Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Kuongezwa nguvu za kijeshi za Umoja wa Ulaya nchini Libya

    Kuongezwa nguvu za kijeshi za Umoja wa Ulaya nchini Libya

    Jun 20, 2016 10:02

    Umoja wa Ulaya umeamua kuongeza nguvu zake za kijeshi katika opereseheni zake za baharini maarufu kwa jina la Operesheni Sophia, nchini Libya.

  • Dikrii mbili za kushangaza za Aguila Saleh huko Libya

    Dikrii mbili za kushangaza za Aguila Saleh huko Libya

    Jun 20, 2016 03:29

    Aguila Saleh Spika wa bunge la Libya amemteua mtawala wa kijeshi wa kieneo katika kipidi hiki cha kufanyika hamasisho la wote dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh.

  • Libya: Hatuhitaji misaada ya nchi ajinabi kupambana na Daesh

    Libya: Hatuhitaji misaada ya nchi ajinabi kupambana na Daesh

    Jun 15, 2016 11:04

    Naibu Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya amesema kuwa nchi hiyo haihitaji misaada ya nchi ajinabi kwa ajili ya kuendesha vita dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh nchini humo.

  • Algeria yatangaza uungaji mkono wake kwa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya

    Algeria yatangaza uungaji mkono wake kwa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya

    Jun 13, 2016 10:12

    Serikali ya Algeria imetangaza rasmi kuwa iko pamoja na inaiunga mkono serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya.

  • Wanajeshi wa Libya waukomboa kikamilifu mji wa Sirte

    Wanajeshi wa Libya waukomboa kikamilifu mji wa Sirte

    Jun 11, 2016 02:41

    Vikosi vya serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya vimetangaza habari ya kuukomboa kikamilifu mji wa kistratajia wa Sirte, uliokua chini ya udhibiti wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.

  • Wanajeshi wa serikali wakomboa maeneo muhimu ya mji wa Sirte Libya

    Wanajeshi wa serikali wakomboa maeneo muhimu ya mji wa Sirte Libya

    Jun 10, 2016 02:53

    Vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo televisheni ya Russia Today vimeripoti habari ya kukombolewa kikamilifu fukwe za mji wa Sirte na maeneo mengine muhimu ya mji huo wa baada ya kundi la Daesh kuufanya mji huo kuwa ngome yake.

  • Miili mingine 133 ya wahajiri yapatika katika pwani ya Libya

    Miili mingine 133 ya wahajiri yapatika katika pwani ya Libya

    Jun 06, 2016 03:36

    Shirika la Hilali Nyekundu limetangaza kuwa miili ya 133 ya wahajiri waliokufa maji hivi karibuni wakijaribu kuvuka Bahari ya Mediterranean kuelekea Ulaya imepatikana katika mji wa Zuwara, magharibi mwa Libya.

  • Libya yapinga uingiliaji kijeshi wa madola ya kigeni

    Libya yapinga uingiliaji kijeshi wa madola ya kigeni

    Jun 05, 2016 03:03

    Waziri Mkuu wa Libya amepinga uingiliaji wa kijeshi nchini humo ambao umekuwa ukipangwa na baadhi ya madola kwa kisingizio cha kupambana na magaidi wa ISIS nchini humo.

  • Mamia wauawa katika mashambulizi  nchini Libya

    Mamia wauawa katika mashambulizi nchini Libya

    Jun 03, 2016 09:43

    Wanajeshi wawili wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya wameuawa na wengine 12 kujeruhiwa katika shambulizi la kujitoa mhanga lililofanywa na wanamgambo wa kundi la ISIS (Daesh) karibu na mji wa Sirte hapo jana.

  • Miili 25 ya wahajiri yapatikana magharibi mwa Libya

    Miili 25 ya wahajiri yapatikana magharibi mwa Libya

    Jun 02, 2016 10:22

    Shirika la Kimataifa la Hilali Nyekundu limesema kuwa miili ya wahajiri 25 waliokufa maji siku chache zilizopita wakijaribu kuvuka Bahari ya Mediterranean kuelekea Ulaya imepatikana katika mji wa Zuwara, magharibi mwa Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS