Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

JCPOA

  • Mkurugenzi Mkuu wa IAEA: Iran haina silaha za nyuklia

    Mkurugenzi Mkuu wa IAEA: Iran haina silaha za nyuklia

    Mar 31, 2024 11:23

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) ametenganisha baina ya kategoria ya kurutubisha madini ya urani na mchakato wa uundaji silaha za nyuklia na kutangaza kuwa Iran haitengenezi silaha za nyuklia licha ya kuwa na akiba ya urani iliyorutubishwa.

  • Russia: Makubaliano ya JCPOA hayana mbadala wake

    Russia: Makubaliano ya JCPOA hayana mbadala wake

    Feb 20, 2024 12:53

    Balozi na Mwakilishi wa Russia katika taasisi za kimataifa zenye makao huko Vienna nchini Austria amesema njia pekee ya kuyahuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni kuyarejesha katika hali yake ya asili.

  • Guterres: US iifutie Iran vikwazo ili JCPOA iendelee kutekelezwa

    Guterres: US iifutie Iran vikwazo ili JCPOA iendelee kutekelezwa

    Dec 20, 2023 03:05

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameitaka Marekani iiondolee vikwazo sekta ya mafuta ya Iran ili makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ambayo Washington ilijiondoa kwayo Mei mwaka 2019 yaendelee kutekelezwa.

  • Russia yataka kurejea Marekani na Troika ya Ulaya kwenye makubaliano ya nyuklia na Iran

    Russia yataka kurejea Marekani na Troika ya Ulaya kwenye makubaliano ya nyuklia na Iran

    Nov 24, 2023 07:21

    Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika taasisi za kimataifa ameeleza kuwa, Moscow inazitaka Marekani na kundi la Troika ya Ulaya zirejee katika Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) kuhusu miradi ya nyuklia ya Iran.

  • Raisi: Iran haina mpango wa kumiliki silaha za nyuklia

    Raisi: Iran haina mpango wa kumiliki silaha za nyuklia

    Sep 25, 2023 03:12

    Rais wa Iran amepuuzilia mbali madai ya madola ya Magharibi kwamba Jamhuri ya Kiislamu inataka kuunda silaha za nyuklia.

  • Uvunjaji ahadi mwingine wa Troika ya Ulaya kuhusu mapatano ya JCPOA

    Uvunjaji ahadi mwingine wa Troika ya Ulaya kuhusu mapatano ya JCPOA

    Sep 17, 2023 02:25

    Kupitia taarifa iliyochapishwa kwenye tovuti ya Umoja wa Ulaya Alhamisi usiku, Josep Burrell, mkuu wa sera za kigeni wa Umoja wa Ulaya alitangaza kuwa nchi tatu za Ulaya, ambazo ni Uingereza, Ufaransa na Ujerumani, zimemwandikia barua zikitangaza kwamba hazitaondoa vikwazo vya makombora dhidi ya Iran, ambavyo muda wake umepangwa kumalizika tarehe 18 Oktoba 2023.

  • Russia: Marekani ndiyo ya kulaumiwa kwa kutotekelezwa JCPOA

    Russia: Marekani ndiyo ya kulaumiwa kwa kutotekelezwa JCPOA

    Aug 09, 2023 11:26

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema mustakabali wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA upo mikononi mwa Marekani na nchi za Ulaya, huku akitilia shaka azma ya Wamagharibi ya kuyahuisha mapatano hayo kikamilifu.

  • Amir Abdollahian: Tumepokea mapendekezo ya Oman ili kurejesha pande zote katika JCPOA

    Amir Abdollahian: Tumepokea mapendekezo ya Oman ili kurejesha pande zote katika JCPOA

    Jul 20, 2023 11:40

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuhusu mazungumzo yake na mwenzake wa Oman kwamba: Muscat inafanya juhudi za kukurubisha mitazamo ili pande zote husika zirejee katika utekelezaji wa majukumu yake katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Umoja wa Mataifa wataka kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Umoja wa Mataifa wataka kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Jul 09, 2023 02:38

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Kisiasa, amehutubia kikao cha Baraza la Usalama cha kukagua utekelezwaji wa azimio nambari 2231, na kuelezea kuwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ndio chaguo bora zaidi la kuhakikisha "hali ya amani ya mpango wa nyuklia wa Iran."

  • Guterres: Mapatano ya JCPOA bado ni chaguo bora

    Guterres: Mapatano ya JCPOA bado ni chaguo bora

    Jul 06, 2023 07:33

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema katika ripoti yake ya 15 kuhusu azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la umoja huo kwamba: Mapatano ya JCPOA bado ni chaguo bora.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS