Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Javad Zarif

  • Mazungumzo ya Zarif na Kerry; shaka juu ya mwenendo wa Marekani

    Mazungumzo ya Zarif na Kerry; shaka juu ya mwenendo wa Marekani

    Apr 24, 2016 06:53

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani John Kerry amesema nchi hiyo haitaziwekea vizuizi benki au mashirika ya kigeni yasifanye biashara na mashirika ya Iran ambayo hayakabilwi tena na vikwazo.

  • Zarif na Kerry wajadili njia za kuhakikisha utekelezaji wa makubaliano ya nyuklia

    Zarif na Kerry wajadili njia za kuhakikisha utekelezaji wa makubaliano ya nyuklia

    Apr 20, 2016 03:39

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Marekani wamekutana na kuzungumzia njia za kuhakikisha makubaliano ya nyuklia yaliyofikiwa baina ya Jamhuri ya Kiislamu na madola sita makubwa duniani yanatekelezwa kama ilivyoafikiwa.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aelekea New York

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aelekea New York

    Apr 18, 2016 07:18

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran leo asbuhi ameelekea mjini New York Marekani kwa ajili ya kushiriki katika sherehe za kutiwa saini makubaliano ya Mabadiliko ya Tabia- Nchi katika Umoja wa Mataifa kwa mujibu wa muafaka uliofikiwa mjini Paris Ufaransa.

  • Mogherini: Majaribio ya makombora ya Iran hayakiuki makubaliano ya nyuklia

    Mogherini: Majaribio ya makombora ya Iran hayakiuki makubaliano ya nyuklia

    Apr 16, 2016 16:05

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa majaribio ya makombora ya Iran hayakiuki makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na nchi wanachama wa kundi la 5+1.

  • Mitazamo ya Zarif kuhusu migogoro ya Mashariki ya Kati

    Mitazamo ya Zarif kuhusu migogoro ya Mashariki ya Kati

    Apr 10, 2016 03:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameliambia shirika la habari la Russia la Tass News Agency kwamba misimamo mikali na ugaidi vinatishia maeneo ya Mashariki ya Kati, Asia ya Kati na Kaukasia.

  • Zarif alaani mashambulizi ya kigaidi ya Ubelgiji

    Zarif alaani mashambulizi ya kigaidi ya Ubelgiji

    Mar 23, 2016 02:22

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumzo kwa simu na mwenzake wa Ubelgiji akilaani vikali mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea jana katika mji mkuu wa nchi hiyo, Brussels.

  • Zarif: Russia kuanza kuondoa vikosi vyake Syria, ishara nzuri

    Zarif: Russia kuanza kuondoa vikosi vyake Syria, ishara nzuri

    Mar 15, 2016 14:57

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran ametaja hatua ya Russia kuanza kuondoa vikosi vyake Syria kuwa ni ishara nzuri.

  • Zarif: Ukurasa mpya umefunguliwa katika uhusiano wa Iran na Australia

    Zarif: Ukurasa mpya umefunguliwa katika uhusiano wa Iran na Australia

    Mar 15, 2016 07:08

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Muhammad Javad Zarif amesema ukurasa mpya umefunguliwa katika uhusiano wa Iran na Australia.

  • Zarif: Shughuli za uundaji makombora ni moja ya mifano ya uwezo wa kiulinzi

    Zarif: Shughuli za uundaji makombora ni moja ya mifano ya uwezo wa kiulinzi

    Mar 15, 2016 03:00

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza katika radiamali yake kwa madai ya Magharibi dhidi ya majaribio ya makombora ya hivi karibuni kuwa shughuli za uundaji makombora ni moja ya mifano ya uwezo wa kiulinzi ambao Iran unahitajia.

  • Iran na New Zealand kustawisha ushirikiano

    Iran na New Zealand kustawisha ushirikiano

    Mar 13, 2016 16:33

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na New Zealand wamesisitizia umuhimu wa kuimarisha uhusiano wa pande mbili haswa katika uga wa kiuchumi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS