ya takwimu kuhusu Iran.

  • Araghchi amwandikia barua Katibu Mkuu wa UN kuhusiana na machafuko na jinai zilizofanywa na magaidi mamluki nchini Iran

    Araghchi amwandikia barua Katibu Mkuu wa UN kuhusiana na machafuko na jinai zilizofanywa na magaidi mamluki nchini Iran

    Jan 15, 2026 10:28

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemwandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusiana na jinai zilizofanywa na magaidi mamluki katika machafuko na uvurugaji wa amani uliofanywa hivi karibuni hapa nchini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS