Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Larijani

  • Dakta Larijani: Uungaji mkono kwa magaidi unafanyika kutelekeza malengo ya Israel

    Dakta Larijani: Uungaji mkono kwa magaidi unafanyika kutelekeza malengo ya Israel

    Jan 04, 2017 04:14

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, himaya na uungaji mkono wa baadhi ya nchi za Mashariki ya Kati kwa magaidiunafanyika kwa ajili ya kutekeleza malengo ya utawala haramu wa Israel.

  • Ayatullah Amoli Larijani: Iran haitishiki na vitisho vya aina yoyote

    Ayatullah Amoli Larijani: Iran haitishiki na vitisho vya aina yoyote

    Dec 30, 2016 04:49

    Mkuu wa Vyombo vya Mahakama nchini Iran amesema kuwa, vitisho havina athari yoyote ile kwa moyo wa kijihadi wa taifa la Iran.

  • Mkutano wa usalama waanza mjini Tehran

    Mkutano wa usalama waanza mjini Tehran

    Dec 11, 2016 08:05

    Mkutano wa kwanza wa usalama umeanza kufanyika leo hapa mjini Tehran ukiwa na ajenda ya "usalama wa kieneo magharibi mwa Asia.

  • Larijani: Uhusiano wa Iran na Russia unaridhisha mno

    Larijani: Uhusiano wa Iran na Russia unaridhisha mno

    Nov 14, 2016 07:59

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema uhusiano wa pande mbili kati ya Jamhuri ya Kiislamu na Russia ni wa kuridhisha mno.

  • Spika wa Bunge la Iran asisitiza kustawishwa uhusiano na nchi za Kiislamu

    Spika wa Bunge la Iran asisitiza kustawishwa uhusiano na nchi za Kiislamu

    Nov 14, 2016 04:08

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema Iran inachukua hatua kwa lengo la kustawisha uhusiano wa pande zote na nchi za Kiislamu na za Kiarabu

  • Larijani: Marekani inachochea ugaidi kupitia vita

    Larijani: Marekani inachochea ugaidi kupitia vita

    Oct 18, 2016 07:01

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amesema Marekani inachochea ugaidi katika eneo hili la Mashariki ya Kati na duniani kote kwa ujumla kwa kutumia anga ya vita na mapigano.

  • Rais Rouhani na Spika Larijani wapongeza jitihada za Wizara ya Intelijinsia

    Rais Rouhani na Spika Larijani wapongeza jitihada za Wizara ya Intelijinsia

    Aug 18, 2016 14:07

    Rais wa Iran na Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran yaani bunge wamepongeza juhudi za pamoja za Wizara ya Intelijinsia katika kulinda amani na uthabiti na kukabiliana na vitisho.

  • Ali Larijani: Maadui wanafanya njama za kuzusha mifarakano

    Ali Larijani: Maadui wanafanya njama za kuzusha mifarakano

    Jul 23, 2016 04:17

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, katika mazingira ya hivi sasa katika Mashariki ya Kati kuna baadhi ya nchi ambazo mbali na kufanya uadui zinafanya kila ziwezalo kuzusha mifarakano katika eneo hili.

  • Larijani asisitiza kuendelezwa ushirikiano wa kistratejia kati ya Iran na Syria

    Larijani asisitiza kuendelezwa ushirikiano wa kistratejia kati ya Iran na Syria

    Jun 08, 2016 14:18

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amemtumia ujumbe wa pongezi Bi Hadiyeh Khalaf al Abbas Spika Mpya wa kwanza mwanamke wa bunge la Syria na kueleza kuwa stratejia ya Iran ni kushirikiana pande zote na serikali na wananchi wa Syria ili kurejesha amani na uthabiti nchini humo.

  • Larijani: Kuunga mkono magaidi ni kwa maslahi ya Wazayuni

    Larijani: Kuunga mkono magaidi ni kwa maslahi ya Wazayuni

    May 12, 2016 07:20

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amezikosoa baadhi ya nchi katika eneo hili la Mashariki ya Kati kwa kuyaunga mkono makundi ya kigaidi na kusisitiza kuwa kuungwa mkono ugaidi ni kwa maslahi ya Wazayuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS