-
Spika Larijani: Marekani imesibiwa na hali ya kujihofu yenyewe
Jan 29, 2017 04:28Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema hatua ya karibuni ya serikali mpya ya Marekani ya kufuta utoaji viza kwa raia wa Iran inadhihirisha udhaifu na uduni wa mitazamo na mwenendo wa viongozi wa serikali hiyo.
-
Larijani: Wafuasi wa dini zote wanatendewa haki nchini Iran
Jan 04, 2017 12:53Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, Katiba ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran imefanya uadilifu kwa kuwatendea haki wafuasi wa dini mbalimbali humu nchini.
-
Dakta Larijani: Uungaji mkono kwa magaidi unafanyika kutelekeza malengo ya Israel
Jan 04, 2017 00:44Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, himaya na uungaji mkono wa baadhi ya nchi za Mashariki ya Kati kwa magaidiunafanyika kwa ajili ya kutekeleza malengo ya utawala haramu wa Israel.
-
Ayatullah Amoli Larijani: Iran haitishiki na vitisho vya aina yoyote
Dec 30, 2016 01:19Mkuu wa Vyombo vya Mahakama nchini Iran amesema kuwa, vitisho havina athari yoyote ile kwa moyo wa kijihadi wa taifa la Iran.
-
Mkutano wa usalama waanza mjini Tehran
Dec 11, 2016 04:35Mkutano wa kwanza wa usalama umeanza kufanyika leo hapa mjini Tehran ukiwa na ajenda ya "usalama wa kieneo magharibi mwa Asia.
-
Larijani: Uhusiano wa Iran na Russia unaridhisha mno
Nov 14, 2016 04:29Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema uhusiano wa pande mbili kati ya Jamhuri ya Kiislamu na Russia ni wa kuridhisha mno.
-
Spika wa Bunge la Iran asisitiza kustawishwa uhusiano na nchi za Kiislamu
Nov 14, 2016 00:38Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema Iran inachukua hatua kwa lengo la kustawisha uhusiano wa pande zote na nchi za Kiislamu na za Kiarabu
-
Larijani: Marekani inachochea ugaidi kupitia vita
Oct 18, 2016 03:31Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amesema Marekani inachochea ugaidi katika eneo hili la Mashariki ya Kati na duniani kote kwa ujumla kwa kutumia anga ya vita na mapigano.
-
Rais Rouhani na Spika Larijani wapongeza jitihada za Wizara ya Intelijinsia
Aug 18, 2016 09:37Rais wa Iran na Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran yaani bunge wamepongeza juhudi za pamoja za Wizara ya Intelijinsia katika kulinda amani na uthabiti na kukabiliana na vitisho.
-
Ali Larijani: Maadui wanafanya njama za kuzusha mifarakano
Jul 22, 2016 23:47Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, katika mazingira ya hivi sasa katika Mashariki ya Kati kuna baadhi ya nchi ambazo mbali na kufanya uadui zinafanya kila ziwezalo kuzusha mifarakano katika eneo hili.