-
Kenya yaakhirisha kufungua tena mpaka wake na Somalia
Jul 06, 2023 04:32Kenya jana ilitangaza kuwa imeakhirisha kufungua tena mpaka wake na Somalia baada ya mashambulizi ya karibuni katika ardhi yake. Kundi la wanamgambo wa al Shabab lenye makao yake Somalia linatuhumiwa kuhusika na mashambulizi hayo.
-
Watu 50 wapoteza maisha katika ajali ya barabarani nchini Kenya
Jul 01, 2023 06:26Watu wasiopungua 50 wameaga dunia katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea usiku wa kuamkia leo Jumamosi katika kaunti ya Kericho, magharibi mwa eneo la Bonde la Ufa nchini Kenya.
-
IGAD yasema, Ruto ataendelea kuwa mpatanishi wake katika mzozo wa Sudan licha ya Jenerali Al Burhan kumkataa
Jun 16, 2023 11:09Jumuiya ya Maendeleo ya Kiserikali (IGAD) imesema uteuzi wa Ruto utabaki palepale kama mpatanishi wa jumuiya hiyo katika mzozo wa ndani nchini Sudan licha ya kiongozi wa kijeshi wa nchi hiyo, Jenerali Abdel Fattah al Burhan kumktaa akiituhumu Nairobi kwamba inamuunga mkono mpinzani wake.
-
Johnson & Johnson yashtakiwa Kenya kwa kuwauzia watu poda iliyopigwa marufuku Ulaya, Marekani
Jun 13, 2023 12:16Shirika moja la kutetea haki za binadamu nchini Kenya limeshtaki shirika la kimataifa la Marekani, Johnson & Johnson, kwa kosa la kuwauzia Wakenya poda ya ulanga.
-
Viongozi wa Igad wanakutana leo Djibouti kujadili mapigano ya ndani Sudan
Jun 12, 2023 08:19Jumuiya ya Maendeleo ya Kiserikali (IGAD) inafanya mkutano wa kilele nchini Djibouti leo Jumatatu ili kuzishawishi pande mbili katika mgogoro wa Sudan kufanya mazungumzo ya kumaliza mapigano ya wenyewe kwa wenyewe, wakati huu ambapo mji mkuu Khartoum unashuhudia mapigano makali.
-
MSF yatahadharisha: Ugonjwa wa kipindupindu unaenea kwa kasi kubwa nchini Kenya
Jun 03, 2023 10:25Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limetangaza kuwa kipindupindu kinaenea kwa kasi miongoni mwa watu waliokimbia makazi yao wanaoishi katika kambi za wakimbizi nchini Kenya.
-
Sheikh Ali Saeed: Urithi wa Imam Khomeini unaendelea kuwatia moyo Waislamu + Video
May 31, 2023 09:02Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Ja'fari mjini Nairobi, mji mkuu wa Kenya amesema: Fikra za Imam Ruhullah Khomeini zinatia matumaini mema na ni nguzo ya kuwawezesha na kuwapa nguvu Waislamu duniani.
-
Reuters 'yasutwa' kudai kwamba majasusi wa China wamefanya udukuzi mkubwa dhidi ya Kenya
May 26, 2023 02:40Serikali ya Kenya imesema madai yaliyotolewa na shirika la habari la Reuters, kwamba China imekuwa ikifanya udukuzi kwa miaka mingi dhidi ya nchi hiyo ni "propganda" tu.
-
"Yesu wa Tongaren" afikishwa mahakamani nchini Kenya
May 12, 2023 08:48Raia wa Kenya aliyejitangaza kuwa ni Yesu na kuanzisha Kanisa la New Jerusalem eneo la Tongaren, Bungoma, alitarajiwa kurejeshwa mahakamani leo Ijumaa baada ya kulala kwenye seli ya polisi.
-
Mchungaji Paul Mackenzie na wenzake kubakia rumande kwa siku 30 Kenya
May 10, 2023 11:46Mhubiri tata wa Kikristo Paul Mackenzie anayekabiliwa na tuhuma za kuwashawishi wafuasi wake wafunga ili wawe wa kwanza kwenda mbinguni na kukutana na Yesu, Paul Mackenzie na mkewe Rhoda Maweu pamoja na washukiwa wengine 16 watazuiliwa kwa siku 30 gerezani.